Kwanini Mkuu wa Majeshi(JWTZ)anatokea Kamandi Moja tu, wakati tuna Kamandi Sita?

Kila nchi ina mifumo yake ya kijeshi kulingana na geography ya nchi yao ilivyo kwaiyo jeshi linaundwa kulingana na udhaifu na uimara wa mazingira yao yalivyoo sisi TZ askari wengi lazima wapate mafunzo ya infantry na ndiyo msingi wa jeshi letu ulivyo kulingana na geografia ya nchi ilivyoo then navy mwisho anga na kamand zote zinafanya majukumu yao makao makuuu hii yote ni kuzuia mapinduzi kama ambayo yalitakaga kutokea nyuma ila kwa sasa naona ni wakati sahihi kwa nchi kulisuka upya jeshi la anga hasa kulingana na vita vya ukrein na mashambulizi ya Irani drone zimekuwa ndyo msingi mpya wa kuanzishwa mashambulizi kwa adui
 
Mkuu Makonda kaingiaje kwenye Uzi wetu wa Jeshi 😀
 
Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimecheka sana , maanina na juzi akaharisha mbele ya Rais kule Arusha eti kuna mawaziri wanamhujumu Rais.
 
Mkuu! Kwani Makao Makuu si ndiyo kuna Wakuu wa Kamandi zote au?
Lakini ngoja waje wataalamu wa mambo ya kijeshi waseme vizuri.
asante kwa kumsaidia kabla ya kusoma comment nilitaka kumjibu ila nashukuru umemaliza.
Yaani ni kama haielewi kuwa wizara zote zinapatikana makao makuu DODOMA
 
Duuu unamaanisha DG wa tiss Kila siku anaripoti kwa mkuu wa majeshi?
 
Umetisha sana, Ila Sasa mi huwa nawazaga mbali kwa Sisi tusiojua lolote, Maana mi hata mgambo Sijawai kwenda, Kwenda mstarini Shule ya msingi nilikua nao usumbufu mtupu.
Haya Mambo ya Jeshi ndo sijui Chochote. Naona Yuniform za Jeshi, na sign/ wanazovaa mabegani sijui Hata maana yake... Hilo neno CDF nililisikia kwa Mara ya kwanza alipokufa Magufuli...
 
Nimesoma nimepata Elimu kumbe ndo hivyooooo
 
mgambo watoe CDF? lazima umevuta SKANKA!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…