Aliwajaza kwa falsafa zake, lakini kwa huyu vasco da gama wanaona bora liende tu.Dhalimu alijaza wabunge wa CCM bungeni kwa kisingizio kuwa ni wazalendo, mbona hawapingi kinachofanywa na serikali huko bungeni?
Hili jamaa ni puuzi tu halina hadhi ya kuwa JF memberKwa hiyo wamasai wanaopigaka nao ni sukuma gang? Huna hoja kaa pembeni na kauli za sukuma gang hapa. Vasco da gama atashuhudia mengi we subiri ujionee tu, kuna wakati atarudi kwa wananchi kuwaomba na hutoamini kuwa hata dola zinashindwa mbele ya wananchi waliochoka na uonevu kama wanaofanyiwa wamasai.
Kabla ya uhuru mgogoro wa kukaa mwarabu ulikuwepo? Hapo nani alikuwa anaratibu suala hilo? Mkoloni vs wamasai na ukadumu hadi leo? Mnakuwa stupid hadi mnapitiliza kisa mnavaa ushingi wa kiarabu nyote.Mabomu mengi aliyo tega mwanakwendazake ndo yanamlipukia Mazaa, likiwepo hilo la Ngorongoro! Lakini, ukweli ni kwamba matatizo ya Ngorongoro yapo tangu zamani, kabla hata ya uhuru! Ukitumia huo mgogoro kumponda Mazaa, ni u-shortsightedness mindset tu!
Kitu ambacho nina uhakika nacho kwa asilimia mia ni kuwa wewe ni taahiraUnless tukubali kuwa wewe huna akili ndipo statement yako iwa sahihi
Kwani alikuw hajui kuwa kuna mgogoro ambao haujapata ufumbuzi?Uliusikia? Au unaibuliwa pale wanapokaa walamba asali? Mlishasema kila awamu na maamzi yake, wakati wa JPM waliotaka eneo walikaa kimya we ulitaka awafuate hukohuko? Wakati wa vasco da gama wameona warudi kwa kasi maana wanaona ni fursa kubwa kupata kupitia walegevu hawa.
Uliibuka kipindi chake? Unapoibuliwa ndo ufanyiwe ufumbuzi, walikaa kimya kwa kujua hatutatoboa. Kesi ili itatuliwe pande ya mdai ndo inaraise siyo wewe mdaiwa ndo useme kuna hili. Walikaa kimya wakijua hatutatoboa ila kaingia wakala wao wakalianzisha tena.Kwani alikuw hajui kuwa kuna mgogoro ambao haujapata ufumbuzi?
Ukimsikiliza Old Moshi ndio utajua awamu ya Mwendazake walishikwa papaya,nikajiuliza mbona awamu nyingine hatukumsikia Fatma Karume wala Maria Sarungi wakipiga kelele manake kulikuwa na ufisadi wa kutisha,Ulimboka kutekwa kutolewa meno na kucha, boss wa home shopping center na kubenea kumwagiwa tindikali etc hatukuwasikia kabisa.Hii awamu ya sita imeshindwa kabisa kuiondoa sifa ya "wapiga dili" waliyoanza nayo.
Na jamaa wanafiki wa ACT Wazalendo wote wapo kimya kuhusu hili suala, hakuna yeyote kati yao anayefungua mdomo.
Yule Fatma Karume na ile mihemko yake ya udini nae kimya, kapotea, naamini huko alikojificha ameshapata majibu ya nani mdini kati yake na wale aliokuwa anawasema.
Ji evaluate wewe uone ulivyo mtupu kichwani. JPM was the best ever! Usipouona huo ukweli wewe ni wa kuhurumiwaKitu ambacho nina uhakika nacho kwa asilimia mia ni kuwa wewe ni taahira
Ana tabia kama za mke mwenza, anapenda sana majungu na fitina za mitandaoni. Anaishi na machungu.Hata huyo marehemu wako hana lolote,kama unakiri kuwa mzozo huo upo tangu enzi za Mwinyi ikimaanisha hata wakati wake huyo mtu wako huo mzozo ulikuwepo jee yeye alifanya juhudi gani kuutatua? Wacha hizo
Hakuna atakayekufuza kwenye nchi yako. Tatizo la mawazo kama haya siku zote hayana ushawishi mbele ya watumakini kwani hayajitoshelezi.Huyu mmakunduchi hadi amalize muda wake Nchi itakuwa imeuzwa kabisa. Sasa hivi wamesaini mkataba wa LNG usio na uwazi si kwa wananchi au wabunge. Wananchi wa kusini tujiandae kufukuzwa kwenye Nchi yetu kama wa Ngorongoro. Yeye haoni maumivu kwa kuwa yeye sio wa huku Tanganyika
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaumia sema anajikazaJi evaluate wewe uone ulivyo mtupu kichwani. JPM was the best ever! Usipouona huo ukweli wewe ni wa kuhurumiwa
Wewe mbwiga kama ulimuona hivyo usilazimishe kila mtu amuone hivyo. Kwangu mimi yule ni shetani tu na huna uwezo wa kunibadilisha nione tofauti. Ndiyo maana huyo ibilisi alikuwa anaua wenye kutofautiana naye.Ji evaluate wewe uone ulivyo mtupu kichwani. JPM was the best ever! Usipouona huo ukweli wewe ni wa kuhurumiwa
Hilo la kubadili katiba unapotosha, mzalendo namba moja hakuwahi kuwazia hilo. Wabunge walichaguliwa na wananchi. Wao wanatakiwa wawe na meno kwa maslahi ya taifa. Usimsingimzie mzalendo namba moja. Sasa hivi mnauzwa kama nguruwe.
Kwani Magufuli aliwahi kufanya ziara huko Oman?Oterlo business Corporation ni akina nani? Na kwa nini wanalitaka hili eneo la Loliondo tokea miaka ya utawala wa Mwinyi?
Loliondo gate kuna nini? Kwa nini wakati wa hayati JPM haya masuala hayakuibuka?
Hawa OBC wana siri kubwa na nzito hawa sio watu wema.
Mkuu wa nchi anashiriki kutwanga vitu vizito raia maskini wasio na mbele wala nyuma.
Polepole pia alisema kuwa, mnaweza kudhani mna serikali, kumbe kuna kikundi cha wahuni ndio wanaoiongoza serikali yenu.Nasikia kwa mbaali sauti ya JYN, "Kuna siku nchi itapigwa mnada hii"
Halafu nimebaki tu natafakari
Msoga group watakubishia.Kwangu Magufuli was the Best President in the history of Tanzania
Alitumika kumpinga Magufuli. Kazi alishamaliza.Hii awamu ya sita imeshindwa kabisa kuiondoa sifa ya "wapiga dili" waliyoanza nayo.
Na jamaa wanafiki wa ACT Wazalendo wote wapo kimya kuhusu hili suala, hakuna yeyote kati yao anayefungua mdomo.
Yule Fatma Karume na ile mihemko yake ya udini nae kimya, kapotea, naamini huko alikojificha ameshapata majibu ya nani mdini kati yake na wale aliokuwa anawasema.