Kwanini Mungu hana ratiba ya kuja kuongea na binadamu hapa duniani?

Mbona wenzako wanaongea nae kila siku.na ukimfata kwako kwa kwa kutembea yeye atakuja kwa kukukimbilia. Acha bangi focus nae utampata. Kama unataka umhis huo uwezo wenzako pia watu wa Musa ( amani iwe juu yake) walijaribu
Wakaomba wanaomba wamuone, wakaambiwa watulie waone mlima ule na ile nuru tu ya utukufu wake ilipojionesha mlima wote ukasagika.
Focus utampata
 
Kitabu cha ayubu wana wa Mungu walipojihudhurisha mbele zake na shetani nae alikuwa katikati yao. Akamuuliza umetoka wapi? Akasema kuzungukazunguka huko duniani. Ndio wakaanza kumdiscuss ayubu kisha akaanza kujaribiwa.

Je angekuwa hana Upendo usio Bagua au kupimika angeanzia wapi kuongea na muasi. Mwaribifu mwovu..? Msaliti na mkufuru??
 
Huenda mfumo wake wa existance/uwepo hauruhusu kuonana na mwanadamu. Mfano kuna yale madude yanatengeneza barabara ila ikikamilika hayawezi kupita sababu yataiharibu.

Nafsi yenye nguvu ya uumbaji mpaka wa jua na nyota ukikutana nayo kwa mwili huu na nyama utaweza kuhimili mionzi yake kweli?
 
Anajificha? Kwanini atafutwe wakati alisema yeye ni wa viumbe vyote?
Unajua wakati mwingine tuache kujipa umwamba wakati tuna udhaifu mkubwa. Bora kuchallange dini ila MUNGU ni kuachana naye tu. Sasa kama yupo, na ndiye aliyeumba jua, hilo jua tu kulitazama likiwa kali huwezi, sasa utamtazama vipi aliyeliumba? Au ndo mambo ya kutikiasa mbuyu MAKALIO YACHEZE?
 
Haha ili kupata jibu la swali lako, inabidi ujiulize unajuaje kama hata huyo Mungu yupo kweli.
 
Ukimwona MUNGU utakufa,,,,,,,,MUNGU yupo jamaa!!
 
Mungu amejihifadhi katika dhamiri za watu. Ukitaka kuongea naye huisha dhamiri yako na jitakase, tubu madhambi yako
 
Pinga pinga ni kipaji sawa na upumbavu, niamini mimi hata akija tena kama alivyokuja katika mwili (Yesu) bado tu mtamkataa kuwa si yeye Mungu Muumba mbingu na nchi.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Binadamu hataki kuliwa nakati kila kukicha ardhi inawala na kubakia mifupa tupu kupitia kifo?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
[emoji38]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…