Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Ndugu zangu tumezoea kuona majengo ya Kanisa Katoliki maeneo mbalimbali yakiwa na muonekano wa kipekee unaoakisi majengo ya asili ya karne nyingi zilizopita.
Lakini ukitazama jengo la Kanisa Katoliki Salasala Dar es salaam muonekano wake uko tofauti kabisa. Yaani kwa haraka utadhani ni jengo la Kanisa la KKKT
Swali langu ujenzi huo umezingatia vigezo gani? Kwanini uwe tofauti? Kwanini usiendane na makanisa tuliyozoea kama vile St Joseph posta ya zamani au St Peter Oysterbay
Wenye elimu mtujuze
Ndugu zangu tumezoea kuona majengo ya Kanisa Katoliki maeneo mbalimbali yakiwa na muonekano wa kipekee unaoakisi majengo ya asili ya karne nyingi zilizopita.
Lakini ukitazama jengo la Kanisa Katoliki Salasala Dar es salaam muonekano wake uko tofauti kabisa. Yaani kwa haraka utadhani ni jengo la Kanisa la KKKT
Swali langu ujenzi huo umezingatia vigezo gani? Kwanini uwe tofauti? Kwanini usiendane na makanisa tuliyozoea kama vile St Joseph posta ya zamani au St Peter Oysterbay
Wenye elimu mtujuze