Kwanini Mungu hakufinyanga mavumbi ya nchi kuumba mwanamke badala yake akachukua nyama toka kwa Adam?

Kwanini Mungu hakufinyanga mavumbi ya nchi kuumba mwanamke badala yake akachukua nyama toka kwa Adam?

Utakuta baba wa familia kabisa anakaa anaamini hizi hadithi!
 
Ni swali ambalo nimejiuliza sana kwa wajuvi na wenye Elimu basi mnisaidie majibu tafadhali.

Tukisoma maandiko tunaona kuwa Adam aliumbwa kwa mavumbi ya nchi ila ilipokuja kesi ya kuumbwa mwanamke HAWA/EVA mambo yakawa tofauti.

Mungu akampa Adam usingizi mzito kisha akatoa nyama ubavuni pa Adam kisha akamfanya mwanamke.

Kwaninj Mungu hakuchukua mavumbi kama alivyofanya mwanzo na kumuumba mwanamke?

Kulikuwa na nini cha ziada alichokifuata kwenye ubavu wa Adam?

Je, ni kweli Adam hakuwa mwanaume bali ni kiumbe kilichokamilika Chenye jinsia mbili kisha Mungu akaona ni vema kuzitenganisha?

Kwenu wajuvi wa mambo tusaidiane majibu tafadhali.
Swali ni gumu, tuendelee kutafiti. Kwa mahesabu ya uumbaji ktk Biblia uzao wa Adamu ni miaka 7,000 iliyopita hali kuwa leo kuna ugunduzi wa mafuvu yenye zaidi ya umri huo. Inawezekanaje haya?
 
Kama hiyo adithi ni kweli basi huyo Mungu (Israel) ndiye aliyeanzisha kunyanyapaa wanawake. Alishindwaje kuwaumba kwa wakati mmoja? Inatosha kutoa uamuzi kuwa dini ni kwa ajili ya wale wenye uwezo mdogo wa kufikiri. Inakuwaje unakubali hadithi kama hiyo?
 
Back
Top Bottom