Kwanini Mungu hakufinyanga mavumbi ya nchi kuumba mwanamke badala yake akachukua nyama toka kwa Adam?

Kwanini Mungu hakufinyanga mavumbi ya nchi kuumba mwanamke badala yake akachukua nyama toka kwa Adam?

Dam55

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2015
Posts
5,641
Reaction score
11,958
Ni swali ambalo nimejiuliza sana kwa wajuvi na wenye Elimu basi mnisaidie majibu tafadhali.

Tukisoma maandiko tunaona kuwa Adam aliumbwa kwa mavumbi ya nchi ila ilipokuja kesi ya kuumbwa mwanamke HAWA/EVA mambo yakawa tofauti.

Mungu akampa Adam usingizi mzito kisha akatoa nyama ubavuni pa Adam kisha akamfanya mwanamke.

Kwaninj Mungu hakuchukua mavumbi kama alivyofanya mwanzo na kumuumba mwanamke?

Kulikuwa na nini cha ziada alichokifuata kwenye ubavu wa Adam?

Je, ni kweli Adam hakuwa mwanaume bali ni kiumbe kilichokamilika Chenye jinsia mbili kisha Mungu akaona ni vema kuzitenganisha?

Kwenu wajuvi wa mambo tusaidiane majibu tafadhali.
 
Kama seriously unajiuliza hili swali, yaani kwa dhati kabisa kutoka moyoni na una kiu ya maarifa na usingependa kuonekana mjinga

Jibu langu ni moja kuna nadharia zilizobebwa na tafiti za kisayansi, data, facts na ushahidi unaonekana kwa macho zinazoelezea chimbuko la Binadamu. Kasome hizo

Hio ya Adam na Hawa sio nadharia, ni hadithi ya zamani (Fiction) ya wagiriki ilikuja kusimuliwa kwa maneno mengine na wayahudi wakiongeza original twist yao, baadae waarabu wakaibeba kama ilivyo kwenye hadithi zao, ikaletwa kwetu kwa meli

Hata sisi tulikua na za kwetu pia.
 
Ni swali ambalo nimejiuliza sana kwa wajuvi na wenye Elimu basi mnisaidie majibu tafadhali.

Tukisoma maandiko tunaona kuwa Adam aliumbwa kwa mavumbi ya nchi ila ilipokuja kesi ya kuumbwa mwanamke HAWA/EVA mambo yakawa tofauti.
Mungu akampa Adam usingizi mzito kisha akatoa nyama ubavuni pa Adam kisha akamfanya mwanamke.

Kwaninj Mungu hakuchukua mavumbi kama alivyofanya mwanzo na kumuumba mwanamke?

Kulikuwa na nini cha ziada alichokifuata kwenye ubavu wa Adam?

Je ni kweli Adam hakuwa mwanaume bali ni kiumbe kilichokamilika Chenye jinsia mbili kisha Mungu akaona ni vema kuzitenganisha?

Kwenu wajuvi wa mambo tusaidiane majibu tafadhali.
Unaamini story ya adam na hawa umekuwa mtoto wa primary wewe?
 
Alikuwa ameshanawa mikono sasa wewe ulitaka ashinde kutwa nzima anachezea matope?
God damn it! You're a god damn genius! This is the most outstanding answer I have ever heard. You must have a goddamn I.Q. of 160. You are goddamn gifted.
 
Huu uumbaji wa Eva kutoka ubavuni mwa Adam umekaa kiroho zaidi, Mungu alitengeneza attachment moja kali sana kati ya wale wawili, attachment ambayo ilikuja kuharibiwa na Eva baada ya kudanganywa na nyoka akala lile tunda, na kumgawia Adam nae akala.

Ukitazama vizuri hii concept, kabla ya shambi kuwakuta hawa wawili, utaona Mungu alimuumbia Adam Eva, ili kumfanya awe msaidizi, msaidizi wa karibu zaidi, na wa kufanana nae, ndio maana baada ya Adam kupata fahamu, akakiri wenyewe, hakika huyu ni mifupa kati ya mifupa yangu, na nyama kati ya nyama zangu.

