Kwanini Mishahara ya Watumishi wa Taasisi za Umma inapishana?

Daktari gani ana mshahara mzuri wewe?

Usome miaka yote hiyo halafu mshahara 1.5 m si ujinga huo.

Mlinzi wa getini f4 wa TPA TPDC anamzidi dr aliesoma miaka 7
 
Na posho pia kamzidi huyo wa TGS D.
Sasa hapo kilichobaki ni kuandaa madokezo ya kununua machupa ya chai na sabuni za chooni ili abane tusenti
 
Kwani daktari ana umuhimu kuliko hao uliowataja?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daktari gani ana mshahara mzuri wewe?

Usome miaka yote hiyo halafu mshahara 1.5 m si ujinga huo.

Mlinzi wa getini f4 wa TPA TPDC anamzidi dr aliesoma miaka 7
Umeona eeee hili sio sawa hii mishahara imekuwa kimichongo michongo na sababu za upishano huu hata azielewek serikal ilipitie tena lasivyo watu wataiba sana
 
Mtakusanya nini kama amna afya ya kueleweka kila mkiumwa mnakufa tu wake zenu wakibeba mimba awajifungui wanakufa wao na watoto wao kuna nini hapo acheni ujanja ujanja bhna
Kwani bila madaktari hakuna afya inayoeleweka, tukiumwa tunakufa tu..tangu zamani watu walikua wanajifunguaje tangu enzi na enzi mpaka ukazaliwa wewe leo na kupata muda wa kutype hapa jf?

Shida watu wa afya mnajipaga umuhimu mkubwa sana, yaani mnajikutaga wadogo zake Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kuwa umemtaja mwalimu acha nikuitie mwanaharakati wa mchongo ndungu Mpwayungu Village
 
Umeona eeee hili sio sawa hii mishahara imekuwa kimichongo michongo na sababu za upishano huu hata azielewek serikal ilipitie tena lasivyo watu wataiba sana
Sasa daktari ataiba nini, wenzako wana fursa za kuiba makontena na tozo wakishikwa wanamalizana na DPP we ukichukua elf 50 ya mgonjwa ukikamatwa unaishia kudhalilishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahyo leo hii ww unasema doctor hana umuhimu tena ?????
 
Kushindwa kuelewa equation rahisi kama hii, its either we sio daktari au daktari kilaza sana mwenye ego kuliko content, ukiwakilisha wenzako wengi wa kaliba yako ya kujipa umuhimu uliopitiliza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hicho kingereza chako kimekuja vipi hapo humu sio wote tunaojua mfano mm sjasoma kabisa ila kama elimu ndo inamfanya mtu kuwa hivyo ulivyo bas akuna umuhimu wa kusoma tunajadil hapa unaanza kuleta vingereza vyako vya shule ya msingi kuzingua watu
 
Sasa daktari ataiba nini, wenzako wana fursa za kuiba makontena na tozo wakishikwa wanamalizana na DPP we ukichukua elf 50 ya mgonjwa ukikamatwa unaishia kudhalilishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa atuongelei wiz wa mtu hiyo ni juu yake tunaongelea mshahara uliopangwa na serikal sio wiz au posho hayo ayatuhusu sisi kama wiz pia unajumuishwa kwenye mishahara yao hapo sawa ila kama wanaiba kwa siri kama waiz wengine hilo ni juu yao sisi tupo hapa katika mpishano wa mishahara
 
Zinztofautiana kwa umuhimu kwenye uchumi na uzalishaji.
 

Kumbe kuna vingereza vya shule ya msingi?!

Kumbe vingereza vinazingua watu?!

Wonder shall never end

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…