Kwanini Migahawa ya Wakristo Tanzania haina chakula kizuri?

Kwanini Migahawa ya Wakristo Tanzania haina chakula kizuri?

Mkuu sikubaliana kuhusisha Iman na mapishi hata siku moja ,,,na hilo sio jambo jema kwa mtazamo wangu koz kuna siku utaja enda mbali na kutofautisha hadi masoko, bicha choo nk.kinachofanyika sio dini ila ni hadhi ya migahawa unamoingia kupata chakula wewe, naamin utakua unaendaga kwa mama ntilie ndo maana umetaja hadi majina hapo kwene post yako,, hao mama ntilie wapo kila mahali tz na chakula chao gharama ndogo sana kulingana ubora wa chakula chenyewe.
Lakin pia hawa mama zetu wamo kwa ajili ya kupikia watu hasa wa kipato cha chin,,
Jitahidi kuangalia tafit yako usiwe mind closed kwenye dini ,angalia sababu zingine, kama mazingira , utamaduni,
 
Waislamu kwenye kula hawana mpinzani duniani hata motoni...

Nawakubali zaidi kwenye kufinya matonge usiombe upangiwe sahani moja na mtoto wa madrasa utaishia kula punje...

Misosi yao ni mitamu kwa kweli na wana varieties nyingi....

Msilamu mnyime hata papuchi sio sufuria la ubwabwa...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah wenye jamaa nimecheka hatar dah
 
ukweli 100%
kupanga ni kuchagua. kama toka dunia imeumbwa hakuna gari ya kiarabu,hakuna meli ya kiarabu,hakuna ndege ya kiarabu, hakuna kitu mwarabu kavumbua kisayansi mwarabu bado anafuata maagizo ya mnyaaz ndo maana ni bingwa wa kupika,pafyum,mapazia,mabusati kupiga pu... no.
dunia inasonga mbele.
Kwani Ford n ya nani
 
Tokea zama za zamani , hata kabla ya mkoloni muingereza, Ukanda wa pwani umebahatika kuchanganyika na watu wa aina mbali mabali kama Wareno, waspanish, wahindi, waarabu nk, a wote hao kila mmoja alikuja na na mila , Lugha, dini na mapishi yake, hii ili INFLUENCE sana wapwani
 
Mimi ni Mkristo!

Katika kusafiri safiri kwangu mikoani, nimegundua migahawa mingi iliyopo kanda ambazo zina wakristo wengi kama Mwanza, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Iringa n.k. huwa na chakula kibaya sana. Migahawa inayofanya vizuri mara nyingi huwa inamilikiwa na Mama Zena, Hamisa, Hadija, Aisha, Mpemba, n.k. Majina ambayo huwa yana uhusiano na dini ya Kiislamu. Mke wangu ni mpishi mzuri sana, labda kwa sasa alibadiri dini; lakini nasikia wanawake wa kikristo mapishi kwao ni taabu!

Kuna tatizo gani la upishi katika Jamii ya Kikristo Tanzania?
Vipi ulishawahi kula kitimoto kwenye migahawa hiyo unayosema wanajua kupika?
 
Kuna ki restaurant hapa arusha kinaitwa mwambao kinamilikiwa na wazenji kuna pilau mbuzi haijawahi kutokea, hapa kesho Christmas nina mpango wa ku lunch pale
Ni pilau inayosifika zaidi hapa arusha
Watu wa pwani wanajua kupika sababu maeneo yao kuna spices nyingi na wamekuwa nazo wanafahamu kuzitumia vizuri
Hoja ni ya kweli na ukitaka kula kichefuchefu nenda Nairobi, jamaa hawajui kupika sijawahi ona! Misosi iko mombasa. Kwa wale wa Dar kuna msosi wa pilau unaitwa 'Mandi' unspatikana kwenye restsurant za waarabu ziko kariakoo na Tazara. Aisee hilo sosi ni balaa!
 
Mimi ni Mkristo!

