msapinungu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 839
- 692
Huyu kajaa drama tupu! Maeneo hayo huwezi muona! Kuna mwingine anaomba sadaka hadi kwa wagonjwa wanaoenda Muhimbili!! Chezea Mashimo wewe!!Hili ndio swali ninalojiuliza kama kweli huyu ni mchungaji wa ukweli.
Kwa mfano, kwanini tusimuone Mwamposa akiwa Ocean Road hospitali anaombea wagonjwa wa kansa na tukaona wananyanyuka vitandani au madaktari wakathibitisha kupona kwa hao wagonjwa?
Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Utapeli tu hakuna anayeponaHili ndio swali ninalojiuliza kama kweli huyu ni mchungaji wa ukweli.
Kwa mfano, kwanini tusimuone Mwamposa akiwa Ocean Road hospitali anaombea wagonjwa wa kansa na tukaona wananyanyuka vitandani au madaktari wakathibitisha kupona kwa hao wagonjwa?
Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Ili aharibu platform? Ili apunguze kiwango cha maokoto ktoka kwa ndinazi, Acha aendelee kuwagongeshaHili ndio swali ninalojiuliza kama kweli huyu ni mchungaji wa ukweli.
Kwa mfano, kwanini tusimuone Mwamposa akiwa Ocean Road hospitali anaombea wagonjwa wa kansa na tukaona wananyanyuka vitandani au madaktari wakathibitisha kupona kwa hao wagonjwa?
Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Naona anguko lako liko jirani sanaHili ndio swali ninalojiuliza kama kweli huyu ni mchungaji wa ukweli.
Kwa mfano, kwanini tusimuone Mwamposa akiwa Ocean Road hospitali anaombea wagonjwa wa kansa na tukaona wananyanyuka vitandani au madaktari wakathibitisha kupona kwa hao wagonjwa?
Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Mimi nimepona
Hospital unaruhusiwa kufanya maombi ,mbona wakatolic wanaenda huko kuwatia wagonjwa matumaini na sala?hospitali wanaamini katika Tiba ya kisayansi mkuu na wala hairuhusiwi mtu kwenda kutoa tiba ya mombi walatiba asili. kama unaumwa nenda Kawe akakuombee utapona. Hata Yesu mwenyewe hakuwahi kwenda Hospital hata aliposikia rafiki yake Mkubwa Lazaro anaumwa hakutaka kwenda kumwangalia walakumuombea hadialipokufa.
Kama unahitaji Kuombewa au una ndugu yako mgonjwa basi mpeleke akafanyiwe maombi kisha uje na mrejesho
Mwisho sio magonjwa yote yanatibika kwa maombi.
Ufanyaji kazi wa imani ,unafanya kazi haijalishi kama Mungu yupo ama hatupo.Ni ajabu sana kuongelea imani halafu huamini katika uwepo wa Mungu. Umeshajivuruga ndugu.
😂Watakujibu hoo Mungu hapimwi, Inabidi uwe na Imani ndo upondwi, Mungu kazidi Sayansi, blah blah hoo cjui...😂Hili ndio swali ninalojiuliza kama kweli huyu ni mchungaji wa ukweli.
Kwa mfano, kwanini tusimuone Mwamposa akiwa Ocean Road hospitali anaombea wagonjwa wa kansa na tukaona wananyanyuka vitandani au madaktari wakathibitisha kupona kwa hao wagonjwa?
Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Hawa jamaa washaanza kushtukiwa sasa.😂Watakujibu hoo Mungu hapimwi, Inabidi uwe na Imani ndo upondwi, Mungu kazidi Sayansi, blah blah hoo cjui...😂
Umeongea facts Sana nimependaKwasababu hawezi.
Iko hivi, hakuna mtu anaweza kutibu ugonjwa wowote kimiujiza, kwasababu Mungu hayupo. Wanachofanya hawa watumishi uchwara wanachagua wagonjwa mepesi ambayo dalili zake zinaweza kupoa kutokana na imani ya mtu. Pia wanachakachua vipimo, wanafanya utapeli, utaskia mtu anashuhudia kapona ukimwi ushahidi ni kwamba kapima kabla na baada ya huduma.
Ubongo wako unaweza kufanya afya yako kuimarika kwa muda mfupi, ikiwa utapata sababu ya kuamini hivyo. Hii inaitwa the 'placebo effect'. Wale majamaa wanategemea hii, atakuombea, na kwa vile wewe una imani, utaona dalili za kuumwa zitapungua kwa muda.
Ila hii ni kwa matatizo mepesi ambayo hayaonekani moja kwa moja mfano kichwa kuumwa, stroke, pressure, homa, hata wale wanaotupa fimbo na kutembea, maumivu kwenye joints yanaisha kwa muda mfupi.
Wasichoweza kufanya sasa, ni mfano mtu hana mkono, halafu wamuombee mkono utokee tu wenyewe, au mtu ana usonji halafu ajitambue haraka, mtu ana uvimbe, utoweke hapo hapo, mtu ana jeraha la nje lipone hapo hapo. Hawawezi.
Halafu sasa ile placebo effect ikishaisha kwenye ubongo wako huwezi kuwalaumu, watakuambia umekosa imani. Na hii inatengeneza kinyume chake kinaitwa 'nocebo effect' yaani hali yako inadhohofika kwasababu una mashaka.
Na mimi nawaona ni matapeli kwasababu hivi vitu huwezi kuvifanya bila kuwa na ufahamu navyo. Wangekua kweli wanafanya kazi ya Mungu wangejaribu kwenda huko mahospitalini, ila hawaendi. Ina maanisha wanauelewa mchezo.
Ndo hivyo tuwazoe tuHawa jamaa washaanza kushtukiwa sasa.
Hapo kwenye sio magonjwa yote yanatibika kwa maombi? So Mungu wake ana limitshospitali wanaamini katika Tiba ya kisayansi mkuu na wala hairuhusiwi mtu kwenda kutoa tiba ya mombi walatiba asili. kama unaumwa nenda Kawe akakuombee utapona. Hata Yesu mwenyewe hakuwahi kwenda Hospital hata aliposikia rafiki yake Mkubwa Lazaro anaumwa hakutaka kwenda kumwangalia walakumuombea hadialipokufa.
Kama unahitaji Kuombewa au una ndugu yako mgonjwa basi mpeleke akafanyiwe maombi kisha uje na mrejesho
Mwisho sio magonjwa yote yanatibika kwa maombi.
Muislam wa Taifa umefikaWajinga ndiyo waliwao.
Hawa na walokole hawanaga tofauti .Muislam wa Taifa umefika
Ukisoma vitabu vingine ndo utagundua ukatoliki nao ni bomba la uhuni..sema Baki tu huko coz ndo unapotaka. 😂Ila ni mule mule tu ..mnapigwa kiakiliKuna mtasha mmoja alishangaa na kucheka alipokua anaona mara Kwa mara naangalia vipindi mbalimbali vya manabii Hawa wa bongo. siku Moja akaniambia hayo unayoona ni uwongo, nikamshangaa na kubisha sana.... Kuna siku akanibebea kitabu kinaitwa CHURCH MAFIA, baada ya kukimaliza nikaona nibaki tu na Ukatoliki wangu