Kwanini Mungu hana ratiba ya kuja kuongea na binadamu hapa duniani?

Kwanini Mungu hana ratiba ya kuja kuongea na binadamu hapa duniani?

Muccigang

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2022
Posts
1,313
Reaction score
1,918
Habarin guys,

Najiuliza ikiwa Rais ama viongozi wa duniani wanakuwa wana muda wa kupitia kero za wananchi na hata kuongea nao na kuangalia sheria ambazo zimepitwa na wakati ila Mungu hana huo muda kabisa.

Hii inadhihirisha binadamu ni werevu kuliko Mungu? Kama Mungu hana ratiba ya kuja hata baada ya miezi 6 au kila mwaka duniani anajuaje kero zetu?

Binadamu tumekuwa watu wa kubadilisha mambo, kufanya maboresho ya changamoto za hapa duniani ila Mungu hana muda kabisa yeye amekaa kwenye kiti cha enzi anasubiri kuja kutuchoma, hii ni wazi kuwa huyu jamaa hayupo kabisa. Mzazi unakosaje muda wa kuongea na watoto wako!
 
Kumtuma Yesu ulikuwa mkwara tu uliosukwa na Wale Wayahudi wenye akili kuliko wote duniani. Angalia imani ilivyotapakaa duniani hasa ulimwengu wa tatu. Mimi siamini hasa kwenye "ufufuko" ni fix iliyokubuhu. Uzi wako umekaa vizuri ndio maana "atheists" wanapinga uwepo wa Mungu. Aitembelee Dunia siku Moja ili watu waamini.
 
Inasemwa yeye anakufahamu hata kabla hujazaliwa, anafahamu kabla hujatenda na anafahamu mwisho wako. Nadhani inakua haina umuhimu tena kushuka kusikia.

Ila la kujiuliza kwa nini tunaendelea kupewa mahubiri, kulazimishwa kuwa ufanye mambo fulani ufikie ufalme wake. Ikiwa yeye anajua kuwa hata ushinde kwenye maombi wewe utakufa kwenye dhambi au umasikini.
 
Habarin guys,

Najiuliza ikiwa Rais ama viongozi wa duniani wanakuwa wanamuda wa kupitia kero za wananchi na hata kuongea nao na kuangalia sheria ambazo zimepitwa na wakati ila mungu hana huo muda kabisa.

Hii inadhihirisha binadamu ni werevu kuliko Mungu? Kama Mungu hana ratiba ya kuja hata baada ya miezi 6 au kila mwaka duniani anajuaje kero zetu?

Binadamu tumekuwa watu wa kubadilisha mambo kufanya maboresho ya changamoto za hapa duniani ila Mungu hana muda kabisa yeye amekaa kwenye kiti cha enzi anasubiri kuja kutuchoma hii ni wazi kuwa huyu jamaa hayupo kabisa mzazi unakosaje muda wa kuongea na watoto wako
kila wakati anapokuja huwa ankuta umevuta bangi au umelewa au uko bize unazini, ndiyo sababu hata akija huwa hujui kuwa amekuja. Washua tunakutana naye na tuko naye kila wakati na anatutatulia shida zetu.
 
Habarin guys,

Najiuliza ikiwa Rais ama viongozi wa duniani wanakuwa wanamuda wa kupitia kero za wananchi na hata kuongea nao na kuangalia sheria ambazo zimepitwa na wakati ila mungu hana huo muda kabisa.

Hii inadhihirisha binadamu ni werevu kuliko Mungu? Kama Mungu hana ratiba ya kuja hata baada ya miezi 6 au kila mwaka duniani anajuaje kero zetu?

Binadamu tumekuwa watu wa kubadilisha mambo kufanya maboresho ya changamoto za hapa duniani ila Mungu hana muda kabisa yeye amekaa kwenye kiti cha enzi anasubiri kuja kutuchoma hii ni wazi kuwa huyu jamaa hayupo kabisa mzazi unakosaje muda wa kuongea na watoto wako
Mbona kila siku Naongea naye!!
 
Wewe una ratiba ya kuongea na kuku wako?

Binadamu tunapenda kujipa umuhimu Sana.

Binadamu vile unavyoyachukulia magari, au vitu unavyovitengeneza na kumiliki ndivyo Mungu anavyokuchukulia.

Aongee nini na Mwanadamu,
Wachungaji na masheikhe ndio huwadanganya Watu na kuwapa binadamu umuhimu. Hali inayowafanya binadamu kuwa wabinafsi.

Imagine binadamu anakula wanyama wengine lakini yeye hataki kuliwa.
 
Mwanadamu hawezi kuwa mwerevu kuliko Mungu. Mwanadamu anazidiwa werevu na kiumbe cha kipumbavu mfano jini sembuse Mungu aliyemuumba wanadamu na majini pia.
 
Mungu anaongea na binadamu. That is what we are trying to tell you in all our postings. Au soma posting za Mshana. There is more to this than meets the eye.
 
kila wakati anapokuja huwa ankuta umevuta bangi au umelewa au uko bize unazini, ndiyo sababu hata akija huwa hujui kuwa amekuja. Washua tunakutana naye na tuko naye kila wakati na anatutatulia shida zetu.
Yaan wewe utakua utingo wa Air force one sio daladala.

Umenena mambo kuntu sana. Hata kama sio kukuta tunafanya madhambi basi tuwe na muda wa kutulia ili kusikia sauti yake wapi ni mara sokoni vijiweni barabarani gheto subwoofer unafungulia kama radi atafanyaje ili utulie uweponi mwake aseme na wewe?

Anajua ukivunjika guu lako utarejea tu zizini hana papara na mwanadamu.

Alisema kwenye kitabu cha mwanzo hatoshindana na mwandadamu kamwe.
 
Habarin guys,

Najiuliza ikiwa Rais ama viongozi wa duniani wanakuwa wanamuda wa kupitia kero za wananchi na hata kuongea nao na kuangalia sheria ambazo zimepitwa na wakati ila mungu hana huo muda kabisa.

Hii inadhihirisha binadamu ni werevu kuliko Mungu? Kama Mungu hana ratiba ya kuja hata baada ya miezi 6 au kila mwaka duniani anajuaje kero zetu?

Binadamu tumekuwa watu wa kubadilisha mambo kufanya maboresho ya changamoto za hapa duniani ila Mungu hana muda kabisa yeye amekaa kwenye kiti cha enzi anasubiri kuja kutuchoma hii ni wazi kuwa huyu jamaa hayupo kabisa mzazi unakosaje muda wa kuongea na watoto wako

[emoji23][emoji23][emoji23] ndugu sicheki kwa mazuri ila maisha yangu ya kuunga unga sina kazi wala ela inabidi nijichekee tu.. lazima shida zikikusonga sana vitu kama hivi unajiuliza maswali ambayo ungekuwa huna shida hujiulizi kwa sababu hayakupi changamoto
Me huwa nawaza hili MPENDE ADUI YAKO
hivi MUNGU ANAMPENDA SHETANI?
Maana tunaambiwa tupendane na upendo mzuri unaanzia mwanzo bila kuwa na kizuizi chochote
Ukimpenda mtu akakupenda hakutakuwa na adui. Hapo tunapoambiwa USIPOKUWA NA UPENDO WEWE SIO KITU KABISA.
vipi kuhusu hilo MUNGU ANAMPENDA SHETANI.
Haya maswali ukiwa huna ngori za maisha huwezi jiuliza kabisa
 
Back
Top Bottom