Kwanini msajili wa vyama vya siasa huwa habadilishwi mara kwa mara?

Kwanini msajili wa vyama vya siasa huwa habadilishwi mara kwa mara?

Mkuu, weekend uwe unatembelea investment za familia, hizo ndio zako, haya mambo ya siasa hata yakiwa mazuri, yatamfaidi mbowe na genge lake. Hutamuona akija kukupa hata buku. Jikite kwenye kilimo na ufugaji, hata wa nguruwe, ndani ya miaka mitano utagundua kwamba kumbe tatizo sio CCM wala Katiba wala Chadema, ila tatizo ni fikra za kimaendeleo.

Kuna watu wamekuwa matajiri lakini wanatoka katika nchi zenye Katiba ya hovyo na uta wala wa kidikteta
Watu wanaiwaza nchi wewe unawaza ubinafsi!!
Nguruwe siufuge wewe uwe tajiri mbona nawewe unahangaika huku nabando lako lajero??
 
Watu wanaiwaza nchi wewe unawaza ubinafsi!!
Nguruwe siufuge wewe uwe tajiri mbona nawewe unahangaika huku nabando lako lajero??
Ni jukumu langu kuwafungua watu akili wanadanganywa eti bila Katiba mpya huwezi hata kununua kuku ufuge. Hata wakati wa ukoloni na sheria zao mbovu watu walitengeneza maisha
 
Ni jukumu langu kuwafungua watu akili wanadanganywa eti bila Katiba mpya huwezi hata kununua kuku ufuge. Hata wakati wa ukoloni na sheria zao mbovu watu walitengeneza maisha
Sasa kwa nini walimuondoa mkoloni wakati hakuna jipya??
 
Inategemea, kama una macho kama ya Mwenyekiti Mbowe, unaweza usione jipya
Inategema pia kama kama una akili kama za kibajaji unaweza usione jipya kwa katiba mpya.
 
Back
Top Bottom