Kwanini Mwamposa asiende kwenye mahosiptali kuombea wagonjwa na tukaona wanapona?

Kwanini Mwamposa asiende kwenye mahosiptali kuombea wagonjwa na tukaona wanapona?

Hili ndio swali ninalojiuliza kama kweli huyu ni mchungaji wa ukweli.

Kwa mfano, kwanini tusimuone Mwamposa akiwa Ocean Road hospitali anaombea wagonjwa wa kansa na tukaona wananyanyuka vitandani au madaktari wakathibitisha kupona kwa hao wagonjwa?

Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Huyu kajaa drama tupu! Maeneo hayo huwezi muona! Kuna mwingine anaomba sadaka hadi kwa wagonjwa wanaoenda Muhimbili!! Chezea Mashimo wewe!!
 
Kuna mtasha mmoja alishangaa na kucheka alipokua anaona mara Kwa mara naangalia vipindi mbalimbali vya manabii Hawa wa bongo. siku Moja akaniambia hayo unayoona ni uwongo, nikamshangaa na kubisha sana.... Kuna siku akanibebea kitabu kinaitwa CHURCH MAFIA, baada ya kukimaliza nikaona nibaki tu na Ukatoliki wangu
 
Kule.................
Kule kuna watu wenye imani tofauti.
Kule sauti za juu hazitakiwi.
Kule kuna mlipuko wa magonjwa ya kuambukiza na yasiyoambukiza.
Hospital ni sehemu ambayo ina taratibu na sheria zake za afya.
 
Kuna Nabii James Nyakia yuko pale Mwenge mpakani mpaka kulaza wagonjwa analaza hata sijui kama Wizara ya Afya wana taarifa naye. Anafanya vipimo vya CT Scan,X-ray MRI kwa kutumia viganja vya mikono yake na wajinga wanamuamini. Vipimo hivyo ni Tsh.10,000/- na matibabu ni kachupa kadogo ka asali ka ml 20 na bei ni kuanzia 70,000/- hadi 300,000/- Huyu jamaa anawanyoosha kweli kweli wajinga.
 
Hili ndio swali ninalojiuliza kama kweli huyu ni mchungaji wa ukweli.

Kwa mfano, kwanini tusimuone Mwamposa akiwa Ocean Road hospitali anaombea wagonjwa wa kansa na tukaona wananyanyuka vitandani au madaktari wakathibitisha kupona kwa hao wagonjwa?

Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Utapeli tu hakuna anayepona

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Hili ndio swali ninalojiuliza kama kweli huyu ni mchungaji wa ukweli.

Kwa mfano, kwanini tusimuone Mwamposa akiwa Ocean Road hospitali anaombea wagonjwa wa kansa na tukaona wananyanyuka vitandani au madaktari wakathibitisha kupona kwa hao wagonjwa?

Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Ili aharibu platform? Ili apunguze kiwango cha maokoto ktoka kwa ndinazi, Acha aendelee kuwagongesha
 
Hili ndio swali ninalojiuliza kama kweli huyu ni mchungaji wa ukweli.

Kwa mfano, kwanini tusimuone Mwamposa akiwa Ocean Road hospitali anaombea wagonjwa wa kansa na tukaona wananyanyuka vitandani au madaktari wakathibitisha kupona kwa hao wagonjwa?

Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Naona anguko lako liko jirani sana
 
hospitali wanaamini katika Tiba ya kisayansi mkuu na wala hairuhusiwi mtu kwenda kutoa tiba ya mombi walatiba asili. kama unaumwa nenda Kawe akakuombee utapona. Hata Yesu mwenyewe hakuwahi kwenda Hospital hata aliposikia rafiki yake Mkubwa Lazaro anaumwa hakutaka kwenda kumwangalia walakumuombea hadialipokufa.

Kama unahitaji Kuombewa au una ndugu yako mgonjwa basi mpeleke akafanyiwe maombi kisha uje na mrejesho

Mwisho sio magonjwa yote yanatibika kwa maombi.
Hospital unaruhusiwa kufanya maombi ,mbona wakatolic wanaenda huko kuwatia wagonjwa matumaini na sala?
 
