Kwanini Mbilikimo wengi wanapatikana kwenye Misitu ya DRC

Kwanini Mbilikimo wengi wanapatikana kwenye Misitu ya DRC

Hapa tunaweza kuwa tunahangaishwa na mwalimu mjuaji. Tuishieni tu ku-like na kuuliza, kuhoji ama kukanusha tuacheni.
Maana kwa hili somo, huyu kisuguu ni lake.

Sababu nimeona tangu miaka hiyo ya nyuma topic hii ilipoanzishwa, hakuna aliyeweza kumkaribia kisuguu kwa umahiri wake wa kujieleza juu ya hili somo.

Big up mkuu kisuguu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkubwa sorry naomba turekebishane kitu kimoja hapo juu
Pygmy ni mbiliko by nature amezaliwa hivyo ndio kama hao walioko huko drc
Ila Dwarf sio mbilikimo wa ugonjwa bali ni mbilikimo wa jamii za kimiujiza miujiza ama za kichwawi ndio kama goblin vile trool,elf,fairy nk ni hilo tu nilitaka tujuzane kidogo
Hapana, utapotosha wasomaji ukisema dwarf ni viumbe wa kufikirika, na huenda unadhani kuwa wale waliokuwa katika ile sinema ya vikatuni ya disney iliyojulikana kama Seven Dwarfs walikuwa ni viumbe wa kufikirika tu. Siyo kweli, dwarf ni watu wenye upungufu wa hormones za aina fulani zinazohusika na mwili kukua; kuna dwarfs wa aina kadhaa ingawa the most common in premodial dwarfs ambao hutokana na pituitary gland kutokufanya kazi vizuri.

Dwarfs wa america wana chama chao kinaitwa Little People of America; na website yao iko hapa

Huyu jamaa hapa kwenye picha chini ni Ethan Crough wala siyo kiumbe wa kufikiria lakini ni dwarf, ni binadamu wa kawaida mwenye familia yake kama mtu mwingine yeyote anaishi huko Indiana.
1552851341157.png


Na kama ulikuwa mtazamamji wa HGTV mwishoni mwa miaka ya tisini na mwanzoni mwa miaka ya 2000 utakuwa uliwahi kuona show ya hawa Rice Brothers (Greg & John Rice) ambao walikuwa ni mamilionea wakubwa sana katika real estate business na walikuwa drwafs. Walisifika kwa kumiliki na majumbwa makubwa makubwa na magari ya kifahari kama Rolls-Royce, Lamborghini na mengine ya aina hiyo ambayo yalikuwa yametengezwa maalumu kulingana na ukubwa miili yao.
1552851932883.png
 
Hapa tunaweza kuwa tunahangaishwa na mwalimu mjuaji. Tuishieni tu ku-like na kuuliza, kuhoji ama kukanusha tuacheni.
Maana kwa hili somo, huyu kisuguu ni lake.
Sababu nimeona tangu miaka hiyo ya nyuma topic hii ilipoanzishwa, hakuna aliyeweza kumkaribia kisuguu kwa umahiri wake wa kujieleza juu ya hili somo.
Big up mkuu kisuguu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni miaka mingi imepita tangu tuwe na mjadala huu; siyo kuwa "nawahangaisha" kama "mwalimu mjuaji", bali nilikuwa nilileta maelezo kutokana na topic niliyohawi kusoma vitabuni kwa kina kwa vile niliwahi kuishi na jirani dwarf. Maneno uliyotumia katika post yako niliyowekea rangi yanitumia ujumbe hasi kuhusu maelezo yangu hayo!
 
Ni miaka mingi imepita tangu tuwe na mjadala huu; siyo kuwa "nawahangaisha" kama "mwalimu mjuaji", bali nilikuwa nimeleta maelezo kutokana na topic niliyohai kusoma vitabuni. Sina uhakina na maneno uliyotumia katika post yako niliyokwoti na hivyo natanguliza samahani kama post yangu ni ya kijuaji na ya kuhangaisha watu tu. Nina imani kuna walioina ina manufaa!
Pa1 sana mkuu, sema mimi ndiye niliyeji-contridict kwenye matumizi ya neno 'mjuaji' nilimaanisha "mjuzi- mahiri".
Nililenga kukukweza hasa na nilivyofurahishwa na uwezo wako wa kudadavua. Niwie radhi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii habari ni nzuri, ili ku-balance ,embu tusikie kutoka kwa mbilikimo mmoja kutoka hapa JF
 
Hapana, utapotosha wasomaji ukisema dwarf ni viumbe wa kufikirika, na huenda unadhani kuwa wale waliokuwa katika ile sinema ya vikatuni ya disney iliyojulikana kama Seven Dwarfs walikuwa ni viumbe wa kufikirika tu. Siyo kweli, dwarf ni watu wenye upungufu wa hormones za aina fulani zinazohusika na mwili kukua; kuna dwarfs wa aina kadhaa ingawa the most common in premodial dwarfs ambao hutokana na pituitary gland kutokufanya kazi vizuri.

