Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Hiyo sio kauli ya kiungwana.Swali linajieleza kabisa. Hili lipo sana kwenye familia za Kiafrika.
Nimepokea mgeni, kutokana na mipangilio ya kifamilia na kibajeti nalazimika kumuuliza atakaa hapa ugenini kwa muda gani.
Mara mgeni anaanza kusambaza taarifa mimi ni mbinafsi, sitaki kutembelewa πππππ
I wish nikutembelee!Mie napenda wageni maana sina ndugu labda kusema hana issue aje tu kukaa kwangu. Kila mtu ana issues zake. Hata mimi nikienda nyumbani mama ataniuliza hilo swali ni kama kautaratibu hivi haina kukomeshana ni kuangalia jinsi gani utaspend time na mtu wako.
Kama atakaa siku mbili inabid uache na shughuli nyingine ufocus kwake kwa muda huo mchache
πππππππ₯π₯π₯π₯π₯Waafrika tunapenda sana kitonga. Kuna kijana mmoja fundi kujenga hapo Dar-Chamanzi kaoa Mnyamwezi, wamepanga vyumba viwili hali ngumu ila mama mkwe na kaka wawili wa dada/mke wapo hapo mwaka wa pili unaisha. Sijui wanalalaje.
Kijana alijaribu kumuuliza mke wake mama na kaka zake wanaondoka lini palikuwa hapatoshi. Walimchangia wote wanne kuwa ni mbinafsi na mchoyo.
Kumsaidia ndugu si lazima aje akae kwako,unaweza kumsaidia hata akiwa huko kwake.Tulikuwa tunaona kwenye michezo TV watu wakifika mjini wanasahau ndugu zao ndo haya sasa, kuna watu wakifikaga mjini wanajionaga kama wako kwenye bunge la bajeti kila kitu atataka akipigie hesabu hasa wale wenye vipato flani ivii, halafu malofa ya hivi yanaongoza KUHONGA balaa
Unamuuliza ndugu yako utakaa siku ngapi huku dhamira yako ya ndani ni kuexamine damage/burden atakayokuletea huo ni Uchoyo Roho Mbaya tu
Jiulize ukishindwa kumsaidia ndugu yako nani amsaidie?? Ni maana ya undugu, kama huna kitu mwambie kwa staha na hata yy mwenyewe atajionea.
Tuache kuigaiga umagharibi f**ck off.
Utasaidiwa kwa Mpesa sio lazima uje ugombanie remote na watoto wa dada yako.Tulikuwa tunaona kwenye michezo TV watu wakifika mjini wanasahau ndugu zao ndo haya sasa, kuna watu wakifikaga mjini wanajionaga kama wako kwenye bunge la bajeti kila kitu atataka akipigie hesabu hasa wale wenye vipato flani ivii, halafu malofa ya hivi yanaongoza KUHONGA balaa
Unamuuliza ndugu yako utakaa siku ngapi huku dhamira yako ya ndani ni kuexamine damage/burden atakayokuletea huo ni Uchoyo Roho Mbaya tu
Jiulize ukishindwa kumsaidia ndugu yako nani amsaidie?? Ni maana ya undugu, kama huna kitu mwambie kwa staha na hata yy mwenyewe atajionea.
Tuache kuigaiga umagharibi f**ck off.
Lililopo kwenye jamii ya kiafrika ni kitembeleana, ila sio kuulizana unaondoka lini.Swali linajieleza kabisa. Hili lipo sana kwenye familia za Kiafrika.
Nimepokea mgeni, kutokana na mipangilio ya kifamilia na kibajeti nalazimika kumuuliza atakaa hapa ugenini kwa muda gani.
Mara mgeni anaanza kusambaza taarifa mimi ni mbinafsi, sitaki kutembelewa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe andaa tu hiyo nauli tangu unapoarifiwa kuwa nakuja kwako.kwa nini asiulizwe? sababu ni nini,labda mwenyeji anataka kuandaa nauli asije kushtukizwa
Usiwe shortminded ndugu yangu kwani msaada ni pesa tu, kwani unafikiri kila atakayekuja kwako atahitaji pesa tu na vipi akija kwako ilihali amekuzidi kipato bado utamuuliza hilo swali??Utasaidiwa kwa Mpesa sio lazima uje ugombanie remote na watoto wa dada yako.
Kama akihitaji kuwa kwako utafanyaje??Kumsaidia ndugu si lazima aje akae kwako,unaweza kumsaidia hata akiwa huko kwake.
Kwa mgonjwa sawa ila hawa wengine hapana.Usiwe shortminded ndugu yangu kwani msaada ni pesa tu, kwani unafikiri kila atakayekuja kwako atahitaji pesa tu na vipi akija kwako ilihali amekuzidi kipato bado utamuuliza hilo swali??
lets say uko Dsm ndugu yako akahitaji clinic ya matibabu ya mwezi pale muhimbili utakataaa??
Akija kwako anahitaji kupumzika baada ya ugomvi wa mke/mume wake utakataa??
Akija kwako kukaa kufanya field ndani ya eneo ulilopo utakataa??
N.B Kuna vitu tumevikuta kwenye jamii hatuna budi kuvienzi
Basi panga maisha yako yoteNdio mana nakwepa kuwa na nyumba kubwa.
Usiishi kwa nadharia, hao vijana mnaosema hawajitumi mshawahi kuwapa darasa ya kujituma na umuhimu wake, mshawapa mitaji au idea za kuweza kujikamua wakaondoka hapo kwenu.Kwa mgonjwa sawa ila hawa wengine hapana.
Ndoa nyingi zimevunjika sababu ya kukaa na ndugu, vijana wengi hawafanyi kazi wala kuumiza vichwa kwa kuwa wanaishi kwa ndugu na wanapata kila kitu.
Alikupa akili ya maisha.Braza alniulzaga nlvyofka kwake hata cjaoga nkamwambia nalala kesho naptlza wakat nlkua nahtaj kukaa 2 wks nlihamia gest ya 8000
hiyo let say ni sababu tosha,na inajulikana mazingira yaliyomuweka ndugu na unajipanga namna ya kumsadia. Na unajua shida ikiisha ataondokaUsiwe shortminded ndugu yangu kwani msaada ni pesa tu, kwani unafikiri kila atakayekuja kwako atahitaji pesa tu na vipi akija kwako ilihali amekuzidi kipato bado utamuuliza hilo swali??
lets say uko Dsm ndugu yako akahitaji clinic ya matibabu ya mwezi pale muhimbili utakataaa??
Akija kwako anahitaji kupumzika baada ya ugomvi wa mke/mume wake utakataa??
Akija kwako kukaa kufanya field ndani ya eneo ulilopo utakataa??
N.B Kuna vitu tumevikuta kwenye jamii hatuna budi kuvienzi