Kwanini Mungu na Shetani wasimalize tofauti zao?

Kama huamini universe imetokea kwa Chance ina maana kuna Designer na kama kuna Designer mtaje ama Explain zaidi.
Did I say that ?!!!

Nimekwambia hata ukichukua test tube ukazitoa kila kitu ndani (kwa macho yako ukadhani umecreate nothing) ukaseal hizo test-tube na kuzipeleka sehemu tofauti usishangae baada ya muda kwa vifaa vyako ambavyo mwanzo hukuweza kuona kitu ukakuta life form humo ndani and that will have nothing to do with a designer its just chance and happenstances...
 
Chochote anacho kifanya Mungu ni chema. Ingawa kwa macho yetu ya nyama tunaweza kulaumu hapa na pale.
Mwanadamu ndiyo kiumbe pekee aliye pendwa sana na Mungu hadi akamuumba kwa mfano wake na kumpatika kila hitaji lake.
Nina uhakika tungejua kuonge kama kina simba, au Virus au Bacteria na wenyewe kama wana Bible yao wangesema haya haya kwamba Mungu katupenda sasa sisi bacteria hadi katupa uweze wa ku-regenerate kwa kasi sana...

Au kipindi kile hivi vitabu vinaletwa wanawake ndio wangekuwa na nguvu wala ubavu uliotumika kumtengeneza Eva usingekuwa wa Adam bali vice versa...

Ukiangalia kwa jicho la tatu throughout generations Imani imekuwa ikitumika kama justification wa baadhi ya kufanya mambo yanayowanufaisha... Mfano kuheshimu mamlaka, Taifa Teule n.k.
 
Nice explanation according to your faith...

Kwahio kwa imani yako huko kwenye mamlaka ya Shetani huo moto atakuwa anatoa Mungu au Shetani ndio atakuwa anatoa kibano kwa wadau wengine..., yaani ile pain itakuwa sawa kwa wote au itakuwa everyman / woman for himself / herself au mkikutana wadau mliokuwa mnafanya ujambazi wote huku kitaa mtaendeleza crew yenu ?

Pili huko Peponi kutakuwa na nini ? Ni nini kitafanyika sababu kama kila kitu kipo na hakuna cha kufanya kuna tofauti gani na ma-pre-programmed robots ?
 
Malaika sio mashetani...ushetani ni sifa ya kiumbe muasi kwa Mungu.

Malaika wao wameumbwa wakiwa hawana hiyari, wanatenda yale waliyoamrishwa.
Okay ni sawa kwa Imani yako ila kuna wanaosema / amini kwamba huyu Shetani alikuwa pia Malaika ila hao ni wao, twende na wewe...
Binadamu na Majini wao wana hiyari ya kufanya mema au kufanya maovu ila ndio kumewekwa mafikio ya machaguo yetu...kuwa kuna pepo kwa ajili ya walioamini na kutenda mema na kuna moto kwa ajili ya waliokadhibisha.
okay... ila nina swali hivi unaweza kwenda mbinguni kwa kutenda mema bila kuamini au inabidi uamini pia ? Kama inabidi uamini pia kuna swali hapo chini........
Sasa wale wanaomanini vinginevyo walipata amnesia au wasiokumbuka imekuwaje na Je wanaokufa siku ya kuzaliwa huoni ni kama mtihani huu wamefanya cheating ? (Free Pass to HEAVEN) ?
kuna waliotangulia miaka mingi iliyopita nasi tumefuatia ,tutakufa na wataendelea kuja wengine mpk pale ulimwengu utakapofika tamati kisha tutakwenda kulipwa kwa yale tuliyoyatenda katika siku ya hukumu.
Ngoja kidogo..., hizi habari wewe kuja kuzipata vema na haya mafundisho yalikuwa kabla au baada ya Mtume Muhammad kuja na kuelezea ?!!! Sasa wale waliokuja kabla walijua vipi au waliambiwa na nani kuhusu mapato tuliyoambiwa na Mungu ? (Yaani walijua vipi mafundisho ya Mtume ambaye alikuwa bado hajaja)?
Mungu hapangiwi wala haulizwi kwanini kaumba Moto na Pepo....bali sisi viumbe ndio tugakaokwenda kuulizwa. Mungu ni mfalme na anamiliki kila kitu, unapata wapi authority ya kuhoji God's will?
Mababu zetu wasingehoji walichoambiwa huenda mpaka leo kungekuwa kuna mabwana na sisi watwana kazi yetu ni kuwalamba miguu...
 
