johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Sasa maadui zake TAL si ndio walitake advantage 🐼"Hauwezi kuwa msaliti ukasurvive" Magufuli kwenye press.
Siku hiyohiyo Lissu akala shaba zaidi ya 16 mwilini.
Mke mwenyewe wa Mtu ndio yeye 🐼Upo serious??
Mungu akisema upumzike kwa faida ya watu wake unakufa na ameumba na anatwaa pia shida nn.Mungu ndiyo anaua watu?
Sawa sawa mpumbavu promaxAkili za kupumbavu.
Ukuma umeandika hapaWakuu kwema? Nini kiitokea kikafanya Mbowe aahirishe ghafla safari aliyokuwa ameipanga? Hamuoni kwamba ana machale?
Nashauri tumpitishe kwa kishindo ili machale yake yaendelee kukibeba chama. Makamada piiipooooz.
View attachment 3186158
Huyo jamaa ni punguani usisumbue akili yako. Unajibishana na msenge mmoja hivi. Ana force battle mpishe tu.Ukuma umeandika hapa