Kwanini Mwalimu Nyerere aliwafukuza Waisrael akawaacha Wapalestina?

Pelekeni uvivu na uzembe wenu kule na siyo kubaki kumsingizia Nyerere.
 
Ndio maana ameiletea hii nchi laana
 
Sijui mitaala yetu kama inafundisha vijana historia ya nchi yetu ili kutambua misimamo ya nchi na sababu za wakati huo tusingeshuhudia huu utumbo ulioandika.
 
Una akili sana sana. Hawa watu wa shule za kata ni bure kabisa. Kuna kipindi ebola ilipamba moto kweli kweli na kuna wazungu walijitolea kuja Afrika kusaidia kutibu wagonjwa. Matokeo yake kuna waliambukizwa na kufariki. Jambo kama hili mtu mwenye upeo mdogo kama hawa jamaa anaweza kusema walijitakia na wasijue kuwa walifanya jambo zuri sana kwa dunia. Vivyo hivyo, kupinga uovu duniani ni kazi ya binadamu yoyote aliyestaarabika ili kuifanya dunia iwe mahali pazuri pa kuishi. Ulaya kuna vikundi vya watu vinafanya maandamano kila siku kupinga uharibifu wa mazingira kwa ajili ya vizazi vijavyo. Binadamu yeyote mwenye akili hufanya mema na kupinga maovu bila kujali malipo.
 
Sijui mitaala yetu kama inafundisha vijana historia ya nchi yetu ili kutambua misimamo ya nchi na sababu za wakati huo tusingeshuhudia huu utumbo ulioandika.
Elimu ya Bongo imeingia mdudu. Wengi wamekariri ili kushinda mitihani na hawakusoma kuelewa.
 
Hahahah
 
Haya alisaidia wapalestina ilipofika vita kupiga na Uganda wapalestina wakawa wanamuunga mkono Idd Amin kutupiga sisi watanzania tena Nyerere mwenyewe aliyekuwa akiwaunga mkono akiwa Raisi
Ushirikiano kati ya nchi na nchi unategemeana na Viongozi na siyo wananchi
 
Huenda hatujanufika ila kutetea ubinadamu ni heshima tosha.
Na hiyo ni asili tu kuungana na nayeonewa hata kama hatakulipa.
Unauliza tumenufaika nini basi hujui ushawishi wa Tanzania hapa Africa.
Kwa taarifa yako Kenya imeshindwa kupitisha wanadiplomasia wake kwenye nafasi za juu AU au UN kutokana na kutokuwa na harakati wakati wa uhuru. Muulize Amina Abdallah aliyekuwa waziri wa mambo ya nje ya Kenya enzi za Uhuru jr akuambie.
 
Kunyamazia kumkemea muonezi nawe unakuwa sehemu ya uonevu.
Kwa sera zetu za ujamaa tuliamini watu wote ni sawa Sasa utanyamazije ukandamizaji wa kibeberu kwa watu wanyonge?
Kuhusu Sahara Magharibi na Biafra kumbuka kule walikuwa wnanyanyaswa sna na Koroko/Nigeria je angekaa kimya watu wauwawe?
Kuhusu Tanzania muungano ulikuwa wa hiari Wala hakuna aliyelazimishwa.
Utakuwa kiongozi namna gani kama huwezi chukia msimamo?
Yaani Kila kitu yes yes yes huwezi kuwa kiongozi namna hiyo.
 
Pelekeni uvivu na uzembe wenu kule na siyo kubaki kumsingizia Nyerere.
Nyerere was responsible for everything hakuna cha uvivu wala nini. Oscar Kambona angekuwa Rais tungekuwa mbali sana.
 
Waisrael wa leo sio wale wa kale. Hawa wa leo inatakiwa wafukuzwe popote wanapoonekana
Ukimuona uisrael jua US yupo nyuma yake kua makini mnachoongea,US yy anafuta vita nje ya nchi yake iliapate rasilimali za bure nakuuza siraha be very very careful na hao watu.
 
Wao pamoja na gadaf
 
Sawa baada Ya Amina Abdallah mkenya kupitishwa kwa Ushawishi wa Tanzania sisi kama nchi tulipata nini kutoka Kenya kama asante ya.huo ushawishi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…