Na unataka unachoamini wewe kwamba ndio kiwe universal ? Nimekuuliza swali mtenda mema asiyemuamini unayemuamini wewe atakwenda au hataenda mbinguni.., yaani kutokumuani tu unayemuamini ni guarantee ya kuwa doomed ?
 
Okay who am I to argue with your faith........
Babu yangu mzaa babu yangu mzaa babu yangu ambaye hakukuta hivi vitabu na alikuwapo hata kabla Mtume ambaye kafanya hii habari / knowledge kuwa mainstream hajazaliwa unawemuweka katika kundi gani ?
Kwahio watoto wote wanaokufa kabla ya kuwa wakubwa wamepewa free pass yaani wa mtihani wao ambao kule walikubali kubeba huu mzigo mzito wamekuja huku na kukuta kumbe kwao mzigo ni rahisi kuliko ?!!!!

Pili ni kwamba tuliitwa wote kwa wakati mmoja alafu wengine wakawekewa pause wasizaliwe kwanza mpaka hapo baadae au kila sekunde kabla ya mtoto kuzaliwa huwa kuna kundi linaitwa wakiwepo kina sisimizi, miti, michicha, funza n.k. na kuulizwa choice hii ?
 
Let's not forget. Shetani alipoasi, alisababisha ^system disorder^ ulimwenguni kote. I mean, harufu ya dhambi aliyoileta duniani haiwezi kuondolewa tu hivihivi. Lazima ing'olewa ^mizizi, shina, na matawi^ yake yote.
And this was known all along that it would happen as it did happen ?
Na, most importantly, uong'olewaji huo unafanyika katika namna ambayo daima itamwonesha Mungu kwamba ni mwenye haki na upepo.
He has already seen and he knows au unamaanishi nini itamwonesha ? and for whose benefit ?
The ultimate goal now is to eventually eradicate sin completely never ever to resurface again.
But it was known all along ? And who created sin by the way ?
 
Unaweza kuiweka hapa hii story kwa faida ya wengi ? Kwani Shetani yeye hana mabawa ?
 
Ndiyo maana kuna umuhimu mkubwa sana wa kuisoma Biblia na kuielewa vizuri. Maswali yako yote (na zaidi) yanajibiwa humo.

Nimecheka sana ulivyosema kwamba Shetani na jeshi lake walikuwa ^wananunua silaha za maangamizi^! (Russia au Marekani?)🙂
Unajua kitu kinaitwa figure of speech .....
 
Suala la imani ni tete. Linaweza kua sawa na hadithi ya kuku na yai
 
unaweza kusema vipi Aliyetengeneza hawa hawa hausiki kwenye haya matukio?

Tofauti na mashine ama mfano wa roboti, mwanadamu amepewa uwezo wa kutambua jema na baya. Yeye ni kiumbe anayetambua maadili (moral being).

Mwanadamu ni kiumbe mwenye maarifa anayeweza kutambua athari za maamuzi yake na kufanya yaliyo sahihi (intelligent being).


kwenye free will huwezi kusema mtu kapewa chaguo la kuchagua either shetani au Mungu wakati anaambiwa akichagua shetani atachomwa milele na akichagua mungu ataishi milele kwa raha mustarehe (hio ni intimidation) na chaguo hilo ni la kushinikizwa....

