Kwanini "Mungu" aliumba vitu vyote kwa kusema viwe na vikawa isipokuwa binadamu toka kwenye udongo kama ni kweli?

Kwani wewe unajua wako? Hapa ishu siyo mwisho wangu wala wako bali namna ya uumbaji. Ni simpo hivo mwanangu.
Ungeanza na baba yako ilikuwaje akamchagua mkewe ambaye ni mama yako mpaka ukatokea wewe, je asingemchagua ungepatikana vipi? hili lingekuwa vyema kuliko kumparamia mfalme wa mbingu na ardhi huko maji ni marefu na matendo yake hayapimwi kwa akili.
 
Tora
Torati imeshukia ISRAEL na kusambaa Dunian kote NIKUULIZE ULISHAWAH KUTALIWA NA NETANYAHU achana na papa wale Wala sadaka hakuna chochote wanachopigania kwa MUNGU TUNAONGELEA TAIFA TEULE ISRAEL
 
Ungeanza na baba yako ilikuwaje akamchagua mkewe ambaye ni mama yako mpaka ukatokea wewe, je asingemchagua ungepatikana vipi?
Asingemchagua mkewe, Angechagua mke mwingine.

Haikuwa lazima kwamba mkewe ndiye Lazima achaguliwe.
hili lingekuwa vyema kuliko kumparamia mfalme wa mbingu na ardhi huko maji ni marefu na matendo yake hayapimwi kwa akili.
Hakuna mfalme wa mbingu na ardhi.

Huyo mfalme hayupo.
 
Hakuna Mungu yeyote yule aliye umba kitu chochote kile.

Mungu mmemtunga vichwani mwenu tu na wala huwezi kuthibitisha uwepo wake.

Hakuna Mungu na wala hajawahi kuwepo.
Hakuna neno siwezi kupoteza muda wangu kujadili suala ambalo ukiamini ni sawa usipoamini pia ni sawa, miadi yetu ni siku ya kufa hapo utaelewa kila kitu.

Kukusaidia toka usiku wa manane kisha itizame mbingu kwa utulivu mkubwa halafu tafakari ilivyojengwa kwa umadhubuti uliotukuka, kisha pitisha kauli kuwa ni monitor wako wa shule ya msingi ndiye aliyeumba hiyo mbingu, i challenge you.
 
Ulijuaje Mungu yupo na unathibitishaje?

Au unafosi imani na mawazo yako uchwara uliyo pumbazwa na kuaminishwa na dini yako?
Common sense tu, Kuna dunia,kuna mbingu,ardhi, maji, kuna viumbe ndani yake, miti na vingi vilivyomo kwa mpangilio maalum na vinategemeana wewe mjuzi wa mambo nipe cause yake hivi vyote ni nini?
 
Tora

Torati imeshukia ISRAEL na kusambaa Dunian kote NIKUULIZE ULISHAWAH KUTALIWA NA NETANYAHU achana na papa wale Wala sadaka hakuna chochote wanachopigania kwa MUNGU TUNAONGELEA TAIFA TEULE ISRAEL
Hakuna taifa teule hapa duniani.

Mnapumbazwa na kukaribishwa Matango pori na hizo dini zenu kwamba Israel ndio taifa la Mungu. Kumbe ni ujinga tu.

Hakuna Mungu, Hakuna taifa teule.
 
Hakuna aliyetoa akili.

Ukianza kufosi kwamba akili imetolewa na kiumbe fulani, Hata hicho kiumbe kilichotoa akili lazima kiwe kimetolewa na kiumbe kingine.
Yeye kasema alipewa akili! Mwache aseme mwenyewe hizo akili anazodai kapewa alipewa na nani?
 
Hakuna aliyetoa akili.

Ukianza kufosi kwamba akili imetolewa na kiumbe fulani, Hata hicho kiumbe kilichotoa akili lazima kiwe kimetolewa na kiumbe kingine.
Elewa kwanza Mungu sio kiumbe viumbe ni vile vilivyoumbwa na Mungu upeo mdogo
 
Hujajibu swali bali unakwepa maswali ya msingi. Please, jielekeze kwenye maswali ya msingi mwanangu.
 
Common sense tu, Kuna dunia,kuna mbingu,ardhi, maji, kuna viumbe ndani yake, miti na vingi vilivyomo kwa mpangilio maalum na vinategemeana wewe mjuzi wa mambo nipe cause yake hivi vyote ni nini?
Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na "cause" , Hata cause ya kila kitu, lazima iwe na cause yake nyingine.

Pasiwepo kitu chochote kile kilicho jitokeza chenyewe pasipo cause, Maana kitazua maswali ya kiliwezaje ku exist chenyewe tu pasipo cause.

Na kama si lazima kwamba kila kitu kilichopo kina cause, Hata ulimwengu na vyote vilivyomo except man-made things Havina na havihitaji kuwa na cause.

Una elewa hilo?
 
Hakuna taifa teule hapa duniani.

Mnapumbazwa na kukaribishwa Matango pori na hizo dini zenu kwamba Israel ndio taifa la Mungu. Kumbe ni ujinga tu.

Hakuna Mungu, Hakuna taifa teule.
Spot on mwanangu. Waambie. Huenda watatoka kwenye usingizi wa pono wa dini na imani.
 
Hakuna aliyetoa akili.

Ukianza kufosi kwamba akili imetolewa na kiumbe fulani, Hata hicho kiumbe kilichotoa akili lazima kiwe kimetolewa na kiumbe kingine.
Ungekuwa na akili japo kiduchu ungenielewa badala ya kutokwa na mapovu bila sababu ya msingi. Unatupotezea muda. Kama huwezi kujibu nyamaza wengine wajaribu. Haya ni maswali ya kifalsafa na siyo ya kifala mwanangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…