Kwanini "Mungu" aliumba vitu vyote kwa kusema viwe na vikawa isipokuwa binadamu toka kwenye udongo kama ni kweli?

Kwanini "Mungu" aliumba vitu vyote kwa kusema viwe na vikawa isipokuwa binadamu toka kwenye udongo kama ni kweli?

Nachojua Mungu wa sasa ni kijana na yupo smart haswa
 
Tatizo umechanganya swali na hisia zako ni kama vile ushajiandalia majibu tayari. Kwa kukusaidia kila kiumbe kina daraja lake na mwisho wa kufikiri. Hakuna siku mbwa au punda atafikiri kama binadamu au binadamu atafikir kama Mungu. Na dini ya kikristo ilikuwepo africa kabla ya ulaya na kingine ni kuwa hata wakristo WA leo japo wanaongea habar za kuwa na upenda na wakweli lakin hawakosekani wabaya maana kuna watu ni blood line ya giza so ile adhabu ipo kwaajili yao.
Wewe ndo umekoroga kabisa. Eti ukristo ulikuwapo Afrika kabla ya kwenda ulaya! Kivipi wakati wazungu ndiyo waliouanzisha na kuuleta huo ukristo wako wa kwenye ngano za kusadikika? Hili hata kuku analijua achia mbali binadamu.
 
Ukisoma vitabu vya ngano viitwavyo vitakatifu vinadai kuwa Mungu alimuumba Adam tokana na udongo. Ajabu ya maajabu na kujichanganya, vitabu hivyo hivyo, vinasema:
Mosi, Pili aliumbwa kwa kufinyanga udongo.

Pili, je Mungu tunayesema hafananishwi na chochote, ilikuwaje akaumba kiumbe/viumbe kwa mfano wake kama ni kweli?

Tatu, ilikuwaje akakosa udongo wa kutosha wa kuumbia Eva hadi 'achomoe' ubavu wa Adam?
Nne, je kwanini viumbe wengine wote waliumbwa kuwa kusema kuwa na wakawa isipokuwa ngurumbili?

Tano, je inakuwaje wadudu na wanyama majike hawakutoka kwenye mbavu za madume?

Sita, je tulipigwa changa la macho?
Kabla ha kujibu, jikumbushe amri kumi za "Mungu."
Ni amri gani ambayo hawa washenzi waliotuletea dini hawakkuvunja? Walisema tusiue, wakatuua na kutuuza utumwani, Walisema tuwapende majirani zetu wakaishia kutubagua na kutuchukia hadi leo, Walisema usiibe wakatuibia hadi leo wanapowatoza maskini wetu fedha kwa hadaa mbali mbali kama vile sadaka na zaka na mambo mengine, Walisema tusiseme uongo wakatuongopea kuwa kila kitu cheupe ni safi na cheusi kimelaaniwa, Walisema tusiwe na miungu wengi wakajigeuza miungu wao na mila zao.

Waliseme tusizini wakahalalisha uzinzi kwa njia ya ndoa za mitala na upuuzi mwingine. Walipomaliza kutuibia, wakatwambia tusitamani mali wala mke wa mwenzetu wakati wao waliendelea kuwabaka na kuwazini dada zetu.

Wanangu tusaidiane. Nauliza kuna ukweli humu au changa la mato?​
Uwezo mdogo tu wa kufikiri, hata kama angefabya hivyo bado tu wengine wangeuliza kwanini akufanya hivi katika uumbaji.
Hata maisha ya kawaida tu. Rais akifabya hivi utasikia kwaninu asingefanya vile.

Mungu kufanya hivyo kwa nyakati zake aliona inafaa
 
Uwezo mdogo tu wa kufikiri, hata kama angefabya hivyo bado tu wengine wangeuliza kwanini akufanya hivi katika uumbaji.
Hata maisha ya kawaida tu. Rais akifabya hivi utasikia kwaninu asingefanya vile.

Mungu kufanya hivyo kwa nyakati zake aliona inafaa
Sijui kama unajua unachosema hapa. Anyways, kila mtu ana haki ya kuwaza na kufikiri.
 
Acha. Ulitaka uegemee wapi wakati hata quran inasema hayo hayo japo kishairi?
amri kumi zipo wapi kwenye quran? Unaweza kuweka angalau aya moja inayoonesha hizo amri kumi?

correction:
quran si ushairi kama ni ushairi ingeshaweka wazi yenyewe , na kama utabisha basi njoo na dalili kutoka kwenye quran
 
amri kumi zipo wapi kwenye quran? Unaweza kuweka angalau aya moja inayoonesha hizo amri kumi?

correction:
quran si ushairi kama ni ushairi ingeshaweka wazi yenyewe , na kama utabisha basi njoo na dalili kutoka kwenye quran
Nkunyofolea amri ya kwanza inayosema usiwe na Mungu yeyote isipokuwa mimi japo Quran imeweka Allah au yeye badala ya Mimi. Ni surat Surat al-Baqarah 2:163 na Ali Imran 3:64. Usiue, soma surat al-An’am 6:151-153.
 
