Kwanini "Mungu" aliumba vitu vyote kwa kusema viwe na vikawa isipokuwa binadamu toka kwenye udongo kama ni kweli?

Kwanini "Mungu" aliumba vitu vyote kwa kusema viwe na vikawa isipokuwa binadamu toka kwenye udongo kama ni kweli?

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na "cause" , Hata cause ya kila kitu, lazima iwe na cause yake nyingine.

Pasiwepo kitu chochote kile kilicho jitokeza chenyewe pasipo cause, Maana kitazua maswali ya kiliwezaje ku exist chenyewe tu pasipo cause.

Na kama si lazima kwamba kila kitu kilichopo kina cause, Hata ulimwengu na vyote vilivyomo except man-made things Havina na havihitaji kuwa na cause.

Una elewa hilo?
Ukiendeleza na hiyo logic na silogism ya auwepo unaweza lau kung'amua maswali yangu na kujaribu kuyajibu. Umethubutu. Kwa logic yako ni kwamba hata Mungu ana cause au siyo mwanangu?
 
Ungekuwa na akili japo kiduchu ungenielewa badala ya kutokwa na mapovu bila sababu ya msingi. Unatupotezea muda. Kama huwezi kujibu nyamaza wengine wajaribu. Haya ni maswali ya kifalsafa na siyo ya kifala mwanangu.
Akili ni nini?

Unaweza kuthibitisha kwamba una akili?
 
Ukiendeleza na hiyo logic na silogism ya auwepo unaweza lau kung'amua maswali yangu na kujaribu kuyajibu. Umethubutu. Kwa logic yako ni kwamba hata Mungu ana cause au siyo mwanangu?
Mungu hayupo.

Mungu ni dhana ya kufikirika tu imaginations just an illusion.
 
Tora

Torati imeshukia ISRAEL na kusambaa Dunian kote NIKUULIZE ULISHAWAH KUTALIWA NA NETANYAHU achana na papa wale Wala sadaka hakuna chochote wanachopigania kwa MUNGU TUNAONGELEA TAIFA TEULE ISRAEL
Utopolo mtupu. Una maana Israel ilipendelewa aka the chosen ones? Je Mungu ni mbaguzi? Alitoaje ardhi ya wenyewe kwa wengine? Kesho atamtoa mke/mumeo kwa mwingine nawe useme Amina siyo? Israel ni taifa lililoundwa na wakoloni ili kkuwadhulumu waarabu. Israel ni taifa la kijinai na kijambazi finish. Mafuta yakiisha mashariki ya kati na israel yako inakwisha. Simpo.
 
Ukisoma vitabu vya ngano viitwavyo vitakatifu vinadai kuwa Mungu alimuumba Adam tokana na udongo. Ajabu ya maajabu na kujichanganya, vitabu hivyo hivyo, vinasema:
Mosi, Pili aliumbwa kwa kufinyanga udongo.

Pili, je Mungu tunayesema hafananishwi na chochote, ilikuwaje akaumba kiumbe/viumbe kwa mfano wake kama ni kweli?

Tatu, ilikuwaje akakosa udongo wa kutosha wa kuumbia Eva hadi 'achomoe' ubavu wa Adam?
Nne, je kwanini viumbe wengine wote waliumbwa kuwa kusema kuwa na wakawa isipokuwa ngurumbili?

Tano, je inakuwaje wadudu na wanyama majike hawakutoka kwenye mbavu za madume?

Sita, je tulipigwa changa la macho?
Kabla ha kujibu, jikumbushe amri kumi za "Mungu."
Ni amri gani ambayo hawa washenzi waliotuletea dini hawakkuvunja? Walisema tusiue, wakatuua na kutuuza utumwani, Walisema tuwapende majirani zetu wakaishia kutubagua na kutuchukia hadi leo, Walisema usiibe wakatuibia hadi leo wanapowatoza maskini wetu fedha kwa hadaa mbali mbali kama vile sadaka na zaka na mambo mengine, Walisema tusiseme uongo wakatuongopea kuwa kila kitu cheupe ni safi na cheusi kimelaaniwa, Walisema tusiwe na miungu wengi wakajigeuza miungu wao na mila zao.

Waliseme tusizini wakahalalisha uzinzi kwa njia ya ndoa za mitala na upuuzi mwingine. Walipomaliza kutuibia, wakatwambia tusitamani mali wala mke wa mwenzetu wakati wao waliendelea kuwabaka na kuwazini dada zetu.

