Kwanini mbwa hugongwa sana na magari barabarani?

mi nachoonaga mbwa wanakuwaga na ujasiri fulani, yaani siyo waoga km mbuzi. Kutokujali.
 
Wanyama wengi huwa na mtu wa kuwalinda sio mbwa na paka
Wakivuka hawaangalii magari ko lazma walimwe tu,
 
Hasa nyakati za usiku hua wanashindwa kutathimini umbali wa gari na hapo alipo sababu ya taa
 
Naona kama inamake sense
 
Vyovyote iwavyo, wakigongwa au wamegongwa, swali ni je walipofikwa na kitendo cha kugongwa wote hao walikuwa wamekufa au walikuwa wazima ??
Nadhani wengine watakua walikimbia.
 
Tutafsirie KWA kiswwhili mkuu
 
Hilo la binadamu kugongwa nililijibu (unaweza kurejea). Halafu unasema sio kweli kuwa mbwa ana akili kuliko wanyama wengine, ni wanyama wepi hao wenye akili kuliko mbwa? Na je, wanafundishika?
 
KKwahiyo mkuu kigezo chako cha wewe mbwa kuwa na akili kuliko wanyama wengine ni KWA sababu anafunidishika
Hilo la binadamu kugongwa nililijibu (unaweza kurejea). Halafu unasema sio kweli kuwa mbwa ana akili kuliko wanyama wengine, ni wanyama wepi hao wenye akili kuliko mbwa? Na je, wanafundishika?
 
Ehhh, eti mbwa kugongwa na magari [emoji849][emoji849] hell my foot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…