Kwanini Mbilikimo wengi wanapatikana kwenye Misitu ya DRC

Kwanini Mbilikimo wengi wanapatikana kwenye Misitu ya DRC

kwa sababu pale ndiyo kuna mazingira yanayowafaa kwa makuzi yao (ecological niche) hapo zamani kabla ya binadamu kuanza kusafiri masafa ya mbali kama ilivyo sasa.
👏👍✌
 
Swaali zuri sana;

Kwanza fahamu kuwa kuna mbilikimo wa aina mbili: mbilikimo wa asili (pygmy) na mbilikimo wa ugonjwa (dwarf). Wale wa kongo ni mbilikiko wa asili kwa maana ya kuwa maumbile yao ni asili yao na yanatokana na mazingira yao ya asili. Umbilikimo wa aina hii ni hereditary kwa maana ya kuwa huzaliwa na mbilikimo pia. Ni kama ambavyo maumbile ya asili ya waachina yalivyo tofauti na maumbile ya asili ya wazungu, na pia wachina huzaliwa na wachina tu.

Kuna mbilikimo wa aina nyingine ambao wanapata matatizo ya mwili kushindwa kutengeneza hormones zinazohitajika mwili kukua, na hivyo kubaki na umbo la kitoto maisha yao yote; hawa wanajulikana kama drwafs. Mbilikimo wa aina hii huweza kutokea katika familia yoyote ile, wazazi wawili warefu wanaweza kuzaa mbilikimo wa aina ya dwarf.

Theories zinazonyesha kuwa evolutionary process iliyosababisha waafrika wakawa na ngozi nyeusi kutokana na mazingira ya joto la tropical, ndiyo pia iliyosababisha watu waliokuwa wakiishi kwenye misitu mizito kama vile Kongo kuwa wafupi kwa vile miili yao ilikuwa inakosa mwanga wa jua kutengeneza vitamin D; kwa hiyo miili yao ikawa haiwezi ku-absrob calcium ya kutosha, jambo liliosababisha wawe na mifupa midogo na hivyo kuwa na miili midogo. Misitu ya Kongo ndiyo yenye mbilikimo wengi wa aina hiyo ikifuatiwa na misitu ya Amazon huko Brazili. Kuna sehemu nyingine za dunia kama Papua New Guinea na Australia ambako pia kuna mbilikimo waliotokana na misitu mikubwa iliyokuweko maeneo hayo.
Suala la kukosa mwanga na kuwa wafupi nakataa. Ulishawahi kuona mmea unaoota karibu na mwanga lakini haupati huo mwanga? Mmea hurefuka kufuata mwanga. Hata miti ndani ya misitu kama hiyo huwa mirefu sana kwa lengo la kufuata mwanga. Haiwezi kuwa kinyume kwa binadamu
 
Swaali zuri sana;

Kwanza fahamu kuwa kuna mbilikimo wa aina mbili: mbilikimo wa asili (pygmy) na mbilikimo wa ugonjwa (dwarf). Wale wa kongo ni mbilikiko wa asili kwa maana ya kuwa maumbile yao ni asili yao na yanatokana na mazingira yao ya asili. Umbilikimo wa aina hii ni hereditary kwa maana ya kuwa huzaliwa na mbilikimo pia. Ni kama ambavyo maumbile ya asili ya waachina yalivyo tofauti na maumbile ya asili ya wazungu, na pia wachina huzaliwa na wachina tu.

Kuna mbilikimo wa aina nyingine ambao wanapata matatizo ya mwili kushindwa kutengeneza hormones zinazohitajika mwili kukua, na hivyo kubaki na umbo la kitoto maisha yao yote; hawa wanajulikana kama drwafs. Mbilikimo wa aina hii huweza kutokea katika familia yoyote ile, wazazi wawili warefu wanaweza kuzaa mbilikimo wa aina ya dwarf.

