Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni pale unapomchukulia Mungu kwa kutumia akili za ki mtu.Habarin guys,
Najiuliza ikiwa Rais ama viongozi wa duniani wanakuwa wana muda wa kupitia kero za wananchi na hata kuongea nao na kuangalia sheria ambazo zimepitwa na wakati ila Mungu hana huo muda kabisa.
Hii inadhihirisha binadamu ni werevu kuliko Mungu? Kama Mungu hana ratiba ya kuja hata baada ya miezi 6 au kila mwaka duniani anajuaje kero zetu?
Binadamu tumekuwa watu wa kubadilisha mambo, kufanya maboresho ya changamoto za hapa duniani ila Mungu hana muda kabisa yeye amekaa kwenye kiti cha enzi anasubiri kuja kutuchoma, hii ni wazi kuwa huyu jamaa hayupo kabisa. Mzazi unakosaje muda wa kuongea na watoto wako!
Hili swali nimecheka Sana.Wewe una ratiba ya kuongea na kuku wako?
Tumpende shetan
Anataka uwe na chaguo yaani until na kumchagua yeye..ndio maana alimwambia Cain ajihadhari ili asifanye dhambi..Inasemwa yeye anakufahamu hata kabla hujazaliwa, anafahamu kabla hujatenda na anafahamu mwisho wako. Nadhani inakua haina umuhimu tena kushuka kusikia.
Ila la kujiuliza kwa nini tunaendelea kupewa mahubiri, kulazimishwa kuwa ufanye mambo fulani ufikie ufalme wake. Ikiwa yeye anajua kuwa hata ushinde kwenye maombi wewe utakufa kwenye dhambi au umasikini.
Anataka uwe na chaguo yaani until na kumchagua yeye..ndio maana alimwambia Cain ajihadhari ili asifanye dhambi..
Chaguo lipi?. Ikiwa yeye anajua teyari utachagua upande upi
nenda kwanza kaongee na rasi samia kwanzaAlipojaribu kwa kumtuma Bwana Yesu mlimuua
Kutoka 33 : 20 Kisha akasema, Huwezi kuniona uso wangu, maana mwanadamu hataniona akaishi.
we blacks = gods and goddesses?Tatizo ni pale unapomchukulia Mungu kwa kutumia akili za ki mtu.
God ni kitu kipana sana. Kama upo tayari kujifunza ninakupa summary fupi tu.
GOD = ENERGY
Kama utashindwa kuelewa nitatoa ufafanuzi zaidi.
Wewe una ratiba ya kuongea na kuku wako?