Kwanini Mungu alimuumba Yesu kiharamu kama kweli alifanya hivyo badala ya kumshusha kama malaika?

Kwanini Mungu alimuumba Yesu kiharamu kama kweli alifanya hivyo badala ya kumshusha kama malaika?

Ukiangalia na kuchunguza kisa kizima cha kuzaliwa Yesu, unamshangaa yeye, mama yake, baba yake hata Mungu wake. Eti bikra alipata mimba kwa roho mtakatifu! Hii maana yake nini wakati tunaambiwa roho ya Mungu ilimfunika Maria. Kama kweli ilimfunika, nani anajua kilichofanyika wakati amefunikwa? Je hii ndiiyo ilikuwa njia pekee ya 'kufanya miujiza uchwara'? Kwanini kumsumbua binti watu kama ni kweli wakati Yesu angeshuka kama malaika Gabriel au vibwengo vingine? Kama haitoshi, kuna baadhi ya wajinga wanamuita Maria mama wa Mungu kana kwamba Mungu anaweza kutosha kwenye tumbo la mwanamke. Kama kweli mwanae ni Mungu, je alipokuwa na mimba, dunia haikuwa na Mungu? Naomba tuelimishane juu ya hili wnangu.
Waebrania 2 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁴ Basi, kwa kuwa watoto wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo hivyo alishiriki yayo hayo, ili kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti, yaani, Ibilisi,
¹⁵ awaache huru wale ambao kwamba maisha yao yote kwa hofu ya mauti walikuwa katika hali ya utumwa.
¹⁶ Maana ni hakika, hatwai asili ya malaika, ila atwaa asili ya mzao wa Ibrahimu.
 
Ukiangalia na kuchunguza kisa kizima cha kuzaliwa Yesu, unamshangaa yeye, mama yake, baba yake hata Mungu wake. Eti bikra alipata mimba kwa roho mtakatifu! Hii maana yake nini wakati tunaambiwa roho ya Mungu ilimfunika Maria. Kama kweli ilimfunika, nani anajua kilichofanyika wakati amefunikwa? Je hii ndiiyo ilikuwa njia pekee ya 'kufanya miujiza uchwara'? Kwanini kumsumbua binti watu kama ni kweli wakati Yesu angeshuka kama malaika Gabriel au vibwengo vingine? Kama haitoshi, kuna baadhi ya wajinga wanamuita Maria mama wa Mungu kana kwamba Mungu anaweza kutosha kwenye tumbo la mwanamke. Kama kweli mwanae ni Mungu, je alipokuwa na mimba, dunia haikuwa na Mungu? Naomba tuelimishane juu ya hili wnangu.
Wewe subiri mabikira 72 na Mito ya Pombe wenye Imani yao waache na ya kwao hayakuhusu
 
Ukiangalia na kuchunguza kisa kizima cha kuzaliwa Yesu, unamshangaa yeye, mama yake, baba yake hata Mungu wake. Eti bikra alipata mimba kwa roho mtakatifu! Hii maana yake nini wakati tunaambiwa roho ya Mungu ilimfunika Maria. Kama kweli ilimfunika, nani anajua kilichofanyika wakati amefunikwa? Je hii ndiiyo ilikuwa njia pekee ya 'kufanya miujiza uchwara'? Kwanini kumsumbua binti watu kama ni kweli wakati Yesu angeshuka kama malaika Gabriel au vibwengo vingine? Kama haitoshi, kuna baadhi ya wajinga wanamuita Maria mama wa Mungu kana kwamba Mungu anaweza kutosha kwenye tumbo la mwanamke. Kama kweli mwanae ni Mungu, je alipokuwa na mimba, dunia haikuwa na Mungu? Naomba tuelimishane juu ya hili wnangu.
Wewe ndiyo mhinga sana yaani umekurupuka kwa kukusanya vijineno kidogo vya Biblia ukajiona umeielewa sana Biblia Takatifu. Bado unashindwa kuhoji Mtume Muhammad kumuingilia Aisha miaka tisa Muhammad ni mtume kweli. Mtume anayekiri kwamba hajui aendako. Iweje pombe iwe haramu hapa duniani hala huko mbinguni kuwe na mito na wanawake 72. Tafakari hayo machache kisha ziba domo lako.
 
