Askari Lissu anaosema huwa wanakuwa lindo masaa 24 walikuwa wapi akipigwa risasi? Waliondoka saa ngapi na walirudi saa ngapi??Zilikuwa kwa fundi ziliharibika.
Jaribu kuuliza askari waliotakiwa kuwa zama siku hiyo na pia camera za eneo la tukio
Wapi?Walikuwa Lunch.
Kwa hiyo, machale ndio kigezo?!!?!Wakuu kwema? Nini kiitokea kikafanya Mbowe aahirishe ghafla safari aliyokuwa ameipanga? Hamuoni kwamba ana machale?
Nashauri tumpitishe kwa kishindo ili machale yake yaendelee kukibeba chama. Makamada piiipooooz.
View attachment 3186158
Walishirikiana na Mbowe kuzitoa.Jaribu kuuliza askari waliotakiwa kuwa zama siku hiyo na pia camera za eneo la tukio
Wakuu kwema? Nini kiitokea kikafanya Mbowe aahirishe ghafla safari aliyokuwa ameipanga? Hamuoni kwamba ana machale?
Nashauri tumpitishe kwa kishindo ili machale yake yaendelee kukibeba chama. Makamada piiipooooz.
View attachment 3186158
Walimkabdihi nani silaha zao?Makwao