Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema vyema, it was all good mpaka mzungu alipokuja na kusema mila zetu dawa, mavazi yetu ni ushenzi. Haikuwa shida kwa mababu zetu kabla ya mzungu na dini.Hili lilikua suala la kimila zaidi na kimaagano.
Ingawa kuna baadhi ya dini au jamii zinachukulia ni ustaarabu
Kitu kikiwa illusion inamaana hakipo? Ndoto sio illusion? Haipo? Haina impact katika maisha yasiyo ya illusion?Mungu huyo hawezi kunitokea kwa vile Hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Mnatetea kiumbe kisicho kuwepo.
Fiction God, imaginations just an illusion.
Naomba usiniharibu akili Binti wa Yesu😂😂😂😂Una akili sana Jo ila unajidharau.
Ni kweli na ndivyo agano la kale lilivyokuwa yaani agano la sheria, ndio maana 'wayahudi' walijiita watu wa 'tohara' .Lakini ilikuwa symbol ya Utakatifu pia kabla paulo hajaja kuitoa
Universe was not created.What created the universe that your enjoying today?
Habari Mkuu Proved Za Muda mrefu..Paulo alionyesha namna ndani ya agano jipya hatufungwi tena chini ya sheria za torati ya kale (ikiwemo tohara) na kwa kuthibitisha hilo hata Roho Mtakatifu aliwashukia nyumba ya Kornelio( wasio wa tohara).
Rabbon
Ktk Uzi huu, itoshe kusema,Ni kweli na ndivyo agano la kale lilivyokuwa yaani agano la sheria, ndio maana 'wayahudi' walijiita watu wa 'tohara' .
hata Kanisa la Mwanzo lilipitia mvutano huu kuhusu kuwakubali watu wasio wa tohara kuwa sehemu ya Kanisa.
Rejea kisa cha matendo ya mitume 11:2 pale Petro alipokwenda kwa Kornelio (asiye wa tohara) na wenzake kumnyooshea kidole, ila aliwaelezea kuhusu Yale maono na namna Roho Mtakatifu alivyowashukia wasio wa tohara.
Mtume Paulo kwenye waraka wake kwa Kanisa la Rumi (Warumi 2:25-29) alilieleza Kanisa la Rumi namna tohara ya kale ya mwilini ilivyo tofauti na ya agano jipya ambayo ni ya rohoni.
Warumi 2: 25
Kwa maana kutahiriwa kwafaa kama ukiwa mtendaji wa sheria, lakini ukiwa mvunjaji wa sheria kutahiriwa kwako kumekuwa kutokutahiriwa.
Warumi 2: 26
Basi ikiwa yeye asiyetahiriwa huyashika maagizo ya torati, je! Kutokutahiriwa kwake hakutahesabiwa kuwa kutahiriwa?
Warumi 2 :27
Na yeye asiyetahiriwa kwa asili, aishikaye torati, je! Hatakuhukumu wewe, uliye na kutahiriwa, ukaihalifu torati?
Warumi 2 :28
Maana yeye si Myahudi aliye Myahudi kwa nje tu, wala tohara siyo ile ya nje tu katika mwili;
Warumi 2 :29
bali yeye ni Myahudi aliye Myahudi kwa ndani, na tohara ni ya moyo, katika roho, si katika andiko; ambaye sifa yake haitoki kwa wanadamu bali kwa Mungu.
Paulo alionyesha namna ndani ya agano jipya hatufungwi tena chini ya sheria za torati ya kale (ikiwemo tohara) na kwa kuthibitisha hilo hata Roho Mtakatifu aliwashukia nyumba ya Kornelio( wasio wa tohara).
Rabbon
Kama Dunia hii ikisimama dakika mbili tu utaanza kujijambia 😀😀Universe was not created.
If everything must have a creator even the creator must be created.
It's not a must universe has been created.
Sasa hutaki argument fikirishi?Mi sitaki kusoma argument zako siku hizi maana Huwa zinanifikirisha sana
Unahakikishaje Mungu anajibu maswali?Ktk Uzi huu, itoshe kusema,
No comment!!
Kwa kuwa Mungu anajibu maswali, mtoa mada aingie katika maombi aulize atajibiwa!!
Kuna sehemu nyingine kutetea inakuwa ngumu,maana unakosa majibu unaanza kusema tu sio vizuri kuhoji....Sasa hutaki argument fikirishi?
Anyway, naheshimu uhuru wako wa kutotaka argument fikirishi.
Bora wewe umesema wazi. Kuna wengi hawataki kusoma argument, ila wanataka kubishana tu kwa kutetea timu yao.
Mimi humuuliza na ananijibu.Unahakikishaje Mungu anajibu maswali?
Hakuna wakati wowote ule dunia ilisimama, inasimama au itasimama.Kama Dunia hii ikisimama dakika mbili tu utaanza kujijambia 😀😀
Hata kama ni wewe, unawezaje kuuza soda ambayo haina kizibo (kisoda).Katika uumbaji wa Mwenyezi Mungu inawezekana kuna pahala alisahau au kosea wakati wa uumbaji.
Nawaza kwa upande wa mwanadamu/mwanaume hivi ni kwa nini hakuumbwa/zaliwa akiwa tayari ameshakwisha tahiriwa?
Inawezekana huenda Mungu alisahau au kosea au mnasemaje?
Kuna sehemu nyingine kutetea inakuwa ngumu,maana unakosa majibu unaanza kusema tu sio vizuri kuhoji....
Kuna mtu hapo juu kaelezea vile Zipora mke wa Musa ilimlazimu kumtahiri mwanae mdogo Kwa jiwe gumu,la sivyo angeuwawa,nimejisikia uchungu sana kama mzazi mwenye mtoto wa kiume....Ni kama alifanyiwa ukatili...ila sio vizuri kuhoji
Sijakuuliza kama wewe humuuliza na kama anakujibu.Mimi humuuliza na ananijibu.
Wewe ndo una shida pahala,Sijakuuliza kama wewe humuuliza na kama anakujibu.
Nimekuuliza unahakikishaje Mungu anakujibu?
Maana unaweza kuwa na matatizo ya akili tu ukajiona unamuuliza Mungu na Mungu anakujibu.
Kumbe hallucinatiins tupu.
Umejibu swali ambalo sijakuuliza, na swali nililokuuliza hujalijibu.
Unahakikishaje Mungu anakujibu?
Yani, unapofikiri Mungu anakujibu, unahakikishaje ni Mungu anakujibu na hakuna kingine chochote kinachotokea hapo?