Upatikanaji wao ndio uliokuja kuwafanya wakaishi maisha ya kitakatifu, japo sisi sasa hivi tunaigiza huo utakatifu, kwa kuita kuungana mume na mke kwa kuwafungisha ndoa.

Ndoa ambayo baadae mnakuja kuingiliana kimwili sioni kama ina utakatifu wowote, kwani bado mnatembea kwenye ile dhambi ya Adam na Eva, ndio maana hata akipatikana mtoto, licha ya kuiita ndoa takatifu, lakini bado mtoto hubatizwa ili kumuondolea dhambi ya asili, sasa iweje vitakatifu vilivyounganishwa kwa ndoa, vije kuzaa laana inayotakiwa kuondolewa kwa ubatizo?
 
Ni swali ambalo nimejiuliza sana kwa wajuvi na wenye Elimu basi mnisaidie majibu tafadhali.

Tukisoma maandiko tunaona kuwa Adam aliumbwa kwa mavumbi ya nchi ila ilipokuja kesi ya kuumbwa mwanamke HAWA/EVA mambo yakawa tofauti.

Mungu akampa Adam usingizi mzito kisha akatoa nyama ubavuni pa Adam kisha akamfanya mwanamke.

Kwaninj Mungu hakuchukua mavumbi kama alivyofanya mwanzo na kumuumba mwanamke?

Kulikuwa na nini cha ziada alichokifuata kwenye ubavu wa Adam?

Je, ni kweli Adam hakuwa mwanaume bali ni kiumbe kilichokamilika Chenye jinsia mbili kisha Mungu akaona ni vema kuzitenganisha?

Kwenu wajuvi wa mambo tusaidiane majibu tafadhali.
Ungekuwa ulisoma chemistry na kuielewa usingepata shida

Mungu aliumba Adamu kwa mavumbi.Ina maana mwili wote wa Adamu ulikuwa mavumbi matupu Sasa alipochukua kipande cha mwili wa Adamu kilichokuwa mavumbi kikawa mwanamke .Kikemia huyo mwanamke pia ni Mavumbi .Sababu alitolewa kwenye mavumbi yale yale kumtengeneza Eva.

Hivyo wote wameumbwa kwa mavumbi.Hata kwa lugha rahisi maji kwenye ndoo ukiyachukua kidogo kwenye kikombe yanabaki maji yale yale tofauti yalipo

Adamu na Eva wote wzmetengenezwa kwa mavumbi
 
Ni swali ambalo nimejiuliza sana kwa wajuvi na wenye Elimu basi mnisaidie majibu tafadhali.

Tukisoma maandiko tunaona kuwa Adam aliumbwa kwa mavumbi ya nchi ila ilipokuja kesi ya kuumbwa mwanamke HAWA/EVA mambo yakawa tofauti.

Mungu akampa Adam usingizi mzito kisha akatoa nyama ubavuni pa Adam kisha akamfanya mwanamke.

Kwaninj Mungu hakuchukua mavumbi kama alivyofanya mwanzo na kumuumba mwanamke?

Kulikuwa na nini cha ziada alichokifuata kwenye ubavu wa Adam?

Je, ni kweli Adam hakuwa mwanaume bali ni kiumbe kilichokamilika Chenye jinsia mbili kisha Mungu akaona ni vema kuzitenganisha?

Kwenu wajuvi wa mambo tusaidiane majibu tafadhali.
Unajiulizaje kwenye hadithi!?

Mtunzi kawasilisha dhima aliyoikusudia kumkandamiza mwanamke aonekane yuko chini.

Hadithi hiyo ya uumbaji ni hadithi ya kutungwa tu, na ipo kwaajili ya kutoa mafundisho ya kitabia katika imani za dini kadhaa.
Hivyo bhasi haipaswi kuchukuliwa kama uhalisia.
 