Theories zinazonyesha kuwa evolutionary process iliyosababisha waafrika wakawa na ngozi nyeusi kutokana na mazingira ya joto la tropical, ndiyo pia iliyosababisha watu waliokuwa wakiishi kwenye misitu mizito kama vile Kongo kuwa wafupi kwa vile miili yao ilikuwa inakosa mwanga wa jua kutengeneza vitamin D; kwa hiyo miili yao ikawa haiwezi ku-absrob calcium ya kutosha, jambo liliosababisha wawe na mifupa midogo na hivyo kuwa na miili midogo. Misitu ya Kongo ndiyo yenye mbilikimo wengi wa aina hiyo ikifuatiwa na misitu ya Amazon huko Brazili. Kuna sehemu nyingine za dunia kama Papua New Guinea na Australia ambako pia kuna mbilikimo waliotokana na misitu mikubwa iliyokuweko maeneo hayo.
Huu uzi ufungwe sasa
 
Mimi siamini mambo ya jua wala mwanga nachoamini ni mwingiliano tu wa watu na kuishi eneo fulani muda mrefu sana hivyo kudominate lile eneo na kuendelea kuzaliana. Kwa hiyo point hapo ni reproduction na domination growth ya generation inayofanana ivo kukua kwa muda mrefu.
 
Kwa mlio tembea tembea, hivi kuna Mbilikimo wa jamii za
Wazungu ?
Waarabu ?
Wahindi ?
Wachina ?
Wafilipino ?
Nk
Ukiaachana hawa wa Kiafrika.
 
Kwa mlio tembea tembea, hivi kuna Mbilikimo wa jamii za
Wazungu ?
Waarabu ?
Wahindi ?
Wachina ?
Wafilipino ?
Nk
Ukiaachana hawa wa Kiafrika.
Nadhani Waliopata Bahati Kutembea Kwenye Mabara Mengine Huko Watakuja Kutujuza Iwapo Kweli Na Kwa Wenzetu Wapo Ama Vp
 
Suala la kukosa mwanga na kuwa wafupi nakataa. Ulishawahi kuona mmea unaoota karibu na mwanga lakini haupati huo mwanga? Mmea hurefuka kufuata mwanga. Hata miti ndani ya misitu kama hiyo huwa mirefu sana kwa lengo la kufuata mwanga. Haiwezi kuwa kinyume kwa binadamu
Hapa kuna mambo mawili ya kuelewa: kuishi na kustarehe.Usichanganye Photosynthesis ambayo ni effort ya mmea kuishi na vitamin D absorption ambayo ni effort ya mwili wa mnyama kustarehe. Photosyntesis in active process ambapo mmea unastruggle kuish iwakati Vitamin D basorption ni passive process ya mwili kuweza kujistarehesha Swala la survival ni kubwa sana katika living objects.
 
Swaali zuri sana;

Kwanza fahamu kuwa kuna mbilikimo wa aina mbili: mbilikimo wa asili (pygmy) na mbilikimo wa ugonjwa (dwarf). Wale wa kongo ni mbilikiko wa asili kwa maana ya kuwa maumbile yao ni asili yao na yanatokana na mazingira yao ya asili. Umbilikimo wa aina hii ni hereditary kwa maana ya kuwa huzaliwa na mbilikimo pia. Ni kama ambavyo maumbile ya asili ya waachina yalivyo tofauti na maumbile ya asili ya wazungu, na pia wachina huzaliwa na wachina tu.

Kuna mbilikimo wa aina nyingine ambao wanapata matatizo ya mwili kushindwa kutengeneza hormones zinazohitajika mwili kukua, na hivyo kubaki na umbo la kitoto maisha yao yote; hawa wanajulikana kama drwafs. Mbilikimo wa aina hii huweza kutokea katika familia yoyote ile, wazazi wawili warefu wanaweza kuzaa mbilikimo wa aina ya dwarf.

