Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka picha basiiii
Wadau hamjamboni nyote?
Ndugu zangu tumezoea kuona majengo ya Kanisa Katoliki maeneo mbalimbali yakiwa na muonekano wa kipekee unaoakisi majengo ya asili ya karne nyingi zilizopita.
Lakini ukitazama jengo la Kanisa Katoliki Salasala Dar es salaam muonekano wake uko tofauti kabisa. Yaani kwa haraka utadhani ni jengo la Kanisa la KKKT
Swali langu ujenzi huo umezingatia vigezo gani? Kwanini uwe tofauti? Kwanini usiendane na makanisa tuliyozoea kama vile St Joseph posta ya zamani au St Peter Oysterbay
Wenye elimu mtujuze
Tazama st Joseph na st peterMbona limekaa kikatoliki kabisa + hizo picha. Kwenye vioo ndo kabisa
Mwache mtu aenjoy! 😂😂😂😂
Unafunika uso , unafunua Matako!Uislamu wa kisasa. Hahaha nimecheka kwa sauti hahaha mbavu zangu jamani.
View attachment 3028940
adriz FaizaFoxy
Mkanisa ya wahuni kila mtu naamka na akili yakeWadau hamjamboni nyote?
Ndugu zangu tumezoea kuona majengo ya Kanisa Katoliki maeneo mbalimbali yakiwa na muonekano wa kipekee unaoakisi majengo ya asili ya karne nyingi zilizopita.
Lakini ukitazama jengo la Kanisa Katoliki Salasala Dar es salaam muonekano wake uko tofauti kabisa. Yaani kwa haraka utadhani ni jengo la Kanisa la KKKT
Swali langu ujenzi huo umezingatia vigezo gani? Kwanini uwe tofauti? Kwanini usiendane na makanisa tuliyozoea kama vile St Joseph posta ya zamani au St Peter Oysterbay
Wenye elimu mtujuze
haaaaaaaaa haaaaaaaaa haaaaaaaaa! Umenichekesha Sana.
Mkanisa ya wahuni kila mtu naamka na akili yake
Ila picha za hivi zinaudhi sana, mambo gani haya?!!
Wakati wa Ujenzi ulitoa mchango? Si uende pale parokiani ukaulize ? Me nadhani utapata majibu sahihi zaidi ya kuanzisha uzi humuWadau hamjamboni nyote?
Ndugu zangu tumezoea kuona majengo ya Kanisa Katoliki maeneo mbalimbali yakiwa na muonekano wa kipekee unaoakisi majengo ya asili ya karne nyingi zilizopita.
Lakini ukitazama jengo la Kanisa Katoliki Salasala Dar es salaam muonekano wake uko tofauti kabisa. Yaani kwa haraka utadhani ni jengo la Kanisa la KKKT
Swali langu ujenzi huo umezingatia vigezo gani? Kwanini uwe tofauti? Kwanini usiendane na makanisa tuliyozoea kama vile St Joseph posta ya zamani au St Peter Oysterbay
Wenye elimu mtujuze
Hawa nawabandua na chupi zao sidiria zitavuliwa mchezo ukiwa unaendelea
Elon Musk katuweza sio kwa miroboti hii ya kujipigia paipu