Kwanini Mungu hana ratiba ya kuja kuongea na binadamu hapa duniani?

Kwanini Mungu hana ratiba ya kuja kuongea na binadamu hapa duniani?

Mbona wenzako wanaongea nae kila siku.na ukimfata kwako kwa kwa kutembea yeye atakuja kwa kukukimbilia. Acha bangi focus nae utampata. Kama unataka umhis huo uwezo wenzako pia watu wa Musa ( amani iwe juu yake) walijaribu
Wakaomba wanaomba wamuone, wakaambiwa watulie waone mlima ule na ile nuru tu ya utukufu wake ilipojionesha mlima wote ukasagika.
Focus utampata

Nipe mfano wa saut yake
 
Kwanini Yesu alitumwa duniani kwa njia ya binadamu
Na kwanini Shetani alitupwa duniani kwa njia ya haonekani
Maana shetani angekuwa mtu Tukamuuwa pia ingekuwa kitu kizuri

Sana aisee
 
Huenda mfumo wake wa existance/uwepo hauruhusu kuonana na mwanadamu. Mfano kuna yale madude yanatengeneza barabara ila ikikamilika hayawezi kupita sababu yataiharibu.

Nafsi yenye nguvu ya uumbaji mpaka wa jua na nyota ukikutana nayo kwa mwili huu na nyama utaweza kuhimili mionzi yake kweli?

Ww hapo unahisi yeye n muweza wa yote angetengeneza mfumo wa rahs wa watu kumuona au kumskia
 
Binadamu yeyote ni mbinafsi kwa asili ndio sababu ya haya yote.
Duniani hakuna upendo ndio maana Ngori haziishi ndugu
Upendo unakuta mtu anao yeye na familia yake ndio maana anajifungia ndan na awapendao
Nchi znajiwekea mipaka No love
Kila mtu anataka kuwa juu ya mwenzake no love
Kujilimbikia
Hiz zote mashida yanatokana na kutokuwa na Upendo
 
Habarin guys,

Najiuliza ikiwa Rais ama viongozi wa duniani wanakuwa wana muda wa kupitia kero za wananchi na hata kuongea nao na kuangalia sheria ambazo zimepitwa na wakati ila Mungu hana huo muda kabisa.

Hii inadhihirisha binadamu ni werevu kuliko Mungu? Kama Mungu hana ratiba ya kuja hata baada ya miezi 6 au kila mwaka duniani anajuaje kero zetu?

Binadamu tumekuwa watu wa kubadilisha mambo, kufanya maboresho ya changamoto za hapa duniani ila Mungu hana muda kabisa yeye amekaa kwenye kiti cha enzi anasubiri kuja kutuchoma, hii ni wazi kuwa huyu jamaa hayupo kabisa. Mzazi unakosaje muda wa kuongea na watoto wako!
Mungu anaongea kila siku na kila wakati tatizo ni kujua na kuielewa lugha yake. Tunaoijua tunafaidi mda wote
 
Habarin guys,

Najiuliza ikiwa Rais ama viongozi wa duniani wanakuwa wana muda wa kupitia kero za wananchi na hata kuongea nao na kuangalia sheria ambazo zimepitwa na wakati ila Mungu hana huo muda kabisa.

Hii inadhihirisha binadamu ni werevu kuliko Mungu? Kama Mungu hana ratiba ya kuja hata baada ya miezi 6 au kila mwaka duniani anajuaje kero zetu?

Binadamu tumekuwa watu wa kubadilisha mambo, kufanya maboresho ya changamoto za hapa duniani ila Mungu hana muda kabisa yeye amekaa kwenye kiti cha enzi anasubiri kuja kutuchoma, hii ni wazi kuwa huyu jamaa hayupo kabisa. Mzazi unakosaje muda wa kuongea na watoto wako!
Aliongea na Adamu, alivoondoka kidogo tu wakala tunda, aliongea na Kaini ,angalia dogo alichomjibu:
Mwanzo 4:9 Bwana akamwambia Kaini, Yuko wapi Habili ndugu yako? Akasema, Sijui, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?
10 Akasema, Umefanya nini? Sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika ardhi.
11 Basi sasa, umelaaniwa wewe katika ardhi, iliyofumbua kinywa chake ipokee damu ya ndugu yako kwa mkono wako;
12 utakapoilima ardhi haitakupa mazao yake; utakuwa mtoro na mtu asiye na kikao duniani.
13 Kaini akamwambia Bwana, Adhabu yangu imenikulia kubwa, haichukuliki.
14 Tazama, umenifukuza leo katika uso wa ardhi, nitasitirika mbali na uso wako, nami nitakuwa mtoro na mtu asiye na kikao duniani; hata itakuwa kila anionaye ataniua.
 
Inasemwa yeye anakufahamu hata kabla hujazaliwa, anafahamu kabla hujatenda na anafahamu mwisho wako. Nadhani inakua haina umuhimu tena kushuka kusikia.

Ila la kujiuliza kwa nini tunaendelea kupewa mahubiri, kulazimishwa kuwa ufanye mambo fulani ufikie ufalme wake. Ikiwa yeye anajua kuwa hata ushinde kwenye maombi wewe utakufa kwenye dhambi au umasikini.
Kwa hiyo anajua kabisa huyu atakufa kwa mv bukoba au precision air
 
Habarin guys,

Najiuliza ikiwa Rais ama viongozi wa duniani wanakuwa wana muda wa kupitia kero za wananchi na hata kuongea nao na kuangalia sheria ambazo zimepitwa na wakati ila Mungu hana huo muda kabisa.

Hii inadhihirisha binadamu ni werevu kuliko Mungu? Kama Mungu hana ratiba ya kuja hata baada ya miezi 6 au kila mwaka duniani anajuaje kero zetu?

Binadamu tumekuwa watu wa kubadilisha mambo, kufanya maboresho ya changamoto za hapa duniani ila Mungu hana muda kabisa yeye amekaa kwenye kiti cha enzi anasubiri kuja kutuchoma, hii ni wazi kuwa huyu jamaa hayupo kabisa. Mzazi unakosaje muda wa kuongea na watoto wako!
Jibu la swali lako ni kwamba hakuna Mungu?
 
Habarin guys,

Najiuliza ikiwa Rais ama viongozi wa duniani wanakuwa wana muda wa kupitia kero za wananchi na hata kuongea nao na kuangalia sheria ambazo zimepitwa na wakati ila Mungu hana huo muda kabisa.

Hii inadhihirisha binadamu ni werevu kuliko Mungu? Kama Mungu hana ratiba ya kuja hata baada ya miezi 6 au kila mwaka duniani anajuaje kero zetu?

Binadamu tumekuwa watu wa kubadilisha mambo, kufanya maboresho ya changamoto za hapa duniani ila Mungu hana muda kabisa yeye amekaa kwenye kiti cha enzi anasubiri kuja kutuchoma, hii ni wazi kuwa huyu jamaa hayupo kabisa. Mzazi unakosaje muda wa kuongea na watoto wako!
Mungu ni roho sio mwili
 
Mungu ndio pumzi ya uzima tuko naye 24/7 na ndiye kiongozi wetu kwenye kila kitu na kila jambo
 
Back
Top Bottom