Kwanini muonekano wa jengo Kanisa Katoliki Salasala uko tofauti na unafanana na makanisa ya KKKT?

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Ndugu zangu tumezoea kuona majengo ya Kanisa Katoliki maeneo mbalimbali yakiwa na muonekano wa kipekee unaoakisi majengo ya asili ya karne nyingi zilizopita.

Lakini ukitazama jengo la Kanisa Katoliki Salasala Dar es salaam muonekano wake uko tofauti kabisa. Yaani kwa haraka utadhani ni jengo la Kanisa la KKKT

Swali langu ujenzi huo umezingatia vigezo gani? Kwanini uwe tofauti? Kwanini usiendane na makanisa tuliyozoea kama vile St Joseph posta ya zamani au St Peter Oysterbay

Wenye elimu mtujuze
 

Attachments

  • 3B7CB166-CAB2-4457-9AD1-31164141E8FB.png
    1.5 MB · Views: 21
Picha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…