Kwanini Mwamposa asiende kwenye mahosiptali kuombea wagonjwa na tukaona wanapona?

Kwanini manabii wa Afrika/mbeya wasiombee UFISADI,UMASIKINI,UJINGA na MARADHI vinavyowasumbua waafrika vikaondoka?
Si kila jambo uondoka kwa maombi, mengine ni kwa maarifa tu.
Huwezi omba kazi umelala
 
Anayetoa na kusmba huduma ni mwamposa au mgongwa?

Hivi baada ya huyo yesu na muhamadi kuna WATUME na MANABII wengine waliozaliwa MBEYA?
Wajinga ndiyo waliwao!!

Kuna kizazi kinaweza kuishi bila unabii katika maisha ya kiroho? Mitume na Manabii wapo maana pasipo hao hatuwezi kujua wala kusikia Maono ya Mungu kwenye maisha yetu.
 
Si kila jambo uondoka kwa maombi, mengine ni kwa maarifa tu.
Huwezi omba kazi umelala

Maombi ni msingi wa kila kitu. Kama ambavyo huwezi kuomba kazi huku umelala vivyo hivyo huwezi tafuta kazi bila kuomba. Utaswampa mpaka uote sugu za kisigino
 
Pole sana mkuu,mtegemee Mungu utapona achana na hao matapeli kwenye makanisa
 
Ona hili zuzu
 

Don’t give up on God. Muujiza wako usitake ufanane na wa mwengine kwasababu kila mtu analo kusudi lake. Kwenye Biblia kuna Mwanamke alitokwa damu miaka 12. She waited for 12 years to see her miracle. Sarah & Abraham waited for 90+ years kupata mtoto. Pale ambapo God seems not to make sense anymore, ndo muda ambapo anadhihirika.
 
Hujajibu maswali niliyoweka haya good day
 
Kuna kizazi kinaweza kuishi bila unabii katika maisha ya kiroho? Mitume na Manabii wapo maana pasipo hao hatuwezi kujua wala kusikia Maono ya Mungu kwenye maisha yetu.
Why Mungu asikutokee wewe akakupa maono... mbona Mungu anamtegemea binadamu ili asambaze ujumbe na sisi wote tumuamini tu huyo binadama kiholelaholela
 
Kuna kapicha kalisambaaga mtandaoni kakionyesha mchungaji anaeweza kufufua watu kama skosei ni gwajima akiwa anatoa heshima za mwisho kwenye jeneza la mama yake sasa kwa jinsi kila mmoja wetu anavyompenda mama yake kwann jamaa asimfufue kama kweli anafufua wafu wanakuja kutoa ushuhuda. Akili kichwani sio kila kitu ni kweli mambo kibao ni maigizo.

Kuna mchungaji yupo maweni kigamboni anakuja bondeni anachukua mateja anawapa nguo safi wanaoga vizuri wanaenda kutoa ushuhuda wakimaliza anawapa chakula nq pesa wanasepa. Nyie mnabaki kujua ni kweli kumbe mateja wa bondeni wamekusanywa
 
Kuna kifo mpango wa Mungu na Kuna kifo mpango wa wanadamu.
Wanaofufuliwa ni WA mpango wa binadamu hata mganga tu anao uwezo wa kumfufua aliyekufa kwa mpango wa wanadamu.
Soma aina za Vifo utaelewa.
Hilo la mateja Kila penye original feki hawakosekani kama hauna maarifa huwezi watofautisha
 
Pana mitume na manabii wa ukwel na wa uongo Pana magonjwa ya kiroho,ya kimwili,ya tabia.
Pana kuumwa kwa mpango wa Mungu na Kwa wanadamu.
 
Shetani ndie uleta magonjwa, kwann Tza hawakuathirika sana na corona jibu ni maombi
Coz rais wako alificha data na ukweli kuhusu athari zake.. ni strategy nzuri ya kutumia dini coz ndo upumbavu wa wabongo ulipo so nae akapita mulemule...
 
Kuna jamaa alipanda daladala jioni mida ya buguruni watu wamenasa kwenye foleni muda mrefu halafu wamechoka kinyama, si akataka kuanza kuhubiri bhana.... Bila kujali imani zao abiria wote walimgeukia na kumfokea kwa sauti "ebu usitupigie kelele" jamaa akaamua kushuka tu.
 
Mwisho mtasema kwanini YESU alifufua baadhi asifufue wote?
 
😅Hee hayo mambo ya quantum physics na yesu hebu niache mi simo huku
Jiongeze katika elimu ya quantum mechanics ( quantum physics) mambo mengi yanayosemwa ni ya kiroho utayaelewa vizuri tu. Mungu hakutuumba tusiwe na uelewa kuhusu mambo yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…