Wanangu tusaidiane. Nauliza kuna ukweli humu au changa la mato?​
Maswali mazuri sana haya.

Kwanza ni kweli sisi tuna fanana na Umbo la Mungu. Lakini uwezo wetu uko chini, hivyo hawezi fananishwa na sisi.

Kwenye kuumbwa viumbe vingine. Wanyama na ndege pia waliumbwa kutokana na udongo. Soma mwanzo 1:24-25.

Lakini pia nimeona unahitaji darasa zuri la bible. Unaweza ukanifuata pm tukajifunza zaidi hasa siku za Ijumaa jioni. Karibun.
 
Maswali mazuri sana haya.

Kwanza ni kweli sisi tuna fanana na Umbo la Mungu. Lakini uwezo wetu uko chini, hivyo hawezi fananishwa na sisi.

Kwenye kuumbwa viumbe vingine. Wanyama na ndege pia waliumbwa kutokana na udongo. Soma mwanzo 1:24-25.

Lakini pia nimeona unahitaji darasa zuri la bible. Unaweza ukanifuata pm tukajifunza zaidi hasa siku za Ijumaa jioni. Karibun.
Hizo aya unazotoa nshazisoma si mara moja. Mungu alisema tuumbe kwa mfano wetu wawe na uwezo wa kutawala kama sisi. Sijui hapo napo vipi mwanangu? Hili la wanyama kuumbwa kwa udongo umelipata wapi? Je na wa kike nao walitoka kwenye mbavu za madume? Kkumbuka wadudu na ndege pia.
 
Ukiwa unaelimishwa kasome tena. Mara ya kwanza unaweza ukasoma lakini usielewe. Kasome hizo Aya
Hizo aya unazotoa nshazisoma si mara moja. Mungu alisema tuumbe kwa mfano wetu wawe na uwezo wa kutawala kama sisi. Sijui hapo napo vipi mwanangu? Hili la wanyama kuumbwa kwa udongo umelipata wapi? Je na wa kike nao walitoka kwenye mbavu za madume? Kkumbuka wadudu na ndege pia.
 
Ujinga,maovu kuwa mengi akufanyi amri za Mungu kuwa batili .
MUNGU aliumba viumbe vote kwa matakwa yake, kuhoji uumbambaji wa Mungu ni dhambi mpya unayojitafutia!.
 
wadai hawataki kuamini kama kuna sir God

Sisi hatuwalazimishi kuamini

Kila mtu abaki na imani yake

Kilubwa tuzivunje sheria za nchi tu
 
Ujinga,maovu kuwa mengi akufanyi amri za Mungu kuwa batili .
MUNGU aliumba viumbe vote kwa matakwa yake, kuhoji uumbambaji wa Mungu ni dhambi mpya unayojitafutia!.
Kwani walipokuja na hizo amri za 'Mungu' walitukuta tukifanya hayo wanayokataza? Mbona ni simpo logic kuwa utu maana yake ni kutofanya hayo yanayoitwa amri kuu za mungu. Hata mbwa wa kiafrika akiiba nyama au paka kuiba maziwa, humkimbia amfugaye kwa kujua ameiba. Mabeberu na majogoo hupigana hadi mengine kuawana wanapogundua kuwa wameziniana. So simpo mwanangu. Tumia hata japo common sense.
 
Ukisoma vitabu vya ngano viitwavyo vitakatifu vinadai kuwa Mungu alimuumba Adam tokana na udongo. Ajabu ya maajabu na kujichanganya, vitabu hivyo hivyo, vinasema:
Mosi, Pili aliumbwa kwa kufinyanga udongo.

Pili, je Mungu tunayesema hafananishwi na chochote, ilikuwaje akaumba kiumbe/viumbe kwa mfano wake kama ni kweli?

Tatu, ilikuwaje akakosa udongo wa kutosha wa kuumbia Eva hadi 'achomoe' ubavu wa Adam?
Nne, je kwanini viumbe wengine wote waliumbwa kuwa kusema kuwa na wakawa isipokuwa ngurumbili?

Tano, je inakuwaje wadudu na wanyama majike hawakutoka kwenye mbavu za madume?

