Kwanini Mungu alimuumba Yesu kiharamu kama kweli alifanya hivyo badala ya kumshusha kama malaika?

Kwanini Mungu alimuumba Yesu kiharamu kama kweli alifanya hivyo badala ya kumshusha kama malaika?

Ukiangalia na kuchunguza kisa kizima cha kuzaliwa Yesu, unamshangaa yeye, mama yake, baba yake hata Mungu wake. Eti bikra alipata mimba kwa roho mtakatifu! Hii maana yake nini wakati tunaambiwa roho ya Mungu ilimfunika Maria. Kama kweli ilimfunika, nani anajua kilichofanyika wakati amefunikwa? Je hii ndiiyo ilikuwa njia pekee ya 'kufanya miujiza uchwara'? Kwanini kumsumbua binti watu kama ni kweli wakati Yesu angeshuka kama malaika Gabriel au vibwengo vingine? Kama haitoshi, kuna baadhi ya wajinga wanamuita Maria mama wa Mungu kana kwamba Mungu anaweza kutosha kwenye tumbo la mwanamke. Kama kweli mwanae ni Mungu, je alipokuwa na mimba, dunia haikuwa na Mungu? Naomba tuelimishane juu ya hili wnangu.
Yesu ni mwili na nafsi ...mwili uzaa mwili.... hivyo maria ni mama wa yesu katika mwili ila nafsi ya yesu ni nafsi ya Mungu ....utatu mtakatifu siyo utatu wa nafsi 3 nafsi ya mungu ni moja tu ....
1)MUNGU (baba)
Nafsi ya Mungu ndiyo Mungu

2)YESU
(nafsi ya mungu kutwaa mwili)
Ni mwili wa binadamu (mwana) usio na nafsi ya binadamu bali nafsi ya Mungu (baba).

3)ROHO MYAKATIFU
Ni mwili wa binadamu wenye nafsi ya binadamu na nafsi ya Mungu...(nafsi mbili ndani ya mwili mmoja)

Hapa ndiyo kuna majibu makubwa ya injili ya kweli...maswali yote ya mungu kufa na kufufuka na utata wa yesu kufa siku 3 ila msalabani anasema leo hii tutakuwa pema peponi ....na uongo wa wakristo wanao sema yesu ajui siku ya kihama ....wakati yesu alisema hata mwana (mwili) ajui ila baba(nafsi ya mungu) kwa kusema vile ukitumia akili maana yake aliwaambia kuwa mwili wake aujui ila nafsi yake inajua maana yake anajua ...kwa sababu nafsi ya kristo ndiyo mungu...ndiyo sababu anawaambia wanafunzi wake anionaye mimi kamwona baba (mungu)
KILICHO KUFA NA KUFUFUKA SIKU YA 3 NI MWILI WA KRISTO BALI NAFSI ILIYO KUWA NDANI YA KRISTO NI MUNGU HIVYO MUNGU HAWEZI KUFA HATA SEKUNDE MOJA.... NDIYO MAANA ALISEMA ALIPOKUWA MSALABANI KUWA LEO HII UTAKUWA NAMI PEMA PEPONI ....Sasa yesu aliye kufa na kufufuka ni yupi na huyo aliyepo peponi siku ileile ni yupi .....hapo jibu ni kilicho kufa ni mwili wa kristo (mwana) siyo nafsi ya kristo(Mungu(baba) ..hivyo baba alitoka ndani ya mwili wa kristo na yesu anasema baba mbona umeniacha...


HII NINAYO WAAMBIENI MIMI NI INJILI YA KWELI SIYO HAYO MATAKATAKA YA MAKANISANI NA MISIKITINI MNAYO FUNDISHANA NA KUDANGANYANA KUHUSU YESU(ISSA)
 
