Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini mbilikimo wa Kongo wasiwe weupe maana hawapigwi na jua?Swaali zuri sana;
Kwanza fahamu kuwa kuna mbilikimo wa aina mbili: mbilikimo wa asili (pygmy) na mbilikimo wa ugonjwa (dwarf). Wale wa kongo ni mbilikiko wa asili kwa maana ya kuwa maumbile yao ni asili yao na yanatokana na mazingira yao ya asili. Umbilikimo wa aina hii ni hereditary kwa maana ya kuwa huzaliwa na mbilikimo pia. Ni kama ambavyo maumbile ya asili ya waachina yalivyo tofauti na maumbile ya asili ya wazungu, na pia wachina huzaliwa na wachina tu.
Kuna mbilikimo wa aina nyingine ambao wanapata matatizo ya mwili kushindwa kutengeneza hormones zinazohitajika mwili kukua, na hivyo kubaki na umbo la kitoto maisha yao yote; hawa wanajulikana kama drwafs. Mbilikimo wa aina hii huweza kutokea katika familia yoyote ile, wazazi wawili warefu wanaweza kuzaa mbilikimo wa aina ya dwarf.
Theories zinazonyesha kuwa evolutionary process iliyosababisha waafrika wakawa na ngozi nyeusi kutokana na mazingira ya joto la tropical, ndiyo pia iliyosababisha watu waliokuwa wakiishi kwenye misitu mizito kama vile Kongo kuwa wafupi kwa vile miili yao ilikuwa inakosa mwanga wa jua kutengeneza vitamin D; kwa hiyo miili yao ikawa haiwezi ku-absrob calcium ya kutosha, jambo liliosababisha wawe na mifupa midogo na hivyo kuwa na miili midogo. Misitu ya Kongo ndiyo yenye mbilikimo wengi wa aina hiyo ikifuatiwa na misitu ya Amazon huko Brazili. Kuna sehemu nyingine za dunia kama Papua New Guinea na Australia ambako pia kuna mbilikimo waliotokana na misitu mikubwa iliyokuweko maeneo hayo.
Utashangaa kuwa mionzi ya ultra-violet zinazoleta vitamin D ni low frequency wakati zile zinazosababisha tan kwenye ngozi ni high frequency, halaf tana hutegemea na intensity ambayo pamoja na mambo mengine hutegemea na incident angle ya mionzi. Mionzi inayopiga moja kwa moja (digrii tisini ) huchoma ngozi sana kuliko mionzi inayopiga kutokea pembeni. vile vile high frequencies hupenya sana kuliko low frequencies, ndiyo maan X-ray hupenya ndani ya mwili kwa sababu hii ni frequency ja juu sana kuliko visible light. Hebu google "electromagnetic spectrum."Kwann mbilikimo wa Kongo wasiwe weupe maana hawapigwi na juwa?
Biology naisomaga ila siiaminigi sanaSwaali zuri sana;
Kwanza fahamu kuwa kuna mbilikimo wa aina mbili: mbilikimo wa asili (pygmy) na mbilikimo wa ugonjwa (dwarf). Wale wa kongo ni mbilikiko wa asili kwa maana ya kuwa maumbile yao ni asili yao na yanatokana na mazingira yao ya asili. Umbilikimo wa aina hii ni hereditary kwa maana ya kuwa huzaliwa na mbilikimo pia. Ni kama ambavyo maumbile ya asili ya waachina yalivyo tofauti na maumbile ya asili ya wazungu, na pia wachina huzaliwa na wachina tu.
Kuna mbilikimo wa aina nyingine ambao wanapata matatizo ya mwili kushindwa kutengeneza hormones zinazohitajika mwili kukua, na hivyo kubaki na umbo la kitoto maisha yao yote; hawa wanajulikana kama drwafs. Mbilikimo wa aina hii huweza kutokea katika familia yoyote ile, wazazi wawili warefu wanaweza kuzaa mbilikimo wa aina ya dwarf.