Usichojua ama unachokwepa kutambua ni kwamba Muumbaji ni mwenye maarifa na hekima zaidi kuliko kiumbe.

Maana yake ni kwamba kila kitu chema na bora ambacho mwanadamu angehitaji kinapatikana kwa Muumbaji wake, na uchaguzi mwingine wowote tofauti na huo ni wenye madhara.

Uhuru wa kuchagua ama utashi amepewa mwanadamu (na malaika) kwa sababu Mungu hapendi utii wa kulazimishwa, bali wa hiari, wa upendo.

And How is That......., Kwamba chagua dhambi nikuchome, au nichague mimi nisikuchome !!!!, Pili katika chaguzi zako nimeweka vikwazo ambavyo vitapelekea ugumu wa kunichagua ?

Umeshawahi kujiuliza kwa nini mwanadamu atake kuchagua upande mwingine tofauti na ule wa Muumbaji wake? Kwamba amekoswa au amepungukiwa nini, kwa mfano, wakati vyote vilivyo bora na vyema vinapatikana?

Kama mwanadamu asingekuwa na uhuru wa kuchagua (free will), basi asingetenda dhambi. Maana yake ni kwamba angekuwa ameumbwa kama kiroboti fulani kinachofanya vilevile tu kilivyoprogramiwa.
 
And this was known all along that it would happen as it did happen ?
Exactly. God knows the end from the beginning.

He has already seen and he knows au unamaanishi nini itamwonesha ? and for whose benefit ?

Sure! There is nothing hidden from God; He's very well acquainted with every single detailed of anything in the whole universe. He's omniscient Being.

^For whose benefit?^ I mean for people like you who still don't believe and appreciate that God is able, good, and loving.

Even as we speak, God is graciously trying to vindicate His goodness. The Devil, on the other hand, is also trying to deceptively attract our attention and win us to himself.

Ultimately, the game will be up, and God will be fully vindicated. Don't forget that since his fall from heaven, the Devil and his evil angels have been accusing God of all kinds of negative things.

For what could be a better strategy to unsettle your opponent than to heap all blames on them?

But it was known all along ? And who created sin by the way ?

It's true that God foresaw the entrance of sin in the creation of Satan. There was no way He could have created reasonable, intelligent, free moral beings without this potential and inclination on their part to not choose Him (to sin).

Rather that creating robot-like beings, God risked creating individuals endowed with the capacity to choose whatever they wanted to.

This is how much the freedom of choice is so expensive!
 
Sijaelewa unachouliza...mwanzo nilikwambia kuwa Mungu ana maamuzi yake , yaani anafanya vile apendavyo wakati wowote ule. Yes uumbaji wa mwanadamu ulikuwepo katika mipangilio au maamuzi yake kabla hata ya kumuumba mwanadamu. Hakuna aliyeyajua haya ila YEYE mwenyewe.
 
Simlazimishi kuamini ninachokiamini kama vile mchungaji asivyoweza kumlazimisha punda kunywa maji mara baada ya kumfikisha lamboni.

Mimi jukumu langu ni kumuelekeza ila kuamini au kutokuamini ni juu yake ila matokeo ya machaguzi yake atakuja kuyaona baada ya kufa.

Sidhani kama atakuja kusema kuwa Mungu alimsababisha asiamini ili hali alishaletewa kila aina ya ushahidi na akaupuuza ,kuukejeli na kuudharau.


Mwanadamu siku ya hukumu hatakuwa na argument yoyote juu ya Mola wake. Huwezi kumlaumu Mungu kwanini hukuamini ilihali alikuletea kila aina ya ushahidi ili umwamini lakini kwa jeuri na kiburi ulikataa.
 
If that was the case hakuna watu wangejiua ?!!!, Kuna saa na wakati kujiua ni shortcut yaani mpambano wa kitaa unakuwa mgumu zaidi....

