Kitabu cha ayubu wana wa Mungu walipojihudhurisha mbele zake na shetani nae alikuwa katikati yao. Akamuuliza umetoka wapi? Akasema kuzungukazunguka huko duniani. Ndio wakaanza kumdiscuss ayubu kisha akaanza kujaribiwa.
Je angekuwa hana Upendo usio Bagua au kupimika angeanzia wapi kuongea na muasi. Mwaribifu mwovu..? Msaliti na mkufuru??
Habarin guys,
Najiuliza ikiwa Rais ama viongozi wa duniani wanakuwa wana muda wa kupitia kero za wananchi na hata kuongea nao na kuangalia sheria ambazo zimepitwa na wakati ila Mungu hana huo muda kabisa.
Hii inadhihirisha binadamu ni werevu kuliko Mungu? Kama Mungu hana ratiba ya kuja hata baada ya miezi 6 au kila mwaka duniani anajuaje kero zetu?
Binadamu tumekuwa watu wa kubadilisha mambo, kufanya maboresho ya changamoto za hapa duniani ila Mungu hana muda kabisa yeye amekaa kwenye kiti cha enzi anasubiri kuja kutuchoma, hii ni wazi kuwa huyu jamaa hayupo kabisa. Mzazi unakosaje muda wa kuongea na watoto wako!
Mimi nachujua
Hapo mwanzo kulikuwako neno
Naye neno alikuwako kwa Mungu
Naye NENO ALIKUWA MUNGU na vyote vilifanyika kwa HUYO
Fungua akili yako kuielewa hii
Kwanza ukisema Mungu ampende na amsamehe shetani umeenda mbali. Wanadamu wengi wana ushetani kiasi fulani tofaut tofaut je kwanini kama hatupendi si angeshatuua?Tumeambiwa tupende adui zetu kumpenda adui kuna maana gani ya kuwa tena adui ukishampenda adui si anakuwa rafiki
Kwanza ukisema Mungu ampende na amsamehe shetani umeenda mbali. Wanadamu wengi wana ushetani kiasi fulani tofaut tofaut je kwanini kama hatupendi si angeshatuua?
Ninachojua Mungu hakuwahi kuweka kanuni ama sheria alaf yeye akawa juu yake. Yeye ndiye wakwanza kuitimiza.
Nani kati yetu anaweza kuona mwanae anaongea na kumsikiliza na mbaya wake kuliko yeye babake akamwacha asimwadhibu vikali? Akiamini ipo siku atajitambua na kufahamu. Hata anapokuua bado anakusikitikia lakini hana la kifanya maana kanuni na yeye zinamzuia.
Mkuu,kwahiyo Yesu alitumwa na Mungu?Alipojaribu kwa kumtuma Bwana Yesu mlimuua
Kutoka 33 : 20 Kisha akasema, Huwezi kuniona uso wangu, maana mwanadamu hataniona akaishi.
Ahsante sana kwa thread yako fikirishi.Habarin guys,
Najiuliza ikiwa Rais ama viongozi wa duniani wanakuwa wana muda wa kupitia kero za wananchi na hata kuongea nao na kuangalia sheria ambazo zimepitwa na wakati ila Mungu hana huo muda kabisa.
Hii inadhihirisha binadamu ni werevu kuliko Mungu? Kama Mungu hana ratiba ya kuja hata baada ya miezi 6 au kila mwaka duniani anajuaje kero zetu?
Binadamu tumekuwa watu wa kubadilisha mambo, kufanya maboresho ya changamoto za hapa duniani ila Mungu hana muda kabisa yeye amekaa kwenye kiti cha enzi anasubiri kuja kutuchoma, hii ni wazi kuwa huyu jamaa hayupo kabisa. Mzazi unakosaje muda wa kuongea na watoto wako!
