Mbona wenzako wanaongea nae kila siku.na ukimfata kwako kwa kwa kutembea yeye atakuja kwa kukukimbilia. Acha bangi focus nae utampata. Kama unataka umhis huo uwezo wenzako pia watu wa Musa ( amani iwe juu yake) walijaribu
Wakaomba wanaomba wamuone, wakaambiwa watulie waone mlima ule na ile nuru tu ya utukufu wake ilipojionesha mlima wote ukasagika.
Focus utampata
Huenda mfumo wake wa existance/uwepo hauruhusu kuonana na mwanadamu. Mfano kuna yale madude yanatengeneza barabara ila ikikamilika hayawezi kupita sababu yataiharibu.
Nafsi yenye nguvu ya uumbaji mpaka wa jua na nyota ukikutana nayo kwa mwili huu na nyama utaweza kuhimili mionzi yake kweli?
Duniani hakuna upendo ndio maana Ngori haziishi ndugu
Upendo unakuta mtu anao yeye na familia yake ndio maana anajifungia ndan na awapendao
Nchi znajiwekea mipaka No love
Kila mtu anataka kuwa juu ya mwenzake no love
Kujilimbikia
Hiz zote mashida yanatokana na kutokuwa na Upendo
Mungu anaongea kila siku na kila wakati tatizo ni kujua na kuielewa lugha yake. Tunaoijua tunafaidi mda woteHabarin guys,
Najiuliza ikiwa Rais ama viongozi wa duniani wanakuwa wana muda wa kupitia kero za wananchi na hata kuongea nao na kuangalia sheria ambazo zimepitwa na wakati ila Mungu hana huo muda kabisa.
Hii inadhihirisha binadamu ni werevu kuliko Mungu? Kama Mungu hana ratiba ya kuja hata baada ya miezi 6 au kila mwaka duniani anajuaje kero zetu?
Binadamu tumekuwa watu wa kubadilisha mambo, kufanya maboresho ya changamoto za hapa duniani ila Mungu hana muda kabisa yeye amekaa kwenye kiti cha enzi anasubiri kuja kutuchoma, hii ni wazi kuwa huyu jamaa hayupo kabisa. Mzazi unakosaje muda wa kuongea na watoto wako!
Aliongea na Adamu, alivoondoka kidogo tu wakala tunda, aliongea na Kaini ,angalia dogo alichomjibu:Habarin guys,
Najiuliza ikiwa Rais ama viongozi wa duniani wanakuwa wana muda wa kupitia kero za wananchi na hata kuongea nao na kuangalia sheria ambazo zimepitwa na wakati ila Mungu hana huo muda kabisa.
Hii inadhihirisha binadamu ni werevu kuliko Mungu? Kama Mungu hana ratiba ya kuja hata baada ya miezi 6 au kila mwaka duniani anajuaje kero zetu?
Binadamu tumekuwa watu wa kubadilisha mambo, kufanya maboresho ya changamoto za hapa duniani ila Mungu hana muda kabisa yeye amekaa kwenye kiti cha enzi anasubiri kuja kutuchoma, hii ni wazi kuwa huyu jamaa hayupo kabisa. Mzazi unakosaje muda wa kuongea na watoto wako!
Ahahah watu wadini ndo wanasema yupo
Kwa hiyo anajua kabisa huyu atakufa kwa mv bukoba au precision airInasemwa yeye anakufahamu hata kabla hujazaliwa, anafahamu kabla hujatenda na anafahamu mwisho wako. Nadhani inakua haina umuhimu tena kushuka kusikia.
Ila la kujiuliza kwa nini tunaendelea kupewa mahubiri, kulazimishwa kuwa ufanye mambo fulani ufikie ufalme wake. Ikiwa yeye anajua kuwa hata ushinde kwenye maombi wewe utakufa kwenye dhambi au umasikini.
Du!Wewe una ratiba ya kuongea na kuku wako?
Jibu la swali lako ni kwamba hakuna Mungu?Habarin guys,
Najiuliza ikiwa Rais ama viongozi wa duniani wanakuwa wana muda wa kupitia kero za wananchi na hata kuongea nao na kuangalia sheria ambazo zimepitwa na wakati ila Mungu hana huo muda kabisa.
Hii inadhihirisha binadamu ni werevu kuliko Mungu? Kama Mungu hana ratiba ya kuja hata baada ya miezi 6 au kila mwaka duniani anajuaje kero zetu?
Binadamu tumekuwa watu wa kubadilisha mambo, kufanya maboresho ya changamoto za hapa duniani ila Mungu hana muda kabisa yeye amekaa kwenye kiti cha enzi anasubiri kuja kutuchoma, hii ni wazi kuwa huyu jamaa hayupo kabisa. Mzazi unakosaje muda wa kuongea na watoto wako!
Mungu ni roho sio mwiliHabarin guys,
Najiuliza ikiwa Rais ama viongozi wa duniani wanakuwa wana muda wa kupitia kero za wananchi na hata kuongea nao na kuangalia sheria ambazo zimepitwa na wakati ila Mungu hana huo muda kabisa.
Hii inadhihirisha binadamu ni werevu kuliko Mungu? Kama Mungu hana ratiba ya kuja hata baada ya miezi 6 au kila mwaka duniani anajuaje kero zetu?
Binadamu tumekuwa watu wa kubadilisha mambo, kufanya maboresho ya changamoto za hapa duniani ila Mungu hana muda kabisa yeye amekaa kwenye kiti cha enzi anasubiri kuja kutuchoma, hii ni wazi kuwa huyu jamaa hayupo kabisa. Mzazi unakosaje muda wa kuongea na watoto wako!
Pinga pinga ni kipaji sawa na upumbavu, niamini mimi hata akija tena kama alivyokuja katika mwili (Yesu) bado tu mtamkataa kuwa si yeye Mungu Muumba mbingu na nchi.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Fungua uzi mwingine tukueleimishe mbinguni ni wapi, usitutoe kwenye reli kuu ya Mleta mada.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo anajua kabisa huyu atakufa kwa mv bukoba au precision air