Ukiangalia na kuchunguza kisa kizima cha kuzaliwa Yesu, unamshangaa yeye, mama yake, baba yake hata Mungu wake. Eti bikra alipata mimba kwa roho mtakatifu! Hii maana yake nini wakati tunaambiwa roho ya Mungu ilimfunika Maria. Kama kweli ilimfunika, nani anajua kilichofanyika wakati amefunikwa? Je hii ndiiyo ilikuwa njia pekee ya 'kufanya miujiza uchwara'? Kwanini kumsumbua binti watu kama ni kweli wakati Yesu angeshuka kama malaika Gabriel au vibwengo vingine? Kama haitoshi, kuna baadhi ya wajinga wanamuita Maria mama wa Mungu kana kwamba Mungu anaweza kutosha kwenye tumbo la mwanamke. Kama kweli mwanae ni Mungu, je alipokuwa na mimba, dunia haikuwa na Mungu? Naomba tuelimishane juu ya hili wnangu.
..... Naye neno alikuwapo kwa Mungu nae neno alikuwa Mungu, vyote vilifanyika kwa yeye na pasipo neno hakuna chochote kilichofanyika. Ndani yake ndipo ulipo uzima, na huo uzima ni nuru ya watu nayo nuru hung'aa gizani na wala giza halikuiweza. Huyo neno ni Yesu Kristo Bwana, kwake yeye kila goti litapigwa. Yu karibu malangoni
 
..... Naye neno alikuwapo kwa Mungu nae neno alikuwa Mungu, vyote vilifanyika kwa yeye na pasipo neno hakuna chochote kilichofanyika. Ndani yake ndipo ulipo uzima, na huo uzima ni nuru ya watu nayo nuru hung'aa gizani na wala giza halikuiweza. Huyo neno ni Yesu Kristo Bwana, kwake yeye kila goti litapigwa. Yu karibu malangoni
Mbona zote hizo ngano? Swali rahisi, kama roho alikuwa ndiyo huyo Yesu wenu, kwanini azaliwe tena?
 
Acha ujinga na upumbavu. Kama alikuwapo kabla ya kuumbwa ulimwenguni, nini sababu ya kumsumbua Maria kubebeshwa mimba haramu ya mtu aliyekuwapo? Tumia common sense badala ya uncommon sense mwanangu utaliwa.
Hakuna uharamu au uhalali bali tafsiri
 
Soma Luka (1-26-30) isemayo "roho Mtakatifu atakushukia, na uwezo wake Mungu Mkuu utakujia kama kivuli; kwa sababu hiyo, mtoto atakayezaliwa ataitwa Mtakatifu, Mwana wa Mungu." Hicho kivuli ndo nini mwanangu?
Ni uwezo na nguvu isiyoelezeka kibinadamu zaidi ya kusema kama kivuli...naye ataitwa Mtakatifu, Mwana wa Mungu,..sio Mungu Baba bali Mwana wa Mungu.
 
Ukiangalia na kuchunguza kisa kizima cha kuzaliwa Yesu, unamshangaa yeye, mama yake, baba yake hata Mungu wake. Eti bikra alipata mimba kwa roho mtakatifu! Hii maana yake nini wakati tunaambiwa roho ya Mungu ilimfunika Maria. Kama kweli ilimfunika, nani anajua kilichofanyika wakati amefunikwa? Je hii ndiiyo ilikuwa njia pekee ya 'kufanya miujiza uchwara'? Kwanini kumsumbua binti watu kama ni kweli wakati Yesu angeshuka kama malaika Gabriel au vibwengo vingine? Kama haitoshi, kuna baadhi ya wajinga wanamuita Maria mama wa Mungu kana kwamba Mungu anaweza kutosha kwenye tumbo la mwanamke. Kama kweli mwanae ni Mungu, je alipokuwa na mimba, dunia haikuwa na Mungu? Naomba tuelimishane juu ya hili wnangu.
According to theology, God chose Mary to be the mother of Jesus for a number of reasons, including:

  • Immaculate Conception
    Mary was conceived without sin, making her the perfect vessel for God to become incarnate.

  • Virginity
    Mary's virginity fulfilled the prophecy of Isaiah 7:14, which stated that the mother of the Messiah would be a virgin.

  • Lineage
    Mary was descended from Abraham, Isaac, Jacob, Judah, Boaz, and David.

  • Engagement to Joseph
    Mary was engaged to Joseph, whose heritage required him to visit Bethlehem at the right time, as foretold in Micah 5:2.

  • Faith
    Mary had strong faith, trusted in God, and submitted to God's will. She was full of grace and accepted God's plan.

  • Humility
    Mary acknowledged her low status and rejoiced in God, calling him mighty and merciful.

  • Comfort
    Mary comforted Jesus as he entered and left the world. She devoted herself to being there for her son.
 
