Kwanini Mbezi beach imepoteza umaarufu wake iliyokuwa nao miaka ya nyuma?

Kwanini Mbezi beach imepoteza umaarufu wake iliyokuwa nao miaka ya nyuma?

Unakuta mtaa mzima una majumba ya mil 300 Hadi 600...
Kiwanja tu kinauzwa mil 150 kuendelea

Ila kwa umbaki ule hapana aise
Nilitaka kusema, kwa kweli hapana, hata kama kumejengeka, huko sio Dar
Raha ukae mbali na uswazi lakini mjini kati ufike chini ya nusu saa....

1702762697825.png
 
Nilitaka kusema, kwa kweli hapana, hata kama kumejengeka, huko sio Dar
Raha ukae mbali na uswazi lakini mjini kati ufike chini ya nusu saa....

View attachment 2844474
Yani Mbweni mpaka Mbezi Beach karibu sawa na Mbezi Beach mpaka mjini.

Huku kunatakiwa kuanzishiwe mji wake, watu wawe wanaenda mjini mara moja kwa wiki.

Lakini hapo kwa umbali wa miji mikubwa si mbali sana, basi mji wetu tu
 
Yani Mbweni mpaka Mbezi Beach karibu sawa na Mbezi Beach mpaka mjini.

Huku kunatakiwa kuanzishiwe mji wake, watu wawe wanaenda mjini mara moja kwa wiki.
Si ndio hapo sasa, yaani wawe na hosptali na mashule kila kitu yaani
Ikitokea kama dharura unahitaji hospitali, mpaka ufike Mloganzila au Aga Khan ni mwendo sana, na watoto mpaka wafike shule...
 
Yani Mbweni mpaka Mbezi Beach karibu sawa na Mbezi Beach mpaka mjini.

Huku kunatakiwa kuanzishiwe mji wake, watu wawe wanaenda mjini mara moja kwa wiki.

Lakini hapo kwa umbali wa miji mikubwa si mbali sana, basi mji wetu tu
Nimeshindwa kuelewa kwanini Avic Town kumetelekezwa...
Nilipita kushangaa sio mchezo...
Sijui wabongo hawapendi vitu vikipangiliwa?
 
Ila mipango miji tu hawazingatia
Hapo unapopaona panaitwa goba Centre zamani palikuwa panaitwa muembe madole,na kulikuwa na usafiri wa landrover na ilikuwa moja inapiga route hadi tangi bovu
Watu huko zamani walikuwa wanauza maeneo mpaka 15,000 ,20000
Ila huko bado kuna kijiji fulani kimebakia cha asili watu hapo wakuda sana ,jina lake limentoka kdg

Ova
Landlover zilikuwa mbili Moja inapaki bwawani pale mwembe madole nyingine inabaki mbez beach huku ....hiz gari Moja ilikuwa rangi ya blue nyingine silver gar ya tesha na bongo man
 
Habari wana jamii forum?

Kuanzia miaka ya elfu mbili kushuka chini, eneo la Mbezi beach lilikuwa ni kati ya maeneo machache ya jiji la Dar es salaam ambayo yalikuwa na umaarufu mkubwa kama vile ilivyokuwa Masaki, Osterbay, Sinza nk.

Hii ilipelekea watu wengi hasa wa mikoani wakisikia neno Mbezi, basi akili au mawazo yao yanaenda moja kwa moja kwenye Mbezi beach. Japo Mbezi ya Kimara ilikuwepo, lakini watu hawakuwa wakiifahamu kivile kama inavyofahamika leo.

Sasa hali imekuwa ni tofauti, Mbezi ya Kimara imetokea kuwa na umaarufu mkubwa hadi kupelekea Mbezi beach kusahaulika. Leo hii mfano ukiwa mikoani ukazungumzia neno Mbezi bila kuweka hilo neno beach mbele basi kila mtu akili na mawazo yake yataenda kwa Mbezi ya Kimara kama vile mbezi luis, mbezi mwisho, mbezi magufuli nk.

Je, ni nini chanzo cha umaarufu wa mbezi kuibuka ghafla tofauti na hapo zamani?