Theories zinazonyesha kuwa evolutionary process iliyosababisha waafrika wakawa na ngozi nyeusi kutokana na mazingira ya joto la tropical, ndiyo pia iliyosababisha watu waliokuwa wakiishi kwenye misitu mizito kama vile Kongo kuwa wafupi kwa vile miili yao ilikuwa inakosa mwanga wa jua kutengeneza vitamin D; kwa hiyo miili yao ikawa haiwezi ku-absrob calcium ya kutosha, jambo liliosababisha wawe na mifupa midogo na hivyo kuwa na miili midogo. Misitu ya Kongo ndiyo yenye mbilikimo wengi wa aina hiyo ikifuatiwa na misitu ya Amazon huko Brazili. Kuna sehemu nyingine za dunia kama Papua New Guinea na Australia ambako pia kuna mbilikimo waliotokana na misitu mikubwa iliyokuweko maeneo hayo.
Kinacho fanya weusi wa ngozi utokee siyo mwanga mweupe wa jua (visible light) bali ni UV rays (utra violet) zinazokuja pamoja na mwanga wa jua. Japo kuwa kuna misitu na vivuli vingi upande ule wa kongo lakini bado eneo husika lipo upande wa ikweta ambao una kiasi kikubwa cha mionzi hiyo (UV) kuliko kwenye poles.Kwann mbilikimo wa Kongo wasiwe weupe maana hawapigwi na juwa?
biblia inatuambia kulikuwa na Goliath hilo ni jitu refu tena limeshiba na pia kulikuwa na zakayo kalikuwa kafupi huko middle eastAdaptation can lead to evolution only when changing gene survives to reproduce.
Haya bana mimi nilikuwa naongelea ya kaisari.biblia inatuambia kulikuwa na Goliath hilo ni jitu refu tena limeshiba na pia kulikuwa na zakayo kalikuwa kafupi huko middle east
Shukran kaka,Sielewi iwapo unakataa maelezo niliyotoa hapo juu au unapinga theory ya evolution. Maelezo niliyotoa hapo juu yana ushahidi wa kutosha kuwa watu wa sehemu zote zenye asili ya mistu mikubwa (rainforests) kama vile Congo, Amazon, Quuensland, na papua new Guinea ni mbilikimo. Sababu yake halisi ni hiyo, mifupa hujengwa kwa calcium ambayo mwili wako utaiabsorb tu iwapo una Vitamin D ya kutosha. Na vitamin D hutokana na mwanga wa kutosha. Process hii inajijenga pole pole kwa muda mrefu san (evolution).
Kuhusu Theory ya evolution sijui nikueleze vipi iwapo huiamini. Kumbuka kuwa theory hiyo inatumia muda wa mamilioni ya miaka siyo miaka elfu moja tu. Kama umepiga shule ya kutosha kuhusu mabadiliko ya muudo wa dunia, utajua kuwa Africa, South America, Australasia na India zilikuwa ni bara moja kwenye maeneo ya tropical. Kwa hiyo watu weusi unaowaona huko wote wana asili ya tropical. Soma theory ya Pangaea kwa makini halafu ufuatilie theories za Plate Tectonics, baadaye uchunguze tena namna matetemeko ya dunia yanavyotokea leo ndipo uangalie tena ukaribu wa sehemu zote unazoona leo zina asili ya watu weusi. Uhamiaji uliotokea baada ya ugunduzi wa vyombo vya kusafuiria ndio uliosababisha watu hawa kuchanganyikana; hakukuwa na mtu mweupe kusini ya ikweta. Uhamiaji huo umetokea miaka isyozidi 2000 zilizopita, kipindi ambacho si kifupi sana katika process ya evolution.
Mkuu kumbe hawa tuwaonao weupe sio waarabu sioUarabu ni lugha na si aina fulani ya watu. Waarabu wengi ni weusi na wengi sana wanapatikana Afrika kuliko kontinenti lingine lolote.