Hili ndio swali ninalojiuliza kama kweli huyu ni mchungaji wa ukweli.

Kwa mfano, kwanini tusimuone Mwamposa akiwa Ocean Road hospitali anaombea wagonjwa wa kansa na tukaona wananyanyuka vitandani au madaktari wakathibitisha kupona kwa hao wagonjwa?

Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
😂Watakujibu hoo Mungu hapimwi, Inabidi uwe na Imani ndo upondwi, Mungu kazidi Sayansi, blah blah hoo cjui...😂
 
Kwasababu hawezi.

Iko hivi, hakuna mtu anaweza kutibu ugonjwa wowote kimiujiza, kwasababu Mungu hayupo. Wanachofanya hawa watumishi uchwara wanachagua wagonjwa mepesi ambayo dalili zake zinaweza kupoa kutokana na imani ya mtu. Pia wanachakachua vipimo, wanafanya utapeli, utaskia mtu anashuhudia kapona ukimwi ushahidi ni kwamba kapima kabla na baada ya huduma.

Ubongo wako unaweza kufanya afya yako kuimarika kwa muda mfupi, ikiwa utapata sababu ya kuamini hivyo. Hii inaitwa the 'placebo effect'. Wale majamaa wanategemea hii, atakuombea, na kwa vile wewe una imani, utaona dalili za kuumwa zitapungua kwa muda.

Ila hii ni kwa matatizo mepesi ambayo hayaonekani moja kwa moja mfano kichwa kuumwa, stroke, pressure, homa, hata wale wanaotupa fimbo na kutembea, maumivu kwenye joints yanaisha kwa muda mfupi.

Wasichoweza kufanya sasa, ni mfano mtu hana mkono, halafu wamuombee mkono utokee tu wenyewe, au mtu ana usonji halafu ajitambue haraka, mtu ana uvimbe, utoweke hapo hapo, mtu ana jeraha la nje lipone hapo hapo. Hawawezi.

Halafu sasa ile placebo effect ikishaisha kwenye ubongo wako huwezi kuwalaumu, watakuambia umekosa imani. Na hii inatengeneza kinyume chake kinaitwa 'nocebo effect' yaani hali yako inadhohofika kwasababu una mashaka.

Na mimi nawaona ni matapeli kwasababu hivi vitu huwezi kuvifanya bila kuwa na ufahamu navyo. Wangekua kweli wanafanya kazi ya Mungu wangejaribu kwenda huko mahospitalini, ila hawaendi. Ina maanisha wanauelewa mchezo.
Umeongea facts Sana nimependa
 
hospitali wanaamini katika Tiba ya kisayansi mkuu na wala hairuhusiwi mtu kwenda kutoa tiba ya mombi walatiba asili. kama unaumwa nenda Kawe akakuombee utapona. Hata Yesu mwenyewe hakuwahi kwenda Hospital hata aliposikia rafiki yake Mkubwa Lazaro anaumwa hakutaka kwenda kumwangalia walakumuombea hadialipokufa.

Kama unahitaji Kuombewa au una ndugu yako mgonjwa basi mpeleke akafanyiwe maombi kisha uje na mrejesho

Mwisho sio magonjwa yote yanatibika kwa maombi.
Hapo kwenye sio magonjwa yote yanatibika kwa maombi? So Mungu wake ana limits
 
Kuna mtasha mmoja alishangaa na kucheka alipokua anaona mara Kwa mara naangalia vipindi mbalimbali vya manabii Hawa wa bongo. siku Moja akaniambia hayo unayoona ni uwongo, nikamshangaa na kubisha sana.... Kuna siku akanibebea kitabu kinaitwa CHURCH MAFIA, baada ya kukimaliza nikaona nibaki tu na Ukatoliki wangu
Ukisoma vitabu vingine ndo utagundua ukatoliki nao ni bomba la uhuni..sema Baki tu huko coz ndo unapotaka. 😂Ila ni mule mule tu ..mnapigwa kiakili
 
Back
Top Bottom