Sita, je tulipigwa changa la macho?
Kabla ha kujibu, jikumbushe amri kumi za "Mungu."
Ni amri gani ambayo hawa washenzi waliotuletea dini hawakkuvunja? Walisema tusiue, wakatuua na kutuuza utumwani, Walisema tuwapende majirani zetu wakaishia kutubagua na kutuchukia hadi leo, Walisema usiibe wakatuibia hadi leo wanapowatoza maskini wetu fedha kwa hadaa mbali mbali kama vile sadaka na zaka na mambo mengine, Walisema tusiseme uongo wakatuongopea kuwa kila kitu cheupe ni safi na cheusi kimelaaniwa, Walisema tusiwe na miungu wengi wakajigeuza miungu wao na mila zao.

Waliseme tusizini wakahalalisha uzinzi kwa njia ya ndoa za mitala na upuuzi mwingine. Walipomaliza kutuibia, wakatwambia tusitamani mali wala mke wa mwenzetu wakati wao waliendelea kuwabaka na kuwazini dada zetu.

Wanangu tusaidiane. Nauliza kuna ukweli humu au changa la mato?​
Kwa sababu huu uzi umekuwa biased kwenye bible sitojibu chochote
 
Nikitazama kwa jicho la kifilosofia siyo jicho la kuhukumu, naweza kuona kuwa Mungu huwa anatuumba kwa udongo kila siku . Chakula tunachokula kujenga miili yetu, na ukuaji wa mwili mpaka kufikia balehe na kuwa na akili ya kuweza kutofautisha mema na mabaya ; kinatokana na udongo.

Sasa kuhusu kwanini Mungu huwa anatuumba kwa udongo , Mungu mwenyewe ndiye ana jibu sahihi la hili swali.
 
Ukisoma vitabu vya ngano viitwavyo vitakatifu vinadai kuwa Mungu alimuumba Adam tokana na udongo. Ajabu ya maajabu na kujichanganya, vitabu hivyo hivyo, vinasema:
Mosi, Pili aliumbwa kwa kufinyanga udongo.​
Ni kweli mwanadamu aliumbwa kwa mikono ya Mungu
Mwanzo 1:26
Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
Pili, je Mungu tunayesema hafananishwi na chochote, ilikuwaje akaumba kiumbe/viumbe kwa mfano wake kama ni kweli?​
Uweza wa Mungu haufananishwi na chochote. Kumbuka ni yeye aliyeamua kumuumba mtu kwa mfano wake, na siyo mwanadamu aliyesema ama kutaka kuumbwa kwa mfano wa Mungu.

Kuna Vitu muhimu hapa. Mosi; Mungu alituumba na kutuwekea ufahamu. Wanyama wana utambuzi na siyo ufahamu yaani kutafuta taarifa na elimu mbalimbali za kuyakabili mazingira ama kuyabadili. Pili; alituwekea UTASHI, yaani hiyari ya kuamua kutenda ama kutotenda jambo lolote, papo hapo akatuwekea ujuzi wa kupima kama utende ama usitende lolote
Tatu, ilikuwaje akakosa udongo wa kutosha wa kuumbia Eva hadi 'achomoe' ubavu wa Adam?​
Hapo Mungu anadhihirisha ukuu wake kwa kuweka fumbo linalotusumbua mpaka leo. Roho Mtakatifu kwa rehema zake anaweza kutufumbulia hili pale tutakapohitaji na kumuomba kwa dhati
Nne, je kwanini viumbe wengine wote waliumbwa kuwa kusema kuwa na wakawa isipokuwa ngurumbili?​
Ukisoma kitabu ya Yohana Mtakatifu kwenye sura ya kwanza kisha ukarudi kwenye Mwanzo juu ya uumbaji utagundua kuwa muhtasari ukioandikwa kwenye uumbaji ni elimu kubwa sana imefichwa humo.
NENO la Mungu ni Yesu kwa mujibu wa kitabu cha Yohana Mtakatifu 1: 1 inasema Hapo Mwanzo palikuwepo na Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa ni Mungu.
ukisoma mistari inayofuatia utagundua kwamba Neno ndiye aliyetekekeza kila kitu alichoagiza Mungu. Aliposema kuwe na NURU maana yake Neno alitengeneza Nuru. Alipotamka wanyama wawepo na kila kitu maana yake Neno (Yesu Kristo) alivitengeneza vyote hivyo na kila akikamilisha basi Mungu huvikagua na kuona ni vyema.
ikumbukwe kwamba, watafiti wa mambo ya kale wanaelezea namna vitu na viumbe vilivyoanza kuwepo kwa kuweka muda wa uwepo wa awali ambapo tunaona wanyama, miti, maji, wadudu, ndege walivyopishana uwepo wao wa awali.
Ninamuomba Mungu afungue fahamu zako uweze kuelewa fumbo la uumbaji
Tano, je inakuwaje wadudu na wanyama majike hawakutoka kwenye mbavu za madume?​
Nimekujibu hapo juu
Sita, je tulipigwa changa la macho?​
Hapana hatujapigwa changa la macho.
Neno la Mungu ni amini na KWELI.
Kabla ha kujibu, jikumbushe amri kumi za "Mungu."
Ni amri gani ambayo hawa washenzi waliotuletea dini hawakkuvunja? Walisema tusiue, wakatuua na kutuuza utumwani, Walisema tuwapende majirani zetu wakaishia kutubagua na kutuchukia hadi leo, Walisema usiibe wakatuibia hadi leo wanapowatoza maskini wetu fedha kwa hadaa mbali mbali kama vile sadaka na zaka na mambo mengine, Walisema tusiseme uongo wakatuongopea kuwa kila kitu cheupe ni safi na cheusi kimelaaniwa, Walisema tusiwe na miungu wengi wakajigeuza miungu wao na mila zao.