Dwarfs wa america wana chama chao kinaitwa Little People of America; na website yao iko hapa

Huyu jamaa hapa kwenye picha chini ni Ethan Crough wala siyo kiumbe wa kufikiria lakini ni dwarf, ni binadamu wa kawaida mwenye familia yake kama mtu mwingine yeyote anaishi huko Indiana.
View attachment 1047941

Na kama ulikuwa mtazamamji wa HGTV mwishoni mwa miaka ya tisini na mwanzoni mwa miaka ya 2000 utakuwa uliwahi kuona show ya hawa Rice Brothers (Greg & John Rice) ambao walikuwa ni mamilionea wakubwa sana katika real estate business na walikuwa drwafs. Walisifika kwa kumiliki na majumbwa makubwa makubwa na magari ya kifahari kama Rolls-Royce, Lamborghini na mengine ya aina hiyo ambayo yalikuwa yametengezwa maalumu kulingana na ukubwa miili yao.
View attachment 1047944


MKuu umejibu vyema ila shida yako ni moja unashindwa kuelewa kati ya maana ya neno na movies ni nini?
nilichokuelekeza mimi ziada ni synonyms

Chukua dictionary unayoitumia angalia wamekupa tafasiri gani
=>dwarf
(in folklore or fantasy literature) a member of a mythical race of short, stocky humanlike creatures who are generally skilled in mining and metalworking.
=>pygmy
A member of certain peoples of very short stature in equatorial Africa and parts of SE Asia. Pygmies (e.g. the Mbuti and Twa peoples) are typically nomadic hunter-gatherers with an average male height not above 150 cm (4 ft 11 in.).

Sasa ukisoma haya rejea tena hao short people of america utaelewa kitu
 
MKuu umejibu vyema ila shida yako ni moja unashindwa kuelewa kati ya maana ya neno na movies ni nini?
nilichokuelekeza mimi ziada ni synonyms

Chukua dictionary unayoitumia angalia wamekupa tafasiri gani
=>dwarf
(in folklore or fantasy literature) a member of a mythical race of short, stocky humanlike creatures who are generally skilled in mining and metalworking.
=>pygmy
A member of certain peoples of very short stature in equatorial Africa and parts of SE Asia. Pygmies (e.g. the Mbuti and Twa peoples) are typically nomadic hunter-gatherers with an average male height not above 150 cm (4 ft 11 in.).

Sasa ukisoma haya rejea tena hao short people of america utaelewa kitu

Hiyo dictionary hukuisoma vizuri ndugu yangu; umechagua cha kuamini tu. Entry kamili ya online dictionary ni hii hapa chini lakini wewe hiyo niliyowekea nyekundu naona hukuiona kabisa; na hivyo hata huo ugonjwa wa dwarfism huamini kuwa upo.

  1. 1.
    (in folklore or fantasy literature) a member of a mythical race of short, stocky humanlike creatures who are generally skilled in mining and metalworking.
    synonyms:gnome, goblin, hobgoblin, troll, imp, elf, brownie, kelpie, leprechaun, fairy, pixie, sprite
    "the wizard captured the dwarf"
    antonyms:giant
    • a person who is of unusually or abnormally small stature because of a medical condition; a person affected by dwarfism.
    • offensive
      a very short person.
      synonyms:small person, short person, person of restricted growth; More
      offensivemidget, pygmy;
      raremanikin, homunculus, Lilliputian
    • denoting something, especially an animal or plant, that is much smaller than the usual size for its type or species.
      modifier noun: dwarf
      "a dwarf conifer"
      synonyms:miniature, small, little, tiny, minute, toy, pocket, diminutive, baby, pygmy, stunted, undersized, undersize, small-scale, scaled-down, fun-size; More
      wee;
      vest-pocket;
      informalmini, teeny, teeny-weeny, teensy-weensy, itsy-bitsy, tiddly, pint-sized, half-pint, sawn-off, knee-high to a grasshopper;
      informaltitchy, ickle;
      informallittle-bitty
      "the driveway was flanked by dwarf conifers"

      antonyms:giant
  2. 2.
    Astronomy
    a star of relatively small size and low luminosity, including the majority of main sequence stars.
verb
verb: dwarf; 3rd person present: dwarfs; past tense: dwarfed; past participle: dwarfed; gerund or present participle: dwarfing