Nawasilisha
Magufuli Bus Terminal
 
Dar kunatakiwa kuwe na ring road kuanzia Tegeta, Madale, Kimara, Kinyerezi, ipite mpaka Gezaulole huko.

Yani unatoka Tegeta mpaka airport au Gezaulole kwa hii barabara huhitaji Bagamoyo Road, huhitaji Kawawa Road, huhitaji Mandela Road wala Nyerere Road.

Ingeupanua mji vizuri sana na kupunguza traffic hapa kati.
Yup!

Kama hii hapa ya ATL.

 
Habari wana jamii forum?

Kuanzia miaka ya elfu mbili kushuka chini, eneo la Mbezi beach lilikuwa ni kati ya maeneo machache ya jiji la Dar es salaam ambayo yalikuwa na umaarufu mkubwa kama vile ilivyokuwa Masaki, Osterbay, Sinza nk.

Hii ilipelekea watu wengi hasa wa mikoani wakisikia neno Mbezi, basi akili au mawazo yao yanaenda moja kwa moja kwenye Mbezi beach. Japo Mbezi ya Kimara ilikuwepo, lakini watu hawakuwa wakiifahamu kivile kama inavyofahamika leo.

Sasa hali imekuwa ni tofauti, Mbezi ya Kimara imetokea kuwa na umaarufu mkubwa hadi kupelekea Mbezi beach kusahaulika. Leo hii mfano ukiwa mikoani ukazungumzia neno Mbezi bila kuweka hilo neno beach mbele basi kila mtu akili na mawazo yake yataenda kwa Mbezi ya Kimara kama vile mbezi luis, mbezi mwisho, mbezi magufuli nk.

Je, ni nini chanzo cha umaarufu wa mbezi kuibuka ghafla tofauti na hapo zamani?

Nawasilisha
Nakataa hii hoja.
Mbezi beach kutaendelea kuwa sehemu maarufu, ghali, yenye mvuto kuliko mbezi ya upande wa pili.
Hata ukitaka nunuwa kiwanja uliza bei uone.
Kweli mbezi beach ina barabara mbovu, kweli madimbwi na mitaa kunuka, hiyo haina tofauti na masaki, mikocheni nk nk
Kama ukisema mbezi ya kimara, Luis na makabe kumejaa wachaga na nini nitakubali, ila status? Bado sana sana sana
 
Kweli.

Nimefika Oysterbay pale Karume na Haile Selassie nikakuta barabara zina mashimo kichizi. Mara Bakhressa kachukua sehemu ya Shule kwa Mchambawima kajenga nyumba pale.

OYsterbay vurugu tupu.

Mimi tangu mshua aanze kuwa anakuja US yearly nimekosa appetite kabisa ya kurudi hata likizo.

Nikisema miaka niliyopotea ni aibu.
It’s good to go back.

I do it at least twice a year.

Just got back a couple weeks ago.

Stayed there for 2 1/2 months.

Ukiacha familia, kuna mengi ya kufanya.

Mfano, safari hii nilienda mpaka Serengeti.

Mbuga hii ya Serengeti iko kwenye mikoa miwili: Mara na Simiyu.

Miaka yote hii sikuwahi kabisa kuwaza kwenda huko.

Ila safari hii kuna mtu akazungumzia kwenda Serengeti. Nikaona ni wazo zuri sana.

Kutoka Simiyu mpaka hapo mbugani wala haichukui muda kivile. Ni takriban lisaa limoja tu.

Unatoka Bariadi mjini unapitia Lamadi. Kutoka Lamadi mpaka Serengeti ni dakika chache tu.

Akilini mwangu sikuwahi kabisa kuwaza kwamba Serengeti si mbali kabisa na nyumbani. Kwamba unaweza kwenda leo na kurudi leo leo.

Next time nikienda tena Tanzania, nitaenda tena Serengeti maana mbuga ni kubwa. Sikuweza kuiona yote.

Nawe unaweza kutumia vivutio kama hivyo vikawa kama motisha ya wewe kurudi mara kwa mara.

Kama unakuwa hujaenda kwa muda mrefu, ni lazima uta experience culture shock.

Hicho ni kitu ambacho mimi sina kutokana na frequency yangu ya kwenda.
 
Back
Top Bottom