Kwanini Mungu alimuumba Yesu kiharamu kama kweli alifanya hivyo badala ya kumshusha kama malaika?

Kwanini Mungu alimuumba Yesu kiharamu kama kweli alifanya hivyo badala ya kumshusha kama malaika?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Ukiangalia na kuchunguza kisa kizima cha kuzaliwa Yesu, unamshangaa yeye, mama yake, baba yake hata Mungu wake. Eti bikra alipata mimba kwa roho mtakatifu! Hii maana yake nini wakati tunaambiwa roho ya Mungu ilimfunika Maria. Kama kweli ilimfunika, nani anajua kilichofanyika wakati amefunikwa? Je hii ndiiyo ilikuwa njia pekee ya 'kufanya miujiza uchwara'? Kwanini kumsumbua binti watu kama ni kweli wakati Yesu angeshuka kama malaika Gabriel au vibwengo vingine? Kama haitoshi, kuna baadhi ya wajinga wanamuita Maria mama wa Mungu kana kwamba Mungu anaweza kutosha kwenye tumbo la mwanamke. Kama kweli mwanae ni Mungu, je alipokuwa na mimba, dunia haikuwa na Mungu? Naomba tuelimishane juu ya hili wnangu.
 
Ukiangalia na kuchunguza kisa kizima cha kuzaliwa Yesu, unamshangaa yeye, mama yake, baba yake hata Mungu wake. Eti bikra alipata mimba kwa roho mtakatifu! Hii maana yake nini wakati tunaambiwa roho ya Mungu ilimfunika Maria. Kama kweli ilimfunika, nani anajua kilichofanyika wakati amefunikwa? Je hii ndiiyo ilikuwa njia pekee ya 'kufanya miujiza uchwara'? Kwanini kumsumbua binti watu kama ni kweli wakati Yesu angeshuka kama malaika Gabriel au vibwengo vingine? Kama haitoshi, kuna baadhi ya wajinga wanamuita Maria mama wa Mungu kana kwamba Mungu anaweza kutosha kwenye tumbo la mwanamke. Kama kweli mwanae ni Mungu, je alipokuwa na mimba, dunia haikuwa na Mungu? Naomba tuelimishane juu ya hili wnangu.
Msingi wa dini ni imani. Nikushauri kitu kimoja: heshimu imani za watu na wewe baki na imani yako!
 
Msingi wa dini ni imani. Nikushauri kitu kimoja: heshimu imani za watu na wewe baki na imani yako!
Nami nakushauri uheshimu akili, ubunifu, na uchokonozi wa watu. Misingi mikuu ya akili ni uchokonozi na utafiti. Bashe kulbali na heshimu misingi hii ya kumkomboa mwanadamu toka kwenye utumwa wa dini.
 
Kwa nini mwanamke ndo anapata Mimba na sio mwanaume? Ndo aina ya swali unalouliz! Swali la hovyo kabisa
 
Ukiangalia na kuchunguza kisa kizima cha kuzaliwa Yesu, unamshangaa yeye, mama yake, baba yake hata Mungu wake. Eti bikra alipata mimba kwa roho mtakatifu! Hii maana yake nini wakati tunaambiwa roho ya Mungu ilimfunika Maria. Kama kweli ilimfunika, nani anajua kilichofanyika wakati amefunikwa? Je hii ndiiyo ilikuwa njia pekee ya 'kufanya miujiza uchwara'? Kwanini kumsumbua binti watu kama ni kweli wakati Yesu angeshuka kama malaika Gabriel au vibwengo vingine? Kama haitoshi, kuna baadhi ya wajinga wanamuita Maria mama wa Mungu kana kwamba Mungu anaweza kutosha kwenye tumbo la mwanamke. Kama kweli mwanae ni Mungu, je alipokuwa na mimba, dunia haikuwa na Mungu? Naomba tuelimishane juu ya hili wnangu.
Dini ni imani, Mungu ni roho je, roho inaweza kuandika kitabu? Toka awe Allah kwanini hajàwahi kuandika tena kitabu kingine?
 