Nkunyofolea amri ya kwanza inayosema usiwe na Mungu yeyote isipokuwa mimi japo Quran imeweka Allah au yeye badala ya Mimi. Ni surat Surat al-Baqarah 2:163 na Ali Imran 3:64. Usiue, soma surat al-An’am 6:151-153.
swali langu nililokuuliza ni very specific and very clear using a language you perfectly understood ntarudia tena .

Amri kumi zipo wapi kwenye quran? Unaweza kuweka angalau aya moja inayoonesha hizo amri kumi?
 
swali langu nililokuuliza ni very specific and very clear using a language you perfectly understood ntarudia tena .

Amri kumi zipo wapi kwenye quran? Unaweza kuweka angalau aya moja inayoonesha hizo amri kumi?
Why aren't you able to comprehend a very simple thing? Nimekupa aya za kusoma. Umetaka aya nimekupa. Sasa kama hutaki au unashindwa kuzielewa au kuzikwepa, unataka mimi nikusaidieje mwanangu? Amri kumi ziko kwenye torati ya Musa ambayo Mohamed alidukua na kuitumia akidai 'imeteremshwa' toka mbinguni wakati ni ngano za wayahudi, ambazo zinapatikana kwenye biblia agano la kale au taurati mwanangu. Just as simple as that.
 
Why aren't you able to comprehend a very simple thing? Nimekupa aya za kusoma. Umetaka aya nimekupa. Sasa kama hutaki au unashindwa kuzielewa au kuzikwepa, unataka mimi nikusaidieje mwanangu? Amri kumi ziko kwenye torati ya Musa ambayo Mohamed alidukua na kuitumia akidai 'imeteremshwa' toka mbinguni wakati ni ngano za wayahudi, ambazo zinapatikana kwenye biblia agano la kale au taurati mwanangu. Just as simple as that.

1. Hauna ushahidi wa kihistoria au wa kimaandiko kwamba alidukua kama unao weka hapa tupitie and by "weka" namaanisha real solid evidence, unimbiguous proofs.

2. Swali langu lilikuwa rahisi ni kitendo cha kuchukua tu aya na kuiweka hapa au sura na kuiweka hapa inayoelezea hizo amri kumi very easy versy simpls sjajua kwanini unazunguuuuuuka .

3. Stick to the point.
 
1. Hauna ushahidi wa kihistoria au wa kimaandiko kwamba alidukua kama unao weka hapa tupitie and by "weka" namaanisha real solid evidence, unimbiguous proofs.

2. Swali langu lilikuwa rahisi ni kitendo cha kuchukua tu aya na kuiweka hapa au sura na kuiweka hapa inayoelezea hizo amri kumi very easy versy simpls sjajua kwanini unazunguuuuuuka .

3. Stick to the point.
Mwanangu grand milenial mbona kila kitu kiko wazi? Ni kitu gani kipya kurani imeleta ambacho biblia haina zaidi ya kuongeza utume wa mohamed? Uumbaji wote wa watu kwenye vitabu viwili unaanza na Adam na Hawa na kufuatiwa na mayahudi Ibrahim na wengine. Wakati biblia ikimkana mohamed, yeye, kwa vile amedukua toka kwake, anamkiri yesu. Unashindwaje kuona vitu rahisi kama hivi? Kwanini jerusalem iwe sehemu takatifu ya waislam wakati makka siyo kwa wakristo na wayahudi? So simple like that. mwanangu. Hapa hata bila kwenda kwenye historia na stories, common sense inaweza kukuwezesha kuona mashiko na ninachosema mwanangu. Nadhani lau umepata nyenzo ya kukusaidia kuelewa masuala na maswali niliyoanzisha.
 
