Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
- Thread starter
- #501
Sio kila kitu kinachorwa... wengine hawachorwi wala hawajawahi kuchorwa....Hii logic ilishakuwa debunked na hii statemnt.
"Who paint the painter?"
Sababu picha imechorwa haimaanishi mchoraji amechorwa.
Sababu binadamu Ametengenezwa haimaanishi Mungu nae Ametengenezwa, Simple Logic.
Ila kuamini kwamba hii dunia ni so complicated hadi kwamba lazima ilikuwa created na being fulani lazima pia uamini kwamba huyo individual being lazima atakuwa more complicated hence kama complication mean you must be created hence na yeye alikuwa created !!!
And why one creator and not multiple ?!!!!