Au hujasikia watu kwenye pain wanaomba wapewe sumu wafe!!!
Kujiua kutokana na changamoto za kimaisha ni aina ya mwisho ya kukata tamaa juu ya uwezo wa Mungu katika kukutatulia shida zako. Maisha haya ni mtihani tu hivyo usitegemee kuwa yatakuwa marahisi vile unavyotaka wewe. Ukiwa tajiri kuna mitihani na ukiwa masikini vilevile kuna mitihani yake.
 
Elimu ya Mungu ni pana sana kiasi ukiamua kuitafakari sana kiundani unaweza ukakufuru ikiwa kama huna imani moyoni mwako na kama una imani ndani yako basi inakuzidishia zaidi imani juu ya uwezo wa Mungu.

Mungu anafahamu uhalisia wa nafsi zetu ile kindani ndani. Yaani hata ukifake vipi ki-nje bado yeye anaujua u-ndani wako. Ndio maana mara baada ya watu kuhukumiwa kwenda motoni na kuishi miaka mingi ndani ya moto, watamuomba Mungu kuwa awarudishe tena duniani ili waje kusahihisha makosa yao na wawe watu wema kwa maana watakuwa wameshakoma kwa kuonja uchungu wa adhabu.


Mungu atawajibu kuwaambia kuwa hata kama arawarejesha huku duniani bado watarudia yale yale waliyokuwa wakiyafanya na wataikataa kweli. Hivyo ombi lao halina maana yoyote ile.
 
Kwahio in Short dhambi kubwa kuliko zote kwa Imani yao ni wale wanaoamini Mungu Tofauti na unayemwamini wewe ?

Au sijakupata vema ?


Dhambi kubwa ni kumuamini Mungu tofauti na huyu aliyeumba kila kitu. Ukimfanyia kuwa ana mshirika au washirika unakuwa umemtukana sana .
 
Quran 16:9

And upon Allah is the direction of the
way, and among the various paths are those deviating. And if He willed, He could have guided you all.



"Na ni juu ya Mwenyezi Mungu kuelekeza Njia. Na zipo njia za upotovu. Na angeli penda angeli kuongoeni nyote."


Mungu yeye kazi yake ni kubainisha tu njia Sahihi na Njia zisizo sahihi. Ila jukumu la kufuata wapi mwanadamu unataka uelekee ameliacha kwa mwanadamu mwenyewe.

Mungu angelitaka angelituongoa wote (kama ilivyo kwa malaika ambao hawatendi dhambi) kwa maana tungekuwa waumini ila hakutaka kwa kuwa ametupa free will kuchagua tunachokitaka ila katika kila chagua huwa kuna consequences zake.


Mwanadamu licha ya kuwa ni kiumbe mwenye hoja nyingi sana ukimpa nafasi ajitetee ila siku hiyo ya hukumu hatakuwa na hoja kabisa ila atabaki tu kuilaumu nafsi yake mwenyewe.

Yaani ni mfano wa Mtu mwenye njaa apelekewe chakula izuri mbele yake kisha agome kula kwa utashi wake halafu mwiso wa siku afena njaa kutokana na ukaidi wake ila akija kuulizwa nini kilikufanya usile? Ajibu kuwa aliyemletea chakula alimzuia asile !!

Lazima huyu mtu ataonekana hana hoja maana pindi wakati analetewa chakula hakushikwa mkono wala kuzibwa mdomo asile, ila kwa kiburi na jeuri yake aligoma tu kula kile chakula. Huu ndio mfano wa mwanadamu anayeikataa haki na kuamua kuchagua batili ili aje kulalamika kuwa hakuwa na free will kwasababu tu Mungu anajua matokeo na muishilio wa kila machaguzi yatakayofanywa na matendo ya wanadamu.

Ni jambo la kawaida kujua kuwa usipokula ni lazima utakufa kwa njaa.

Ukimkataa Mungu ni lazima utakwenda kukutana na adhabu.

Ukimkubali Mungu utakwenda kulipwa mema n.k​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…