Mwanangu grand milenial mbona kila kitu kiko wazi? Ni kitu gani kipya kurani imeleta ambacho biblia haina zaidi ya kuongeza utume wa mohamed? Uumbaji wote wa watu kwenye vitabu viwili unaanza na Adam na Hawa na kufuatiwa na mayahudi Ibrahim na wengine. Wakati biblia ikimkana mohamed, yeye, kwa vile amedukua toka kwake, anamkiri yesu. Unashindwaje kuona vitu rahisi kama hivi? Kwanini jerusalem iwe sehemu takatifu ya waislam wakati makka siyo kwa wakristo na wayahudi? So simple like that. mwanangu. Hapa hata bila kwenda kwenye historia na stories, common sense inaweza kukuwezesha kuona mashiko na ninachosema mwanangu. Nadhani lau umepata nyenzo ya kukusaidia kuelewa masuala na maswali niliyoanzisha.

napoulizwa swali na kuhitajika kutoa ushahidi dhidi ya mada uliyoanzisha kikawaida hautakiwi kuleta maneno meeengi ambayo hayagusi key factors mbili

1. Reference 2. Unambiguous proof

Na kinachofanya watu wengi washindwe kutetea hoja zao ni kuingiza stori nyingi na kuacha kujibu swali husika anyways maswali yameongezeka.

1. Amri kumi zipo wapi kwenye quran? Unaweza kuweka angalau aya moja inayoonesha hizo amri kumi?

2. unaweza kuleta ushahidi kutoka kwenye biblia kwamba inamkana mtume muhammad (peace be upon him)? Angalau mstari mmoja pekee ambao hauna utata ( unambiguous verse)

labda nikupe elimu kidogo hakuna sehemu yoyote kwenye quran au hadith inayosema "JERUSALEM SEHEMU TAKATIFU KWA WAISLAMU" this is also an open challenge niletetee aya moja pekee au hadith moja pekee inayothibitisha kwamba jerusalem ni sehemu takatifu kwa waislamu .
 
Wewe ndo umekoroga kabisa. Eti ukristo ulikuwapo Afrika kabla ya kwenda ulaya! Kivipi wakati wazungu ndiyo waliouanzisha na kuuleta huo ukristo wako wa kwenye ngano za kusadikika? Hili hata kuku analijua achia mbali binadamu.
Ulishawahi kufika Ethiopia mzee ukaenda makanisa ya zamani ya coptic au Misri. Jitahd member muncher kulishwa tu bila kuchakata. Cjui kwanini waafrika tumelala hiv
 
Ulishawahi kufika Ethiopia mzee ukaenda makanisa ya zamani ya coptic au Misri. Jitahd member muncher kulishwa tu bila kuchakata. Cjui kwanini waafrika tumelala hiv
Bado hii haifanyi ukristo kuanzia Afrika
Mnasumbuliwa na inferiority complexity
 
napoulizwa swali na kuhitajika kutoa ushahidi dhidi ya mada uliyoanzisha kikawaida hautakiwi kuleta maneno meeengi ambayo hayagusi key factors mbili

1. Reference 2. Unambiguous proof

Na kinachofanya watu wengi washindwe kutetea hoja zao ni kuingiza stori nyingi na kuacha kujibu swali husika anyways maswali yameongezeka.

1. Amri kumi zipo wapi kwenye quran? Unaweza kuweka angalau aya moja inayoonesha hizo amri kumi?

2. unaweza kuleta ushahidi kutoka kwenye biblia kwamba inamkana mtume muhammad (peace be upon him)? Angalau mstari mmoja pekee ambao hauna utata ( unambiguous verse)

labda nikupe elimu kidogo hakuna sehemu yoyote kwenye quran au hadith inayosema "JERUSALEM SEHEMU TAKATIFU KWA WAISLAMU" this is also an open challenge niletetee aya moja pekee au hadith moja pekee inayothibitisha kwamba jerusalem ni sehemu takatifu kwa waislamu .
Wow! Kwani Mohamed aliendea mbinguni tokea wapi mwanangu? Je msikiti wa pili kwa utukufu uko wapi?
 
Ukisoma vitabu vya ngano viitwavyo vitakatifu vinadai kuwa Mungu alimuumba Adam tokana na udongo. Ajabu ya maajabu na kujichanganya, vitabu hivyo hivyo, vinasema:
Mosi, Pili aliumbwa kwa kufinyanga udongo.

Pili, je Mungu tunayesema hafananishwi na chochote, ilikuwaje akaumba kiumbe/viumbe kwa mfano wake kama ni kweli?

Tatu, ilikuwaje akakosa udongo wa kutosha wa kuumbia Eva hadi 'achomoe' ubavu wa Adam?
Nne, je kwanini viumbe wengine wote waliumbwa kuwa kusema kuwa na wakawa isipokuwa ngurumbili?

Tano, je inakuwaje wadudu na wanyama majike hawakutoka kwenye mbavu za madume?

Sita, je tulipigwa changa la macho?
Kabla ha kujibu, jikumbushe amri kumi za "Mungu."
Ni amri gani ambayo hawa washenzi waliotuletea dini hawakkuvunja? Walisema tusiue, wakatuua na kutuuza utumwani, Walisema tuwapende majirani zetu wakaishia kutubagua na kutuchukia hadi leo, Walisema usiibe wakatuibia hadi leo wanapowatoza maskini wetu fedha kwa hadaa mbali mbali kama vile sadaka na zaka na mambo mengine, Walisema tusiseme uongo wakatuongopea kuwa kila kitu cheupe ni safi na cheusi kimelaaniwa, Walisema tusiwe na miungu wengi wakajigeuza miungu wao na mila zao.