Ukiangalia na kuchunguza kisa kizima cha kuzaliwa Yesu, unamshangaa yeye, mama yake, baba yake hata Mungu wake. Eti bikra alipata mimba kwa roho mtakatifu! Hii maana yake nini wakati tunaambiwa roho ya Mungu ilimfunika Maria. Kama kweli ilimfunika, nani anajua kilichofanyika wakati amefunikwa? Je hii ndiiyo ilikuwa njia pekee ya 'kufanya miujiza uchwara'? Kwanini kumsumbua binti watu kama ni kweli wakati Yesu angeshuka kama malaika Gabriel au vibwengo vingine? Kama haitoshi, kuna baadhi ya wajinga wanamuita Maria mama wa Mungu kana kwamba Mungu anaweza kutosha kwenye tumbo la mwanamke. Kama kweli mwanae ni Mungu, je alipokuwa na mimba, dunia haikuwa na Mungu? Naomba tuelimishane juu ya hili wnangu.
Unakazwa ww
 
Na wewe umeshajiuliza kwa nini uliumbwa n macho mawili na sio jicho moja kama taa ya treni. ? Unahoji maamuzi ya MUNGU? una akili sawa sawa? Yeye mwenye amesema katika biblia ya kwamba " NJIA ZANGU SIO NJIA ZENU NA MAWAZO YANGU SIO MAWAZO YENU" Isaya 55: 8
 
Kwa kuwa umeamua kuwa na msimamo wako na imani yako hata kama atashuka Mungu mwenyewe kukuelimisha bado utabisha tu,hata Yesu mwenyewe angezaliwa kwa njia unayoiona ni sahihi kwako bado ungeibuka na maswali mengine ya kubishia njia hiyo.
 
Ukiangalia na kuchunguza kisa kizima cha kuzaliwa Yesu, unamshangaa yeye, mama yake, baba yake hata Mungu wake. Eti bikra alipata mimba kwa roho mtakatifu! Hii maana yake nini wakati tunaambiwa roho ya Mungu ilimfunika Maria. Kama kweli ilimfunika, nani anajua kilichofanyika wakati amefunikwa? Je hii ndiiyo ilikuwa njia pekee ya 'kufanya miujiza uchwara'? Kwanini kumsumbua binti watu kama ni kweli wakati Yesu angeshuka kama malaika Gabriel au vibwengo vingine? Kama haitoshi, kuna baadhi ya wajinga wanamuita Maria mama wa Mungu kana kwamba Mungu anaweza kutosha kwenye tumbo la mwanamke. Kama kweli mwanae ni Mungu, je alipokuwa na mimba, dunia haikuwa na Mungu? Naomba tuelimishane juu ya hili wnangu.
Sasa shetani, wewe kwanini unapenda sana kuona binadamu anateseka? Kwanini huchokagi?
 
wakati tunaambiwa roho ya Mungu ilimfunika Maria. Kama kweli ilimfunika, nani anajua kilichofanyika wakati amefunikwa?
Kwa unavyoelezea tu, itoshe kukuita wewe ni mjinga uliyejipanga kuja kuubishia ukweli kwa ujinga wako

Endelea kuambiwa usitake kuutumikisha ubongo wako kuujua ukweli

Tangu lini Mungu amekuwa na mipaka ya jinsi atakavyo kufanya?
 
Ameuliza tu swali mbona🤔 tatizo mmezoea kuhubiriwa tu no maswali.

Mtu mdadisi wa kutaka kujua asingeweka kejeli hivi kwenye maswali yake....

Kama kweli ilimfunika, nani anajua kilichofanyika wakati amefunikwa? Je hii ndiiyo ilikuwa njia pekee ya 'kufanya miujiza uchwara'? Kwanini kumsumbua binti watu kama ni kweli wakati Yesu angeshuka kama malaika Gabriel au vibwengo vingine? Kama haitoshi, kuna baadhi ya wajinga wanamuita Maria mama wa Mungu
 
Hayo maswala yapo ki imani zaidi, jambo lolote la ki imani ukitaka ulilete katika uhalisia wa maisha ya kawaida, aisee utapelea mbali, kila kitu kinachoendelea katika iman utaona ni upuuzi na stor za kutunga zisizokua na ukweli wowote. LAKINI UKWELI MTUPU NDIO HUO, ACHA KUTAFAKARI MAMBO YA ROHONI KWA AKILI YAKO HIYO, KATIKA MASWALA YA ROHONI UTAPOTEA MBALI.
 
Back
Top Bottom