Elewa hivi: Mungu kwa ukamilifu wake, hufanya mambo kwa namna ambazo sisi binadamu hatuelewi vizuri na ndio maana wengi huishia kutomwelewa na kumlaumu. Mungu ana ratiba nzuri ajabu ya kuwasiliana na watu. Ratiba yake haifungwi na muda kama vile binadamu; yeye huwatembelea watu na yupo available kwa yeyote wakati wowote. Unahitaji kufungua moyo na akili yako kuona hilo. Mimi huzungumza naye wakati wowote nipendapo na hakuna booking.Habarin guys,
Najiuliza ikiwa Rais ama viongozi wa duniani wanakuwa wana muda wa kupitia kero za wananchi na hata kuongea nao na kuangalia sheria ambazo zimepitwa na wakati ila Mungu hana huo muda kabisa.
Hii inadhihirisha binadamu ni werevu kuliko Mungu? Kama Mungu hana ratiba ya kuja hata baada ya miezi 6 au kila mwaka duniani anajuaje kero zetu?
Binadamu tumekuwa watu wa kubadilisha mambo, kufanya maboresho ya changamoto za hapa duniani ila Mungu hana muda kabisa yeye amekaa kwenye kiti cha enzi anasubiri kuja kutuchoma, hii ni wazi kuwa huyu jamaa hayupo kabisa. Mzazi unakosaje muda wa kuongea na watoto wako!
Inasemwa yeye anakufahamu hata kabla hujazaliwa, anafahamu kabla hujatenda na anafahamu mwisho wako. Nadhani inakua haina umuhimu tena kushuka kusikia.
Ila la kujiuliza kwa nini tunaendelea kupewa mahubiri, kulazimishwa kuwa ufanye mambo fulani ufikie ufalme wake. Ikiwa yeye anajua kuwa hata ushinde kwenye maombi wewe utakufa kwenye dhambi au umasikini.
kila wakati anapokuja huwa ankuta umevuta bangi au umelewa au uko bize unazini, ndiyo sababu hata akija huwa hujui kuwa amekuja. Washua tunakutana naye na tuko naye kila wakati na anatutatulia shida zetu.
Binadamu hamna dogo anaogopa mnaweza kumroga bure!Habarin guys,
Najiuliza ikiwa Rais ama viongozi wa duniani wanakuwa wana muda wa kupitia kero za wananchi na hata kuongea nao na kuangalia sheria ambazo zimepitwa na wakati ila Mungu hana huo muda kabisa.
Hii inadhihirisha binadamu ni werevu kuliko Mungu? Kama Mungu hana ratiba ya kuja hata baada ya miezi 6 au kila mwaka duniani anajuaje kero zetu?
Binadamu tumekuwa watu wa kubadilisha mambo, kufanya maboresho ya changamoto za hapa duniani ila Mungu hana muda kabisa yeye amekaa kwenye kiti cha enzi anasubiri kuja kutuchoma, hii ni wazi kuwa huyu jamaa hayupo kabisa. Mzazi unakosaje muda wa kuongea na watoto wako!
endelea na uzinzi wako tu kijana. huna haja ya kutaka kujua niliongea nini na Mungu. Ni suala binafsiTupe video ushahd au saut mkiongea
Kwanini ufe Sasa [emoji848],,hizi dini zinawa brainwash Sanaukimwona MUNGU utakufa,,,,,,,,MUNGU yupo jamaa!!
[emoji23][emoji23][emoji23] ndugu sicheki kwa mazuri ila maisha yangu ya kuunga unga sina kazi wala ela inabidi nijichekee tu.. lazima shida zikikusonga sana vitu kama hivi unajiuliza maswali ambayo ungekuwa huna shida hujiulizi kwa sababu hayakupi changamoto
Me huwa nawaza hili MPENDE ADUI YAKO
hivi MUNGU ANAMPENDA SHETANI?
Maana tunaambiwa tupendane na upendo mzuri unaanzia mwanzo bila kuwa na kizuizi chochote
Ukimpenda mtu akakupenda hakutakuwa na adui. Hapo tunapoambiwa USIPOKUWA NA UPENDO WEWE SIO KITU KABISA.
vipi kuhusu hilo MUNGU ANAMPENDA SHETANI.
Haya maswali ukiwa huna ngori za maisha huwezi jiuliza kabisa