raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Hamna ni muundo tu mbona zipo nyingine kama pale ananasif zimekaa poa watu wana gombania zile za morocco nazo 🔥🔥🔥Yale ya watumishi 😁😁😁 , anko magu alivyoingia aliyapiga stop kuendelea.
Halafu kama ulivyosema , wabongo wengi mfumo wa apartments hizo huwa wanaona kama hostel au kota 😁