Waliseme tusizini wakahalalisha uzinzi kwa njia ya ndoa za mitala na upuuzi mwingine. Walipomaliza kutuibia, wakatwambia tusitamani mali wala mke wa mwenzetu wakati wao waliendelea kuwabaka na kuwazini dada zetu.

Wanangu tusaidiane. Nauliza kuna ukweli humu au changa la mato?​
Ni wazi wewe huaminiMungu. Sasa maswali yote haya ya nini? Kaa na u-atheist wako usisumbue watu
 
Ukisoma vitabu vya ngano viitwavyo vitakatifu vinadai kuwa Mungu alimuumba Adam tokana na udongo. Ajabu ya maajabu na kujichanganya, vitabu hivyo hivyo, vinasema:
Mosi, Pili aliumbwa kwa kufinyanga udongo.

Pili, je Mungu tunayesema hafananishwi na chochote, ilikuwaje akaumba kiumbe/viumbe kwa mfano wake kama ni kweli?

Tatu, ilikuwaje akakosa udongo wa kutosha wa kuumbia Eva hadi 'achomoe' ubavu wa Adam?
Nne, je kwanini viumbe wengine wote waliumbwa kuwa kusema kuwa na wakawa isipokuwa ngurumbili?

Tano, je inakuwaje wadudu na wanyama majike hawakutoka kwenye mbavu za madume?

Sita, je tulipigwa changa la macho?
Kabla ha kujibu, jikumbushe amri kumi za "Mungu."
Ni amri gani ambayo hawa washenzi waliotuletea dini hawakkuvunja? Walisema tusiue, wakatuua na kutuuza utumwani, Walisema tuwapende majirani zetu wakaishia kutubagua na kutuchukia hadi leo, Walisema usiibe wakatuibia hadi leo wanapowatoza maskini wetu fedha kwa hadaa mbali mbali kama vile sadaka na zaka na mambo mengine, Walisema tusiseme uongo wakatuongopea kuwa kila kitu cheupe ni safi na cheusi kimelaaniwa, Walisema tusiwe na miungu wengi wakajigeuza miungu wao na mila zao.

Waliseme tusizini wakahalalisha uzinzi kwa njia ya ndoa za mitala na upuuzi mwingine. Walipomaliza kutuibia, wakatwambia tusitamani mali wala mke wa mwenzetu wakati wao waliendelea kuwabaka na kuwazini dada zetu.

Wanangu tusaidiane. Nauliza kuna ukweli humu au changa la mato?​
😂😅 Maswali yako yamesimama!
Wazungu kutuletea dini, kumbuka kwamba wazungu nao walikua wapagani(wanaoabudu miungu kama waafrica tuh) amri kumi za Mungu na mafundisho ya Biblia yalikuepo kabla ya utawala wao ambao sanasana ulianza mwaka wa 60Bc wakati dola ya Roma ilianza kutawala dunia ikiwashinda wagirki.

Wazungu sio kweli kwamba walituletea miungu yao hapana, wao walijifunza mafundisho yakweli ya Biblia toka kwa wakristo wa karne ya kwanza, kipindi cha Yesu na Mitume, walichofanya Waroma waliua sana wakristo wa kipindi hicho wakachukua Biblia na kuchanganya na tamaduni zao za kipagani wakafanya kua dini moja kubwa ya kiroma. Wakaanza kuisambaza kote duniani ili tamaduni zao zifuatwe kote duniani kwa kua walikua tayari wanapesa yakutosha kufanya kila kitu...
Ko upotoshaji mkubwa wa mafundisho ya Biblia ulianzia hapo kimbindi cha The Roman empire, wakati wamishonali wanakuja kwa kivuli cha kusema wanaleta dini lakini ukweli ni kwamba walikua wanasambaza na kuikuza Dola yao ya kiroma.
Yani wamishonari haohao wakawa wanahusika na kuuwa watu na kuuza watu utumwani.

NB: Amri kumi za Mungu na mafundisho mengine ya Biblia chanzo sio wazungu, wazungu wamezikuta wakazipotosha ili ziendane na imani zao zakipagani afu wakasambaza ulimwenguni.
Biblia kwakua imetungwa na Mungu mwenyewe inakua inawaumbua, inasema ukweli mwingi ambao wao wameuficha ili wengi wasinjue Mungu kiundani.
 
Back
Top Bottom