  1. 1.
    cause to seem small or insignificant in comparison.
    "the buildings surround and dwarf All Saints church"
    synonyms:dominate, tower above, tower over, loom over, overlook, overshadow, overtop More
    "either of the two blocks would dwarf any existing building in Ireland"
    overshadow, outshine, put in the shade, surpass, exceed, outclass, outstrip, outdo, top, cap, trump, transcend;
    shame, put to shame, diminish, minimize;
    archaicextinguish, outrival
    "her progress was dwarfed by the achievements of her sister"
    • stunt the growth or development of.
      "the insurance industry is still battling with a number of challenges that have dwarfed its growth"
 
Unatumia IDs zako zoooote kujipigia debe ...😂😂😂😂 Hii mbinu watu walishtukia zamani sana. Na nyie mnakazi sana kuwa na IDs nyingi za kujipa support.



Hapa tunaweza kuwa tunahangaishwa na mwalimu mjuaji. Tuishieni tu ku-like na kuuliza, kuhoji ama kukanusha tuacheni.
Maana kwa hili somo, huyu kisuguu ni lake.
Sababu nimeona tangu miaka hiyo ya nyuma topic hii ilipoanzishwa, hakuna aliyeweza kumkaribia kisuguu kwa umahiri wake wa kujieleza juu ya hili somo.
Big up mkuu kisuguu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bob usipotembea physically tembeza basi hata ubongo/ akili yako... Kwa nini na yenyewe unaicha tu imekaa idle? Nenda google utagundua kila rangi, asili,kabila na race ina mbilikimo.

Kwa mlio tembea tembea, hivi kuna Mbilikimo wa jamii za
Wazungu ?
Waarabu ?
Wahindi ?
Wachina ?
Wafilipino ?
Nk
Ukiaachana hawa wa Kiafrika.
 
Mkuu unashindwa kujiongeza??!!, kazi ya nyonyo za kiume ni kunyonyeshea mtoto kama jinsi mama anavyonyonyesha, tofauti ni hii kwamba nyonyo za mama hutoa maziwa lakini za baba hazitoi.

Ni hivi, kazi ya kulea mtoto anapokuwa katika umri wa kunyonya (miaka 0- 2) ni ya wote wawili mama na baba ila zaidi ni ya mama, inapokuwa ni kazi ya baba ni wakati ambapo mama anafanya shughuli fulani ambapo hawezi kuambatana na mtoto hapo ndipo zamu ya baba kuwa na mtoto inapofikia, sasa kwa wakati huo inapotokea mtoto akaanza kulia ndipo baba anatakiwa ampe nyonyo ili kumyamazisha kusubiri hadi mama aje, kwa maneno mengine unaweza sema nyonyo za baba ni nyonyo bandia (dummy nipples) kwa kazi hiyo.

Kutokana na hali za maisha na maendeleo ya mwanadamu na mazingira ndipo badala yake kulikuwa na "dummy nipples" za kutengeneza na hata chupa za maziwa (ya ng'ombe au ya kopo) kama mbadala wa nyonyo za wanaume. Hiyo ndiyo Kazi ya nyonyo za wanaume, lakini ni watu wachache mno wanaojua jambo hilo.

Ni mbilikimo wa kiume wa Misitu ya Congo DRC (Congo pygmies) ndiyo wanaofahamika kutekekeza jambo hili la kunyonyesha watoto katika mazingira niliyoyataja.
 
Swaali zuri sana;

Kwanza fahamu kuwa kuna mbilikimo wa aina mbili: mbilikimo wa asili (pygmy) na mbilikimo wa ugonjwa (dwarf). Wale wa kongo ni mbilikiko wa asili kwa maana ya kuwa maumbile yao ni asili yao na yanatokana na mazingira yao ya asili. Umbilikimo wa aina hii ni hereditary kwa maana ya kuwa huzaliwa na mbilikimo pia. Ni kama ambavyo maumbile ya asili ya waachina yalivyo tofauti na maumbile ya asili ya wazungu, na pia wachina huzaliwa na wachina tu.

Kuna mbilikimo wa aina nyingine ambao wanapata matatizo ya mwili kushindwa kutengeneza hormones zinazohitajika mwili kukua, na hivyo kubaki na umbo la kitoto maisha yao yote; hawa wanajulikana kama drwafs. Mbilikimo wa aina hii huweza kutokea katika familia yoyote ile, wazazi wawili warefu wanaweza kuzaa mbilikimo wa aina ya dwarf.

