Kwanini Mungu hakufinyanga mavumbi ya nchi kuumba mwanamke badala yake akachukua nyama toka kwa Adam?

Kwanini Mungu hakufinyanga mavumbi ya nchi kuumba mwanamke badala yake akachukua nyama toka kwa Adam?

Jiuliza kwanini mwanaume ana chromosome zote mbili za jinsia za ‘X’ na ‘Y’, ila mwanamke anayo moja tu ya ‘X’
 
Ni swali ambalo nimejiuliza sana kwa wajuvi na wenye Elimu basi mnisaidie majibu tafadhali.

Tukisoma maandiko tunaona kuwa Adam aliumbwa kwa mavumbi ya nchi ila ilipokuja kesi ya kuumbwa mwanamke HAWA/EVA mambo yakawa tofauti.

Mungu akampa Adam usingizi mzito kisha akatoa nyama ubavuni pa Adam kisha akamfanya mwanamke.

Kwaninj Mungu hakuchukua mavumbi kama alivyofanya mwanzo na kumuumba mwanamke?

Kulikuwa na nini cha ziada alichokifuata kwenye ubavu wa Adam?

Je, ni kweli Adam hakuwa mwanaume bali ni kiumbe kilichokamilika Chenye jinsia mbili kisha Mungu akaona ni vema kuzitenganisha?

Kwenu wajuvi wa mambo tusaidiane majibu tafadhali.
Siiamini theory hiyo. Nisome, bofya chini hapo👇🏾

 
Ni swali ambalo nimejiuliza sana kwa wajuvi na wenye Elimu basi mnisaidie majibu tafadhali.

Tukisoma maandiko tunaona kuwa Adam aliumbwa kwa mavumbi ya nchi ila ilipokuja kesi ya kuumbwa mwanamke HAWA/EVA mambo yakawa tofauti.

Mungu akampa Adam usingizi mzito kisha akatoa nyama ubavuni pa Adam kisha akamfanya mwanamke.

Kwaninj Mungu hakuchukua mavumbi kama alivyofanya mwanzo na kumuumba mwanamke?

Kulikuwa na nini cha ziada alichokifuata kwenye ubavu wa Adam?

Je, ni kweli Adam hakuwa mwanaume bali ni kiumbe kilichokamilika Chenye jinsia mbili kisha Mungu akaona ni vema kuzitenganisha?

Kwenu wajuvi wa mambo tusaidiane majibu tafadhali.
MUNGU aliumba mtu mke na mume, how and where, He did that happen, it is not your business, because He is beyond our imagination and thinking capacity [emoji91][emoji137][emoji137]
 
Kama seriously unajiuliza hili swali, yaani kwa dhati kabisa kutoka moyoni na una kiu ya maarifa na usingependa kuonekana mjinga

Jibu langu ni moja kuna nadharia zilizobebwa na tafiti za kisayansi, data, facts na ushahidi unaonekana kwa macho zinazoelezea chimbuko la Binadamu. Kasome hizo

Hio ya Adam na Hawa sio nadharia, ni hadithi ya zamani (Fiction) ya wagiriki ilikuja kusimuliwa kwa maneno mengine na wayahudi wakiongeza original twist yao, baadae waarabu wakaibeba kama ilivyo kwenye hadithi zao, ikaletwa kwetu kwa meli

Hata sisi tulikua na za kwetu pia.
Nimeuliza wenye Elimu ya mambo ya dini.
 
Wabongo Kwa kupangia wenzenu vya kufanya mpo vyema,ila ndio hadi Mungu?Mbona wewe hukupangiwa utumie Akili wakati unatoa hili bandiko?🤔😁
 
Wabongo Kwa kupangia wenzenu vya kufanya mpo vyema,ila ndio hadi Mungu?Mbona wewe hukupangiwa utumie Akili wakati unatoa hili bandiko?🤔😁
Wewe ndio umenielewa vibaya, mimi sijampangia Mungu chakufanya, mimi nimeuliza juu ya siri iliyopo kwenye huo uumbaji kwa mwenye elimu atujuze.

Sasa wewe unayetumia akili na kama una hiyo elimu juu ya hilo fumbo nijibu mkuu.
 
Ni swali ambalo nimejiuliza sana kwa wajuvi na wenye Elimu basi mnisaidie majibu tafadhali.

Tukisoma maandiko tunaona kuwa Adam aliumbwa kwa mavumbi ya nchi ila ilipokuja kesi ya kuumbwa mwanamke HAWA/EVA mambo yakawa tofauti.

Mungu akampa Adam usingizi mzito kisha akatoa nyama ubavuni pa Adam kisha akamfanya mwanamke.

Kwaninj Mungu hakuchukua mavumbi kama alivyofanya mwanzo na kumuumba mwanamke?

Kulikuwa na nini cha ziada alichokifuata kwenye ubavu wa Adam?

Je, ni kweli Adam hakuwa mwanaume bali ni kiumbe kilichokamilika Chenye jinsia mbili kisha Mungu akaona ni vema kuzitenganisha?

Kwenu wajuvi wa mambo tusaidiane majibu tafadhali.
Baada ya Mungu kumaliza kazi ya uumbaji, alimpa Adamu mamlaka yote juu ya uumbaji Wake. Kuanzia hapo, hakuna kitu Mungu alichofanya duniani bila kumhusisha mwanadamu.

Kwenye uumbaji wa mwanadamu, kuna misamiati mikuu miwili iliyotumika: AKAMWUMBA na AKAMFANYA. Hayo maneno yanabeba maana mbili tofauti.