Ukiangalia na kuchunguza kisa kizima cha kuzaliwa Yesu, unamshangaa yeye, mama yake, baba yake hata Mungu wake. Eti bikra alipata mimba kwa roho mtakatifu! Hii maana yake nini wakati tunaambiwa roho ya Mungu ilimfunika Maria. Kama kweli ilimfunika, nani anajua kilichofanyika wakati amefunikwa? Je hii ndiiyo ilikuwa njia pekee ya 'kufanya miujiza uchwara'? Kwanini kumsumbua binti watu kama ni kweli wakati Yesu angeshuka kama malaika Gabriel au vibwengo vingine? Kama haitoshi, kuna baadhi ya wajinga wanamuita Maria mama wa Mungu kana kwamba Mungu anaweza kutosha kwenye tumbo la mwanamke. Kama kweli mwanae ni Mungu, je alipokuwa na mimba, dunia haikuwa na Mungu? Naomba tuelimishane juu ya hili wnangu.
Surah 3:42
"O Mary, indeed Allah has chosen you and purified you and chosen you above the women of the worlds.
WEWE UOGOPI?? Kuwa Mama ake Yesu ni Special kuliko Mwanamke yeyote na atotokea kama yeye?

The Prophet describes Mary as the master of the women of Paradise👍
Wewe Uogopi ?? Mary katika Quraan ana sura nzima inamzungumzia yeye! Mahaba gani haya❤️❤️🌹... Alafu unamchukulia powa. Pole sana maana akili zako ata tope lina thamani...
Ayah Maryam (Mary) 19:19.
Quraan yote ndo Mwanamke pekee aliyetajwa . Alafu wewe unaleta ujuwaji😎
 
Narudia. Acha upumbavu. Unataka nitumia akili ya nini wakati mimi ni binadamu? Je hii akili nilipata toka kwa nani? Kama huna la kuchangia just shut up mwanangu.
Mpumbavu wewe. Ilitakiwa kwanza usome maandiko ndo uje na hoja yenye Mashiko na sio kujionyesha mjuaji wakati ni Kilaza
 

Attachments

  • IMG_9590.png
    IMG_9590.png
    303.4 KB · Views: 2
  • IMG_9591.png
    IMG_9591.png
    660.6 KB · Views: 2
Ukiangalia na kuchunguza kisa kizima cha kuzaliwa Yesu, unamshangaa yeye, mama yake, baba yake hata Mungu wake. Eti bikra alipata mimba kwa roho mtakatifu! Hii maana yake nini wakati tunaambiwa roho ya Mungu ilimfunika Maria. Kama kweli ilimfunika, nani anajua kilichofanyika wakati amefunikwa? Je hii ndiiyo ilikuwa njia pekee ya 'kufanya miujiza uchwara'? Kwanini kumsumbua binti watu kama ni kweli wakati Yesu angeshuka kama malaika Gabriel au vibwengo vingine? Kama haitoshi, kuna baadhi ya wajinga wanamuita Maria mama wa Mungu kana kwamba Mungu anaweza kutosha kwenye tumbo la mwanamke. Kama kweli mwanae ni Mungu, je alipokuwa na mimba, dunia haikuwa na Mungu? Naomba tuelimishane juu ya hili wnangu.
Angeshuka hivo unavotaka Kila mtu angemuheshimu, hakuna ambae angemtoa sadaka, maana from the start tayari angeshaonesha umungu wake, hizi ndio akili ambazo orthodoxy wanazo mpaka kesho, hivo ndivo walitalaji mfalme awe, walichanganya mambo ya mwili na mambo ya rohoni,.



Nilitaka niwashauli watu wakufunge kamba, ila nikagundua ni kweli uko Sahihi kuwaza hivo, na sababu kubwa ni kuwa unawaza kwa kutegemea maumbile halisi ya KIBINADAMU, pia hujaomba neema ya Mungu kukuongoza kutafakari maandiko, lakini pia umefungwa na mafundisho ya namna nyingine , hivo haya unayachukulia katika namna ya kiupinzani,

Ushauri wangu unapojifunza habari za Mungu ifanye akili Yako iwe huru, utashangaa majibu MENGINE huja yenyewe wakati hujayafikilia , mfano ninapotaka kujifunza uislam , sipaswi kuweka ufahamu wangu wa kikristo kuwa ni the best ever, hakuna kitu ntaelewa huko, maana ntakuwa naenda kusikia ili nipinge,
 
Mimi mbona huwa wananiita mwana wa Mungu pia. Au huwa watu wananichanganya na Yesu?
kama umempokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi, ni sahihi kuitwa mwana wa Mungu.