Katika kusafiri safiri kwangu mikoani, nimegundua migahawa mingi iliyopo kanda ambazo zina wakristo wengi kama Mwanza, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Iringa n.k. huwa na chakula kibaya sana. Migahawa inayofanya vizuri mara nyingi huwa inamilikiwa na Mama Zena, Hamisa, Hadija, Aisha, Mpemba, n.k. Majina ambayo huwa yana uhusiano na dini ya Kiislamu. Mke wangu ni mpishi mzuri sana, labda kwa sasa alibadiri dini; lakini nasikia wanawake wa kikristo mapishi kwao ni taabu!

Kuna tatizo gani la upishi katika Jamii ya Kikristo Tanzania?
Sema upishi wenyewe, kila kitu kinafanyiwa sakafuni, mara mpishi ajikune, mara mtoto atolewe makamasi, paka naye aje kunusa anyanyuliwe asogezwe mbali. Ukiona hayo maandalizi uroho wote utakuishia, utatamani chakula cha mama Maria. Na siku hiyo utajilamba mpaka.

Bon apetit wateja wa akina mama zena.
 
Utamu na usio utamu ni relative term in terms of food consumption. Mimi nimeshindwa kuelewa wahaya wanaposema matoke ni matamu huo utamu wanaupataje ila ukweli ni kuwa wanauhisi. Wametest hivyo vyakula vingine ila hawajaona huo utamu. Ndo mana nasema UTAMU UKO KWENYE ULIMI WA MUHUSIKA.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uko sawa nimezunguka kampala misosi yao ni natural haswaa haina mbwembwe kabisa hata kama ni kwa muislam
 
Wasukuma watabe wa ugali
Wapare watabe wa MAKANDE
Wachaga wao mtori
Wahaya ndizi tuu
Jamii za watu km hawa watawezaje kupika pilau?

Mwanamke anapika ugali anakula na mtindi afu afu anasifia mtamuuu
Hajui kupika mboga huyu

Ila pwani jamani tuwaaache tuuu

Atakaebisha t
Post hii mbishiiiiiiiiiiiii GENOTYPICALY
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mimi ni Mkristo!

Katika kusafiri safiri kwangu mikoani, nimegundua migahawa mingi iliyopo kanda ambazo zina wakristo wengi kama Mwanza, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Iringa n.k. huwa na chakula kibaya sana. Migahawa inayofanya vizuri mara nyingi huwa inamilikiwa na Mama Zena, Hamisa, Hadija, Aisha, Mpemba, n.k. Majina ambayo huwa yana uhusiano na dini ya Kiislamu. Mke wangu ni mpishi mzuri sana, labda kwa sasa alibadiri dini; lakini nasikia wanawake wa kikristo mapishi kwao ni taabu!

Kuna tatizo gani la upishi katika Jamii ya Kikristo Tanzania?
Umekosea sana kuiweka ktk uislam na ukristo ingekaa kiukanda kungekuwa na mantiki, we mchukue mwanamke muislam wa shinyanga na mwanamke muislam wa tanga hlf wakupikie ndo utajua ishu sio dini ni eneo na tamaduni ya eneo husika
 
Me nafikiri ni interest ya mtu dhidi ya kupika na malezi.
Kwa binti wa kiislamu mara nyingi huwa wanafundishwa kupika pindi wanapokuwa nyumbani na hata kama yupo bize na shule lazima hata wikiend asaidie kupika hata kama kuna msaidizi wa kaz tofauti na hao wengine
Then kama mtu ana interest ya kupika atajifunza tu regardless ni dini ipi
Sasa mara nyingi wakristo hawalelewi hivyo na wala kujifunza hawataki na interest hawana
 
Ni kwa Mara ya Kwanza Nasikia uhusiano kati ya mapishi na dini au dhehebu la mtu! Sina hakika juu ya hili! On top of that utamu wa Chakula ni subjective. Na kitimoto wanapikaga?
 
Back
Top Bottom