Kuumba anazungumzia roho ya mwanadamu, ambayo kiuhalisia, haikutoka udongoni. Ilitokana na Mungu Mwenyewe. Na kama utaona, mtu roho - MWANAMUME NA MWANMKE, WOTE walitoka kwa Mungu, na wote waliitwa Adamu. Ndilo jina walilopewa na Mungu. Lakini mtu mwili ulifinyangwa kwa kutumia udongo. Hapo Mungu alikuwa na mamlaka ya kuendelea kutumia mavumbi ya ardhi kwa sababu bado yalikuwa chini ya mamlaka Yake.

Na kama nilivyosema, baada ya Mungu kumkabidhi Adamu kila kitu, asingekigusa tena bila kupitia kwa Adamu. Unaweza kusema kitu pekee ambacho Mungu alikuwa na mamlaka nacho ni Adamu. Kwa kuwa dunia yote ilikuwa chini ya Adamu, na Adamu alikuwa chini ya mamlaka ya Mungu, Mungu alikuwa na mamlaka ya kuutumia mwili wake kumwumba mtu mwingine.

Ndiyo maana, baada ya kumaliza kuumba, Adamu aliachiwa na Mungu jukumu la kuwapa wanyama majina. Hata Eva, aliyempa jina ni Adamu.
 
Huyu Mungu aliyeanza kumuumba Adam, ukimuuliza kuhusu 50 kwa 50 ya wanawake sijui atajibu nini.
 
Ni swali ambalo nimejiuliza sana kwa wajuvi na wenye Elimu basi mnisaidie majibu tafadhali.

Tukisoma maandiko tunaona kuwa Adam aliumbwa kwa mavumbi ya nchi ila ilipokuja kesi ya kuumbwa mwanamke HAWA/EVA mambo yakawa tofauti.

Mungu akampa Adam usingizi mzito kisha akatoa nyama ubavuni pa Adam kisha akamfanya mwanamke.

Kwaninj Mungu hakuchukua mavumbi kama alivyofanya mwanzo na kumuumba mwanamke?

Kulikuwa na nini cha ziada alichokifuata kwenye ubavu wa Adam?

Je, ni kweli Adam hakuwa mwanaume bali ni kiumbe kilichokamilika Chenye jinsia mbili kisha Mungu akaona ni vema kuzitenganisha?

Kwenu wajuvi wa mambo tusaidiane majibu tafadhali.
Ila shetani sometimes apewe maua yake. Ndo kiumbe wa kwanza kuvunja bikra ya kwanza. Adam lilikuwa lipolipo tu sijui alikuwa anaugua presha na kisukari.

Robert Heriel Mtibeli
 
Bora alivotumia nyama zetu
hii inamanisha sisi ndo wa kuwapa wanawake
Tuprovide pesa na mavazi na amri na maagizo


Ila bora hakutumia udongo labda angewanyima mahips na matarcle
 
Ni swali ambalo nimejiuliza sana kwa wajuvi na wenye Elimu basi mnisaidie majibu tafadhali.

Tukisoma maandiko tunaona kuwa Adam aliumbwa kwa mavumbi ya nchi ila ilipokuja kesi ya kuumbwa mwanamke HAWA/EVA mambo yakawa tofauti.

Mungu akampa Adam usingizi mzito kisha akatoa nyama ubavuni pa Adam kisha akamfanya mwanamke.

Kwaninj Mungu hakuchukua mavumbi kama alivyofanya mwanzo na kumuumba mwanamke?

Kulikuwa na nini cha ziada alichokifuata kwenye ubavu wa Adam?

Je, ni kweli Adam hakuwa mwanaume bali ni kiumbe kilichokamilika Chenye jinsia mbili kisha Mungu akaona ni vema kuzitenganisha?

Kwenu wajuvi wa mambo tusaidiane majibu tafadhali.
Swali lako linafikirisha kwa wenye interest ya uumbaji.

Kwa bahati mbaya au nzuri, mambo unayoyaulizia yapo kiroho zaidi, kama mjumbe mmoja alivyosema hapo juu.

Lakini mambo ya uumbaji tunaweza kuyaangalia au kufananisha na matukio yanayofanywa na binadamu hapa duniani.

Mungu aliumba kwa namna yake, lakini pia alimpa binadamu uwezo wa kuumba/kuunda vitu isipokuwa hakumpa uwezo wa kuweka pumzi na roho.

Mungu pia, alitumia neno katika uumbaji wake. Ukisoma Yahane 1 : 1, utaona: hapo mwanzo kulikuwa na neno, naye neno alikuwa kwa Mungu, naye neno alikuwa Mungu. Hapakuwa na kitu kilichofanyika pasipo huyo neno.

Sasa kujibu swali lako, kwamba kwa nini Mungu hakutumia udongo kumuumba Eva/Hawa. Ni kwamba, tayari Mungu alikwishafanya designation ya binadamu (Adam), na kwa hivyo, hakuhitaji kurudia kutumia tena udongo, kwani tayari kazi hiyo alikwishaifanya.

Kwahiyo, kilichofanyika ni kudurufu (replication) kazi ambayo ilikwishafanyika. Na kwakuwa tayari ilikuwa kwenye plan yake, hapo angesema neno tu kuwa apatikane mwanamke. Habari ya kuchukua ubavu wa Adam na kumfanya huyo mwanamke, ni kumfanya na yeye (mwanamke) kuwa bin-Adam.

Hata sisi binadamu, tunafanya designation moja tu ya kitu (au jambo), vitakavyofuatia ni kopi ya kile cha mwanzo. Aliyeanzisha formulae ya Coca-cola, baada ya kutengeneza coca-cola moja tu, na kuionja, na kugundua kumbe ni nzuri, zilizofuata zote mpaka leo hii ni kopi za ile ya kwanza! Hata katika viwanda vya magari, hali kadhalika.
 
Back
Top Bottom