Theories zinazonyesha kuwa evolutionary process iliyosababisha waafrika wakawa na ngozi nyeusi kutokana na mazingira ya joto la tropical, ndiyo pia iliyosababisha watu waliokuwa wakiishi kwenye misitu mizito kama vile Kongo kuwa wafupi kwa vile miili yao ilikuwa inakosa mwanga wa jua kutengeneza vitamin D; kwa hiyo miili yao ikawa haiwezi ku-absrob calcium ya kutosha, jambo liliosababisha wawe na mifupa midogo na hivyo kuwa na miili midogo. Misitu ya Kongo ndiyo yenye mbilikimo wengi wa aina hiyo ikifuatiwa na misitu ya Amazon huko Brazili. Kuna sehemu nyingine za dunia kama Papua New Guinea na Australia ambako pia kuna mbilikimo waliotokana na misitu mikubwa iliyokuweko maeneo hayo.
UMESOMA MKUU kama mtu hajaelewa basi tena
 
Kichuguu, you have made my day!. Niombe wala ambao hawajamuelewa wajue kuwa ametoa maelezo kwa ufupi sana lakini yanayojitosheleza. Ila mnaweza kuendelea kujifunza zaidi kwa kutafiti tena na tena badala ya kubisha kwa kitu msichokijua. Unapozungumzia evolution ni kitu complex kidogo, sio cha kuendea haraka
😁😀😂😂🤣
 
Wale mbilikimo wa congo ni watamu kinoma yaani nyama yake kama ya pundamilia vile alooo ni watamu jamani.
 
Mkuu Kwani Wanaliwa?Yes wale ni chakula safi wanaliwa yaani wana nyama flani hivi, lakini sio mbilikimo wote wa congo ispokuwa hao nnao kwambia na sababu wanaishi msituni wanajua kama wao ni nyama.
 
Nilisoma kozi moja ivi ya CHORDATE ZOOLOGY PALE UDSM kuna theory kibao za evolution lakini naona mengi ni nadharia tu?Eti mara maisha yalianzia baharin mara wengine nchi kavu!!nikaona ni story tu za kuvutia hazina mantiki yeyote!!!cha msingi mkono kinywani!!!
 
Swaali zuri sana;

Kwanza fahamu kuwa kuna mbilikimo wa aina mbili: mbilikimo wa asili (pygmy) na mbilikimo wa ugonjwa (dwarf). Wale wa kongo ni mbilikiko wa asili kwa maana ya kuwa maumbile yao ni asili yao na yanatokana na mazingira yao ya asili. Umbilikimo wa aina hii ni hereditary kwa maana ya kuwa huzaliwa na mbilikimo pia. Ni kama ambavyo maumbile ya asili ya waachina yalivyo tofauti na maumbile ya asili ya wazungu, na pia wachina huzaliwa na wachina tu.

Kuna mbilikimo wa aina nyingine ambao wanapata matatizo ya mwili kushindwa kutengeneza hormones zinazohitajika mwili kukua, na hivyo kubaki na umbo la kitoto maisha yao yote; hawa wanajulikana kama drwafs. Mbilikimo wa aina hii huweza kutokea katika familia yoyote ile, wazazi wawili warefu wanaweza kuzaa mbilikimo wa aina ya dwarf.

Theories zinazonyesha kuwa evolutionary process iliyosababisha waafrika wakawa na ngozi nyeusi kutokana na mazingira ya joto la tropical, ndiyo pia iliyosababisha watu waliokuwa wakiishi kwenye misitu mizito kama vile Kongo kuwa wafupi kwa vile miili yao ilikuwa inakosa mwanga wa jua kutengeneza vitamin D; kwa hiyo miili yao ikawa haiwezi ku-absrob calcium ya kutosha, jambo liliosababisha wawe na mifupa midogo na hivyo kuwa na miili midogo. Misitu ya Kongo ndiyo yenye mbilikimo wengi wa aina hiyo ikifuatiwa na misitu ya Amazon huko Brazili. Kuna sehemu nyingine za dunia kama Papua New Guinea na Australia ambako pia kuna mbilikimo waliotokana na misitu mikubwa iliyokuweko maeneo hayo.
Asante kwa ufafanuzi, je vipi kuhusu wanasayansi wanaosema environmental factors can not be inherited? Yaani ilitegemea kama Adam na Hawa walikua wazungu basi wanadam wote ilitakiwa tuwe wazungu
 
Back
Top Bottom