OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #41
haya ndio maneno sasaMie napenda wageni maana sina ndugu labda kusema hana issue aje tu kukaa kwangu. Kila mtu ana issues zake. Hata mimi nikienda nyumbani mama ataniuliza hilo swali ni kama kautaratibu hivi haina kukomeshana ni kuangalia jinsi gani utaspend time na mtu wako.
Kama atakaa siku mbili inabid uache na shughuli nyingine ufocus kwake kwa muda huo mchache
haya ndio maneno haswaMie hua nauliza 'upo mpaka lini' ili nijue vile nitafix ratiba yangu niweze enjoy na mgeni wangu. Pia kama anakaa siku chache nianze kumlaumu
😂😂😂 hukutengwa?Kuna dada angu nilimuuliza anakuja kufanya nini, ukawa ugomvi mkubwa sana.
Miafrika ndivyo tulivyo.
Ifike mahali tuambizane ukweli.Kuna dada angu nilimuuliza anakuja kufanya nini, ukawa ugomvi mkubwa sana.
Miafrika ndivyo tulivyo.
umenikumbusha jambo mkuu. Kuna dogo mmoja wa kijijini tulikuwa naye alikuwa safarini kwenda machimboni akanipigia simu afikie home kesho aendelee na safari. Bila hata kufuatilia historia yake nikachukulia poa,nikapiga simu home wakampokea. Kumbe ni kibaka mno hata kwa muonekano tu. Ili asionekane mbaya wife akaficha huo ukweli. Bahati nzuri alilala mabanda ya nje,akaiba baiskeli na vyombo vya ndani akasepa usiku kwa usiku. Nakuja kutoa taarifa kijijini wakaniambia alishakuwa kibakaIfike mahali tuambizane ukweli.
Akija aseme alichofuata na atakuwepo kwa muda gani.
Lazima tuende kwa utaratibu.
Kwa mfano huko alikotoka ametenda uhalifu. Kitendo kumhifadhi mhalifu ni kosa la jinai na unaweza ukabananishwa nalo.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Swali linajieleza kabisa. Hili lipo sana kwenye familia za Kiafrika.
Nimepokea mgeni, kutokana na mipangilio ya kifamilia na kibajeti nalazimika kumuuliza atakaa hapa ugenini kwa muda gani.
Mara mgeni anaanza kusambaza taarifa mimi ni mbinafsi, sitaki kutembelewa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu uzi ni wa kibongo hasa yaani !Swali linajieleza kabisa. Hili lipo sana kwenye familia za Kiafrika.
Nimepokea mgeni, kutokana na mipangilio ya kifamilia na kibajeti nalazimika kumuuliza atakaa hapa ugenini kwa muda gani.
Mara mgeni anaanza kusambaza taarifa mimi ni mbinafsi, sitaki kutembelewa 😂😂😂😂😂
😂😂 tafsida?Cha kufanya ni kupunguzwa ukali wa maneno tu usimuulize "Unaondoka lini" badala yake muulize "Utakuwa hapa hadi lini??" huku ukitabasamu kwa bashasha.
kwa nini umefikiria wa mjini tu,kwani wa kijijini hawezi kuuliza unaondoka lini ili atafututie mbuzi mnonoIla mkienda kijijini kwa huyo mliyemuuliza nini ndo mnakomba mazao yake yote kila kitu mnasema nifungie tu, mahindi, maharage rangi zote, karanga, njugu, mikungu ya ndizi, mihogo, parachichi mpaka passo inachuchumaa kama mbuzi anakojoa. Wakati wewe unakasirika mgeni amekaa sana yeye anafurahi kwamba amekufungia mazagazaga kwake ni baraka.
Tukubali tu kwamba maisha ya mjini ni ya kimaskini, ya bush ni raha bila presha
Haswaaaa[emoji23][emoji23] tafsida?
inahusiana vipi na uchoyo?Bado hatujafikia huko kuwa wachoyo na wabinafsi bongo hii chakula Hadi Cha buku unapata Tena ni huko huko dar vyakula kibao
Kuna siku nilikua naangalia movie nikaona mama mzazi kaja as a surprise mwanae akamuuliza what are u doing here? Mama akajibu i came to visit. How long will u stay mama akajibu two weeks ikapita... nikawaza mama yangu nimuulize what are u doing here and how long will u stay si ntabaki yatima mie [emoji2302][emoji2302][emoji2302][emoji2302]