Waliseme tusizini wakahalalisha uzinzi kwa njia ya ndoa za mitala na upuuzi mwingine. Walipomaliza kutuibia, wakatwambia tusitamani mali wala mke wa mwenzetu wakati wao waliendelea kuwabaka na kuwazini dada zetu.

Wanangu tusaidiane. Nauliza kuna ukweli humu au changa la mato?​
Kwenye hii segment.
Umeongea ukweli mtupu ambao tunapaswa kuusimamia na kuuishi.
Tumetendewa makosa mengi sana na hao watu
 
Ukisoma vitabu vya ngano viitwavyo vitakatifu vinadai kuwa Mungu alimuumba Adam tokana na udongo. Ajabu ya maajabu na kujichanganya, vitabu hivyo hivyo, vinasema:
Mosi, Pili aliumbwa kwa kufinyanga udongo.

Pili, je Mungu tunayesema hafananishwi na chochote, ilikuwaje akaumba kiumbe/viumbe kwa mfano wake kama ni kweli?

Tatu, ilikuwaje akakosa udongo wa kutosha wa kuumbia Eva hadi 'achomoe' ubavu wa Adam?
Nne, je kwanini viumbe wengine wote waliumbwa kuwa kusema kuwa na wakawa isipokuwa ngurumbili?

Tano, je inakuwaje wadudu na wanyama majike hawakutoka kwenye mbavu za madume?

Sita, je tulipigwa changa la macho?
Kabla ha kujibu, jikumbushe amri kumi za "Mungu."
Ni amri gani ambayo hawa washenzi waliotuletea dini hawakkuvunja? Walisema tusiue, wakatuua na kutuuza utumwani, Walisema tuwapende majirani zetu wakaishia kutubagua na kutuchukia hadi leo, Walisema usiibe wakatuibia hadi leo wanapowatoza maskini wetu fedha kwa hadaa mbali mbali kama vile sadaka na zaka na mambo mengine, Walisema tusiseme uongo wakatuongopea kuwa kila kitu cheupe ni safi na cheusi kimelaaniwa, Walisema tusiwe na miungu wengi wakajigeuza miungu wao na mila zao.

Waliseme tusizini wakahalalisha uzinzi kwa njia ya ndoa za mitala na upuuzi mwingine. Walipomaliza kutuibia, wakatwambia tusitamani mali wala mke wa mwenzetu wakati wao waliendelea kuwabaka na kuwazini dada zetu.

Wanangu tusaidiane. Nauliza kuna ukweli humu au changa la mato?​
Tatizo umechanganya swali na hisia zako ni kama vile ushajiandalia majibu tayari. Kwa kukusaidia kila kiumbe kina daraja lake na mwisho wa kufikiri. Hakuna siku mbwa au punda atafikiri kama binadamu au binadamu atafikir kama Mungu. Na dini ya kikristo ilikuwepo africa kabla ya ulaya na kingine ni kuwa hata wakristo WA leo japo wanaongea habar za kuwa na upenda na wakweli lakin hawakosekani wabaya maana kuna watu ni blood line ya giza so ile adhabu ipo kwaajili yao.
 
Back
Top Bottom