Dini ni imani, Mungu ni roho je, roho inaweza kuandika kitabu? Toka awe Allah kwanini hajàwahi kuandika tena kitabu kingine?
Swali lako halihusiki hapa. Hivyo, halitajibiwa kwa sababu si maana yake. Kawaulize huyo Allah na roho wakujibu.
 
Kwa nini mwanamke ndo anapata Mimba na sio mwanaume? Ndo aina ya swali unalouliz! Swali la hovyo kabisa
Sijui kama umeelewa nilichoandika na ulichoandika kama jibu au hoja mwanangu. Ulitaka mimba abebe nani?
 
Nani alifanya hayo maamuzi na huo mjadala?
Hilo swali jiulize wewe na mode utapata jibu sahihi. Hakuna neno karibu kwenye hoja husika bali mantiki yashawishiyo mhusika yeyote kuchangia kwa hiari yake kama wewe
 
Tupe nukuu kutoka kwenye Biblia kwa kuweka mstari unaosema hivyo
Soma Luka (1-26-30) isemayo "roho Mtakatifu atakushukia, na uwezo wake Mungu Mkuu utakujia kama kivuli; kwa sababu hiyo, mtoto atakayezaliwa ataitwa Mtakatifu, Mwana wa Mungu." Hicho kivuli ndo nini mwanangu?
 
Mambo ya rohoni huwezi kuyatafakari kwa akili ya kibinadamu!
Yesu alikuwako tangu mwanzo hata kabla ya ulimwengu na vitu vyote kuwako! Vyote viliumbwa kwa Yeye na vipo kwa ajili yake.
Kama alikuwako kabla vitu vyote kuumbwa kipi cha ajabu akiwa tumboni mwa Mariam asiwe Mungu?
Ndiyo maana alisema yasiyowezekana kwa wanadamu Yote kwa Mungu yaawezekana.
 
Mambo ya rohoni huwezi kuyatafakari kwa akili ya kibinadamu!
Yesu alikuwako tangu mwanzo hata kabla ya ulimwengu na vitu vyote kuwako! Vyote viliumbwa kwa Yeye na vipo kwa ajili yake.
Kama alikuwako kabla vitu vyote kuumbwa kipi cha ajabu akiwa tumboni mwa Mariam asiwe Mungu?
Ndiyo maana alisema yasiyowezekana Yote yabawezekana kwa Mungu.
Acha ujinga na upumbavu. Kama alikuwapo kabla ya kuumbwa ulimwenguni, nini sababu ya kumsumbua Maria kubebeshwa mimba haramu ya mtu aliyekuwapo? Tumia common sense badala ya uncommon sense mwanangu utaliwa.
 
Hilo swali jiulize wewe na mode utapata jibu sahihi. Hakuna neno karibu kwenye hoja husika bali mantiki yashawishiyo mhusika yeyote kuchangia kwa hiari yake kama wewe

Nimechangia kwa kuuliza swali chief, kosa langu lipo wapi?
 
Nimechangia kwa kuuliza swali chief, kosa langu lipo wapi?
Nashukuru umeuliza swali. Huna kosa japo kuna kosa la kuniuliza mimi badala ya mhusika na kusoma mazingira yaliyosababisha swali husika mwanangu.
 
Acha ujinga na upumbavu. Kama alikuwapo kabla ya kuumbwa ulimwenguni, nini sababu ya kumsumbua Maria kubebeshwa mimba haramu ya mtu aliyekuwapo? Tumia common sense badala ya uncommon sense mwanangu utaliwa.
Ndiyo maana nimekwambia ukitumia akili yako ya kibinadamu huwezi kuelewa mambo ya rohoni!
Na ndivyo ilivyo! Kama unaona alimsumbua Mariam hiyo ni akili yako ya kibinadamu!
 
Ndiyo maana nimekwambia ukitumia akili yako ya kibinadamu huwezi kuelewa mambo ya rohoni!
Na ndivyo ilivyo! Kama unaona alimsumbua Mariam hiyo ni akili yako ya kibinadamu!
Narudia. Acha upumbavu. Unataka nitumia akili ya nini wakati mimi ni binadamu? Je hii akili nilipata toka kwa nani? Kama huna la kuchangia just shut up mwanangu.
 
Back
Top Bottom