“Tazameni, ni pendo la namna gani alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu; na ndivyo tulivyo. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye."

— 1 Yohana 3:1 (Biblia Takatifu)
 
Viumbe gani hivyo alivyoviumba?
Wakolosai 1:16
Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake.

Wakolosai 1:17
Naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu vyote hushikana katika yeye.
 
Wakolosai 1:16
Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake.

Wakolosai 1:17
Naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu vyote hushikana katika yeye.
Anhaa, Kumbe,,,,,!! 🤔🤔

Sasa kama ameleta kilakitu, yeye katoka wapi?
 
Wewe ndiyo mhinga sana yaani umekurupuka kwa kukusanya vijineno kidogo vya Biblia ukajiona umeielewa sana Biblia Takatifu. Bado unashindwa kuhoji Mtume Muhammad kumuingilia Aisha miaka tisa Muhammad ni mtume kweli. Mtume anayekiri kwamba hajui aendako. Iweje pombe iwe haramu hapa duniani hala huko mbinguni kuwe na mito na wanawake 72. Tafakari hayo machache kisha ziba domo lako.
Jamaa mtu wao akifariki wanamkamua uchafu tumboni eti asiende na uchafu mbele ya mola mbona msikitini unaingia na mavi tumboni inamaana Mungu hakai msikitini?😄😄😄😄😄😄
 
Ndiyo maana nimekwambia ukitumia akili yako ya kibinadamu huwezi kuelewa mambo ya rohoni!
Na ndivyo ilivyo! Kama unaona alimsumbua Mariam hiyo ni akili yako ya kibinadamu!
Kwahiyo unatakiwa kutumia akili ipi ili uelewa Mambo ya kiroho mkuu?
 
Kwa kuwa umeamua kuwa na msimamo wako na imani yako hata kama atashuka Mungu mwenyewe kukuelimisha bado utabisha tu,hata Yesu mwenyewe angezaliwa kwa njia unayoiona ni sahihi kwako bado ungeibuka na maswali mengine ya kubishia njia hiyo.
Mnatuchanganya ashuke Mungu mwenyewe yupi Tena!
Si Mungu alishakuja kwa kiwiliwili au Yesu sio Mungu?
 

Attachments

  • IMG_20241216_071808.jpg
    IMG_20241216_071808.jpg
    169.2 KB · Views: 1
Nami nakushauri uheshimu akili, ubunifu, na uchokonozi wa watu. Misingi mikuu ya akili ni uchokonozi na utafiti. Bashe kulbali na heshimu misingi hii ya kumkomboa mwanadamu toka kwenye utumwa wa dini.
Unaamini katika kisa cha Israa na Miraji?
 
Ukiangalia na kuchunguza kisa kizima cha kuzaliwa Yesu, unamshangaa yeye, mama yake, baba yake hata Mungu wake. Eti bikra alipata mimba kwa roho mtakatifu! Hii maana yake nini wakati tunaambiwa roho ya Mungu ilimfunika Maria. Kama kweli ilimfunika, nani anajua kilichofanyika wakati amefunikwa? Je hii ndiiyo ilikuwa njia pekee ya 'kufanya miujiza uchwara'? Kwanini kumsumbua binti watu kama ni kweli wakati Yesu angeshuka kama malaika Gabriel au vibwengo vingine? Kama haitoshi, kuna baadhi ya wajinga wanamuita Maria mama wa Mungu kana kwamba Mungu anaweza kutosha kwenye tumbo la mwanamke. Kama kweli mwanae ni Mungu, je alipokuwa na mimba, dunia haikuwa na Mungu? Naomba tuelimishane juu ya hili wnangu.
Ulichokiandika watu wanakisomea seminari kwa miaka zaidi ya 10, mada ya kidini haijadiliwi sawa na zinavyojadiliwa zile za Yanga na Simba, ni pana sana zenye kuhitaji uelewa wa kielimu.
 
Back
Top Bottom