Theories zinazonyesha kuwa evolutionary process iliyosababisha waafrika wakawa na ngozi nyeusi kutokana na mazingira ya joto la tropical, ndiyo pia iliyosababisha watu waliokuwa wakiishi kwenye misitu mizito kama vile Kongo kuwa wafupi kwa vile miili yao ilikuwa inakosa mwanga wa jua kutengeneza vitamin D; kwa hiyo miili yao ikawa haiwezi ku-absrob calcium ya kutosha, jambo liliosababisha wawe na mifupa midogo na hivyo kuwa na miili midogo. Misitu ya Kongo ndiyo yenye mbilikimo wengi wa aina hiyo ikifuatiwa na misitu ya Amazon huko Brazili. Kuna sehemu nyingine za dunia kama Papua New Guinea na Australia ambako pia kuna mbilikimo waliotokana na misitu mikubwa iliyokuweko maeneo hayo.


Em tuambie pia kwann wapare ni wafupi vile jaman khah!
 
Em tuambie pia kwann wapare ni wafupi vile jaman khah!
Rwanda Huko Mbilikimo Wameandaliwa Mashindano Ya Urembo (Miss) Bila Kujari Hali Yao


Wenyewe Wamesema Ndiyo Kwa Mara Ya Kwanza
Wanapatiwa Nafasi Tele Kuonyesha Nao Wana Nafasi Kwenye Jamii
 
Kama nimemuelewa vizuri kichuguu, ukosefu wa Vit. D ni chanzo cha watu kuwa wafupi. Eskimos wanaishi kwenye nchi ambayo miezi sita ni giza totoro na miezi sita ni mwanga ila jua siyo la kutosha na wamezungukwa na barafu. This can be the reason why they are so short. Swali je, waruguru inakuwaje?
 
I hope there are so many people here who would like to learn about these theories. And most of them are swahili speakers.i advise you to use swahili...so that many will understand the topic but also some will avoid using that broken english.

Using english doesnt guarantee/prove that you are educated.its a language just like other languages.so dudes, invite others in the discussion by using swahili
 
Swaali zuri sana;

Kwanza fahamu kuwa kuna mbilikimo wa aina mbili: mbilikimo wa asili (pygmy) na mbilikimo wa ugonjwa (dwarf). Wale wa kongo ni mbilikiko wa asili kwa maana ya kuwa maumbile yao ni asili yao na yanatokana na mazingira yao ya asili. Umbilikimo wa aina hii ni hereditary kwa maana ya kuwa huzaliwa na mbilikimo pia. Ni kama ambavyo maumbile ya asili ya waachina yalivyo tofauti na maumbile ya asili ya wazungu, na pia wachina huzaliwa na wachina tu.

Kuna mbilikimo wa aina nyingine ambao wanapata matatizo ya mwili kushindwa kutengeneza hormones zinazohitajika mwili kukua, na hivyo kubaki na umbo la kitoto maisha yao yote; hawa wanajulikana kama drwafs. Mbilikimo wa aina hii huweza kutokea katika familia yoyote ile, wazazi wawili warefu wanaweza kuzaa mbilikimo wa aina ya dwarf.

Theories zinazonyesha kuwa evolutionary process iliyosababisha waafrika wakawa na ngozi nyeusi kutokana na mazingira ya joto la tropical, ndiyo pia iliyosababisha watu waliokuwa wakiishi kwenye misitu mizito kama vile Kongo kuwa wafupi kwa vile miili yao ilikuwa inakosa mwanga wa jua kutengeneza vitamin D; kwa hiyo miili yao ikawa haiwezi ku-absrob calcium ya kutosha, jambo liliosababisha wawe na mifupa midogo na hivyo kuwa na miili midogo. Misitu ya Kongo ndiyo yenye mbilikimo wengi wa aina hiyo ikifuatiwa na misitu ya Amazon huko Brazili. Kuna sehemu nyingine za dunia kama Papua New Guinea na Australia ambako pia kuna mbilikimo waliotokana na misitu mikubwa iliyokuweko maeneo hayo.

Mkubwa sorry naomba turekebishane kitu kimoja hapo juu
Pygmy ni mbiliko by nature amezaliwa hivyo ndio kama hao walioko huko drc

Ila Dwarf sio mbilikimo wa ugonjwa bali ni mbilikimo wa jamii za kimiujiza miujiza ama za kichwawi ndio kama goblin vile trool, elf, fairy nk ni hilo tu nilitaka tujuzane kidogo
 
Back
Top Bottom