makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Hapana mkuu! Nimeongelea kwa muktadha wa mada husika.Kwa hiyo watu wote wanaokumbwa na mauti ni wapiga nyeto tu ?
Sababu ni moja tu;tupe hizo sababu
Maybe but alikuwa strong tu physicalExpert labda sio kwamba babu yako chuma ilikuwa imekata ring
Expert labda sio kwamba babu yako chuma ilikuwa imekata ring
Ila so far nmedhibiti tamaa nusu mwaka.yatakuja na stress za kila rangi
Unajaji na kuelewa maisha ya watu nje nje. Mfano, watu wanaendekeza ngono, nyeto na michezo mingine michafu bado wanategemewa na jamii, wako vizuri kiuchumi.Kuna mtu vyote hivyo anavyo na anapiga nyeto kuamini tu haitoshi bila uthibitisho.
Bora umesema ni imani, sasa kuna mtu yeye haamini hvyo na yupo sawa tu .Hapana mkuu! Nimeongelea kwa muktadha wa mada husika.
Na Mauti siongelei mwili kutengana na Roho! Bali ninaamisha kuwa palipo na dhambi, pa Roho ya kuua vitu, nguvu ya ndani, motisha Binafsi n.k
Hii ni Imani yangu Mimi!
Ni sawa Mkuu! Ndio maana nimesema hii ni Imani yangu,Bora umesema ni imani, sasa kuna mtu yeye haamini hvyo na yupo sawa tu .
Kujazana maarifa yasiyokuwa na uthibitisho nalo linaweza kuwa tatizo.Ni sawa Mkuu! Ndio maana nimesema hii ni Imani yangu,
Na unalosema ni kweli! Wapo wanaofanya kila aina ya ushenzi wa Dunia hii na wanapo vizuri tu kwa nje!
Ila kuhusu internal peace hatujui! Maana it's personal thing
Kikubwa tuna share mawazo ili kuweza kujazana Maarifa na ufahamu wala sio kubishana
UwongoWewe Kijana unayechua na wewe Kijana ambaye unaendeshwa na uzinzi
Fanya hivi
Maliza mwezi mmoja bila sex au kujichua
Hakikisha unakula vizuri na kunywa maji.
Kisha kajiangalie katika kioo utaona jinsi uso utakavyokuwa na Nuru.
Ni kweli ... Ila pakishakuwa na utofauti wa Imani ... Hata swala la uthibitisho Huwa ni gumu.Kujazana maarifa yasiyokuwa na uthibitisho nalo linaweza kuwa tatizo.
Duh! Aisee harari sii mchezoIla hali bada ya kumwaga tui la nazi huwa inakuja feeling flan mbaya
Nilikaa miaka miwili bila kumugusa mwanamke nilikuwa najihis tofaut mno mtu mbaya nilikuwa nakuambia kwa kumuangalia tu
Na wewe unafanya?ngono na puli ni mbaya sana inaharibu kila kitu
manyege tu ndio yanatufanya tunafirana
Sipendi
Mbn me sikunji sura mkuuSina utaalam kiviiile ila wewe vuta picha tu jinsi unavyokunja uso wako wakati wa kupiga bao iwe la ngono au la nyeto.
Bado unataka uso huohuo uwe na nuru tena!
Nakazia.Mkuu ukishakua na uchumi mzuri hata kiafya unakua poa tu , mambo ya nguvu za kiume , sijui kudumu Lisaa kwenye ngono ni ujobless tu.
Mkuu hadi bao la kukwea mnazi pia hukunji sura?Mbn me sikunji sura mkuu