Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Hakumuona Mungu alimwona wa mchongooGeodevi mbona aliongea nae au haujaona ile clip yupo na Millard Ayo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakumuona Mungu alimwona wa mchongooGeodevi mbona aliongea nae au haujaona ile clip yupo na Millard Ayo?
Alipojaribu kwa kumtuma Bwana Yesu mlimuua
Kutoka 33 : 20 Kisha akasema, Huwezi kuniona uso wangu, maana mwanadamu hataniona akaishi.
Kitabu cha ayubu wana wa Mungu walipojihudhurisha mbele zake na shetani nae alikuwa katikati yao. Akamuuliza umetoka wapi? Akasema kuzungukazunguka huko duniani. Ndio wakaanza kumdiscuss ayubu kisha akaanza kujaribiwa.[emoji23][emoji23][emoji23] ndugu sicheki kwa mazuri ila maisha yangu ya kuunga unga sina kazi wala ela inabidi nijichekee tu.. lazima shida zikikusonga sana vitu kama hivi unajiuliza maswali ambayo ungekuwa huna shida hujiulizi kwa sababu hayakupi changamoto
Me huwa nawaza hili MPENDE ADUI YAKO
hivi MUNGU ANAMPENDA SHETANI?
Maana tunaambiwa tupendane na upendo mzuri unaanzia mwanzo bila kuwa na kizuizi chochote
Ukimpenda mtu akakupenda hakutakuwa na adui. Hapo tunapoambiwa USIPOKUWA NA UPENDO WEWE SIO KITU KABISA.
vipi kuhusu hilo MUNGU ANAMPENDA SHETANI.
Haya maswali ukiwa huna ngori za maisha huwezi jiuliza kabisa
Wewe una ratiba ya kuongea na kuku wako?
Anajificha? Kwanini atafutwe wakati alisema yeye ni wa viumbe vyote?We ndie umsikii labda lakini KILA siku uongea na watu. Mtafuteni Bwana KWA maana anapatikana, na fadhili zake ni za milele.
Unajua wakati mwingine tuache kujipa umwamba wakati tuna udhaifu mkubwa. Bora kuchallange dini ila MUNGU ni kuachana naye tu. Sasa kama yupo, na ndiye aliyeumba jua, hilo jua tu kulitazama likiwa kali huwezi, sasa utamtazama vipi aliyeliumba? Au ndo mambo ya kutikiasa mbuyu MAKALIO YACHEZE?Anajificha? Kwanini atafutwe wakati alisema yeye ni wa viumbe vyote?
Ukimwona MUNGU utakufa,,,,,,,,MUNGU yupo jamaa!!Habarin guys,
Najiuliza ikiwa Rais ama viongozi wa duniani wanakuwa wanamuda wa kupitia kero za wananchi na hata kuongea nao na kuangalia sheria ambazo zimepitwa na wakati ila mungu hana huo muda kabisa.
Hii inadhihirisha binadamu ni werevu kuliko Mungu? Kama Mungu hana ratiba ya kuja hata baada ya miezi 6 au kila mwaka duniani anajuaje kero zetu?
Binadamu tumekuwa watu wa kubadilisha mambo kufanya maboresho ya changamoto za hapa duniani ila Mungu hana muda kabisa yeye amekaa kwenye kiti cha enzi anasubiri kuja kutuchoma hii ni wazi kuwa huyu jamaa hayupo kabisa mzazi unakosaje muda wa kuongea na watoto wako
Mungu amejihifadhi katika dhamiri za watu. Ukitaka kuongea naye huisha dhamiri yako na jitakase, tubu madhambi yakoHabarin guys,
Najiuliza ikiwa Rais ama viongozi wa duniani wanakuwa wanamuda wa kupitia kero za wananchi na hata kuongea nao na kuangalia sheria ambazo zimepitwa na wakati ila mungu hana huo muda kabisa.
Hii inadhihirisha binadamu ni werevu kuliko Mungu? Kama Mungu hana ratiba ya kuja hata baada ya miezi 6 au kila mwaka duniani anajuaje kero zetu?
Binadamu tumekuwa watu wa kubadilisha mambo kufanya maboresho ya changamoto za hapa duniani ila Mungu hana muda kabisa yeye amekaa kwenye kiti cha enzi anasubiri kuja kutuchoma hii ni wazi kuwa huyu jamaa hayupo kabisa mzazi unakosaje muda wa kuongea na watoto wako
Ukimuona huwezi ishiAnajificha? Kwanini atafutwe wakati alisema yeye ni wa viumbe vyote?
Mama upo deep. Natumai kakuelewaAlipojaribu kwa kumtuma Bwana Yesu mlimuua
Kutoka 33 : 20 Kisha akasema, Huwezi kuniona uso wangu, maana mwanadamu hataniona akaishi.
Pinga pinga ni kipaji sawa na upumbavu, niamini mimi hata akija tena kama alivyokuja katika mwili (Yesu) bado tu mtamkataa kuwa si yeye Mungu Muumba mbingu na nchi.Kumtuma Yesu ulikuwa mkwara tu uliosukwa na Wale Wayahudi wenye akili kuliko wote duniani. Angalia imani ilvyotapakaa duniani hasa ulimwengu wa tatu. Mimi siamini hasa kwenye "ufufuko" ni fix iliyokubuhu. Uzi wako umekaa vizuri ndio maana "atheists" wanapinga uwepo wa Mungu. Aitembelee Dunia siku Moja ili watu waamini.
Binadamu hataki kuliwa nakati kila kukicha ardhi inawala na kubakia mifupa tupu kupitia kifo?Binadamu tunapenda kujipa umuhimu Sana.
Binadamu vile unavyoyachukulia magari, au vitu unavyovitengeneza na kumiliki ndivyo Mungu anavyokuchukulia.
Aongee nini na Mwanadamu,
Wachungaji na masheikhe ndio huwadanganya Watu na kuwapa binadamu umuhimu. Hali inayowafanya binadamu kuwa wabinafsi.
Imagine binadamu anakula wanyama wengine lakini yeye hataki kuliwa.
Fungua uzi mwingine tukueleimishe mbinguni ni wapi, usitutoe kwenye reli kuu ya Mleta mada.Mbinguni ni wapi Mkuu?
Ukimuona huwezi ishi
ukimwona MUNGU utakufa,,,,,,,,MUNGU yupo jamaa!!
[emoji38]Unajua wakati mwingine tuache kujipa umwamba wakati tuna udhaifu mkubwa. Bora kuchallange dini ila MUNGU ni kuachana naye tu. Sasa kama yupo, na ndiye aliyeumba jua, hilo jua tu kulitazama likiwa kali huwezi, sasa utamtazama vipi aliyeliumba? Au ndo mambo ya kutikiasa mbuyu MAKALIO YACHEZE?