macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Narudia Magufuli hakuwa na upeo. Kwani unadhani mtu asiye na upeo kuna mambo hapatii angalau kwa muda? Kutokuwa na upeo ni kutoweza ku-focus na kuona miaka kumi baadae au kama alivyokuwa rais, kutokuweza kujua akiondoka mambo yatakuwaje! Kwa kifupi alitakiwa kuona beyond his time as a president! Hivi rais mwenye upeo atataka wabunge wote wawe wa chama kimoja? Hivi rais mwenye upeo atasema watu wanaohoji elimu yake au kumkosoa wauawe?macho_mdiliko unaongea kwa chuki au unaleta ushabiki? Wewe ni mmoja ya wanaJF makini tumia akili zako vizuri.
Kwa reforms alizofanya kwa muda mfupi, alafu unasema hakuwa na uwezo wa kuongoza?