Ungekuwa ulisoma chemistry na kuielewa usingepata shida

Mungu aliumba Adamu kwa mavumbi.Ina maana mwili wote wa Adamu ulikuwa mavumbi matupu Sasa alipochukua kipande cha mwili wa Adamu kilichokuwa mavumbi kikawa mwanamke .Kikemia huyo mwanamke pia ni Mavumbi .Sababu alitolewa kwenye mavumbi yale yale kumtengeneza Eva.

Hivyo wote wameumbwa kwa mavumbi.Hata kwa lugha rahisi maji kwenye ndoo ukiyachukua kidogo kwenye kikombe yanabaki maji yale yale tofauti yalipo

Adamu na Eva wote wzmetengenezwa kwa mavumbi
Kwahyo walikuwa ni watu tofauti na sie!?

Hawakuwa na nyama kama sisi!?
 
Bi couse huyu kiumbe mwanamuke hawez kamilia pasipo kuwapo kwa mwana mume
In short wanamkee ndio wanatafuta ukamilifu, direction, fulfilment, life purpose other wise life is such a huge burdern for them, ladies sorry for this comment.
 
Ni swali ambalo nimejiuliza sana kwa wajuvi na wenye Elimu basi mnisaidie majibu tafadhali.

Tukisoma maandiko tunaona kuwa Adam aliumbwa kwa mavumbi ya nchi ila ilipokuja kesi ya kuumbwa mwanamke HAWA/EVA mambo yakawa tofauti.

Mungu akampa Adam usingizi mzito kisha akatoa nyama ubavuni pa Adam kisha akamfanya mwanamke.

Kwaninj Mungu hakuchukua mavumbi kama alivyofanya mwanzo na kumuumba mwanamke?

Kulikuwa na nini cha ziada alichokifuata kwenye ubavu wa Adam?

Je, ni kweli Adam hakuwa mwanaume bali ni kiumbe kilichokamilika Chenye jinsia mbili kisha Mungu akaona ni vema kuzitenganisha?

Kwenu wajuvi wa mambo tusaidiane majibu tafadhali.
Njia za MUNGU hazichunguziki! Fuata anayokuamuru ufanye iyo inatosha.
 
Ni swali ambalo nimejiuliza sana kwa wajuvi na wenye Elimu basi mnisaidie majibu tafadhali.

Tukisoma maandiko tunaona kuwa Adam aliumbwa kwa mavumbi ya nchi ila ilipokuja kesi ya kuumbwa mwanamke HAWA/EVA mambo yakawa tofauti.

Mungu akampa Adam usingizi mzito kisha akatoa nyama ubavuni pa Adam kisha akamfanya mwanamke.

Kwaninj Mungu hakuchukua mavumbi kama alivyofanya mwanzo na kumuumba mwanamke?

Kulikuwa na nini cha ziada alichokifuata kwenye ubavu wa Adam?

Je, ni kweli Adam hakuwa mwanaume bali ni kiumbe kilichokamilika Chenye jinsia mbili kisha Mungu akaona ni vema kuzitenganisha?

Kwenu wajuvi wa mambo tusaidiane majibu tafadhali.

Mwanamke ni malaika
Adam alifanyiwa upasuaji pale kwenye ule mshono ikatolewa jinsia ya kike

Mwanamke alikua malaika na shetani alikua malaika
 
Mwanamke ni malaika
Adam alifanyiwa upasuaji pale kwenye ule mshono ikatolewa jinsia ya kike

Mwanamke alikua malaika na shetani alikua malaika
KUNA MWANAMKE ALIKUWEPO KABLA YA EVA!! ALIMSHINDA ADAMU KWA TABIA NDIO MAANA UBAVU ULIYOLEWA ILI ADAMU APATE MWANAMKE NA AMHESHIMU MAANA AMETOKA UBAVUNI MWAKE. YUKO MWANAMKE KABLA YA HAWA/EVA NA ALIMTESA SANA ADAMU WAKASHINDWANA
 
Mwanamke ni malaika
Adam alifanyiwa upasuaji pale kwenye ule mshono ikatolewa jinsia ya kike

Mwanamke alikua malaika na shetani alikua malaika
Nitajie jina moja la malaika mwenye jinsia ya kike..
 
Back
Top Bottom