Anaweza yote Kwa wanaomwamini halazimishi mtuKumbe yesu baadhi ya magonjwa kwake ni ngoma nzito??? Sasa mbona huwa wanasema anaweza yote??
Ndo maana wenzetu wanaendelea kifikra na kitechnology sisi tunatukuza ujinga na kuupa sifa ya imaniNdugu, hao wanaoenda kwake wanafanya hivyo kwa hiyari yao, hawajalazimishwa. Hauna sababu ya kuwa na uchungu na hela isiyo ya kwako, otherwise uniambie kuwa ulimpa mtu hela ya ada ukashangaa akaipeleka kwa Mwamposa
Una uhakika wale wagonjwa wa cancer walioko pale ocean road hospital wakipelekwa Kwa mwamposa wataponahospitali wanaamini katika Tiba ya kisayansi mkuu na wala hairuhusiwi mtu kwenda kutoa tiba ya mombi walatiba asili. kama unaumwa nenda Kawe akakuombee utapona. Hata Yesu mwenyewe hakuwahi kwenda Hospital hata aliposikia rafiki yake Mkubwa Lazaro anaumwa hakutaka kwenda kumwangalia walakumuombea hadialipokufa.
Kama unahitaji Kuombewa au una ndugu yako mgonjwa basi mpeleke akafanyiwe maombi kisha uje na mrejesho
Mwisho sio magonjwa yote yanatibika kwa maombi.
Acha kutetea utoto...dawa si Imani..dawa ni kitu ambacho kipo empirically tested na proven kuwork given certain conditions na mpaka umepewa dawa hiyo there r high chances utapona coz dawa haijaundwa tu na maneno cjui upone katika jina la myahudi no ..imeandaliwa kulingana na tafiti na asili ya mwili kikemia na kibaiolojia...wee mwenyewe ukiumwa kichwa saa hivi huendi kwa mwamposa unatafuta Panadol unameza kikipona doesn't mean umepona coz una imani na Panadol...umepona coz Panadol worksYesu Anaweza yote Kwa wanaomwamini halazimishi mtu
Aliye hospitali anaamini dawa zaidi haiwezekani umfuate hospital mtu ana Imani kwenye dawa
Kote duniani Kuna uponyaji aina mbili wa Hospital na spiritual Healing .Mtu mwenyewe huamua aende wapi Huwa hawaingiliani
Hatuwezi kufunga maduka ya kutibu watu.Hili ndio swali ninalojiuliza kama kweli huyu ni mchungaji wa ukweli.
Kwa mfano, kwanini tusimuone Mwamposa akiwa Ocean Road hospitali anaombea wagonjwa wa kansa na tukaona wananyanyuka vitandani au madaktari wakathibitisha kupona kwa hao wagonjwa?
Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Usitusomee novelNdugu zake wamfuate.
5 Hata alipoingia Kapernaumu, akida mmoja alimjia,
6 akamsihi, akisema, Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani, mgonjwa wa kupooza, anaumwa sana.
7 Yesu akamwambia, Nitakuja, nimponye.
8 Yule akida akamjibu, akasema, Bwana, mimi sistahili wewe uingie chini ya dari yangu; lakini sema neno tu, na mtumishi wangu atapona.
9 Kwa maana mimi nami ni mtu niliyewekwa chini ya mamlaka, mwenye askari chini yangu; nikimwambia huyu, Nenda, huenda; na huyu, Njoo, huja; na mtumwa wangu, Fanya hivi, hufanya.
10 Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia wale waliomfuata, Amin, nawaambieni, Sijaona imani kubwa namna hii, kwa ye yote katika Israeli.
13 Naye Yesu akamwambia yule akida, Nenda zako; na iwe kwako kama ulivyoamini. Mtumishi wake akapona saa ile ile.
hawatapona kisha wataambiwa imani yao haikukamilikaKwann hao wagonjwa wasiende kwa mwamposa kuponywa hadi wafatwe hospitalini.
Sijasema anapona sababu ana Imani na dawa ninachosema Kuna wanaoamini hospitali kuliko maombi ni Haki YaoAcha kutetea utoto...dawa si Imani..dawa ni kitu ambacho kipo empirically tested na proven kuwork given certain conditions na mpaka umepewa dawa hiyo there r high chances utapona coz dawa haijaundwa tu na maneno cjui upone katika jina la myahudi no ..imeandaliwa kulingana na tafiti na asili ya mwili kikemia na kibaiolojia...wee mwenyewe ukiumwa kichwa saa hivi huendi kwa mwamposa unatafuta Panadol unameza kikipona doesn't mean umepona coz una imani na Panadol...umepona coz Panadol works
Sahihi Hospital pia ni duka kama yalivyo maduka mengine lenyewe ni duka la kuuza dawaHatuwezi kufunga maduka ya kutibu watu.
hahahaha.Atawapanga saa ngapi? Hivi kweli manaamini yanayoendelea pale? Pale kuna wanaopangwa, wenye hisia, na wanaopona kwa kudra za mwenye Mungu.
Watu wote wasiotembea pale wana magongo, nataka waonyeshe mmoja kaja na wheel chair, akainuka na kutembea.
Wa Africa ni watu wa hovyo sana, sio kwamba Mungu haponyi, anaponya, ila hawa manabii ni waganga wa kienyeji watupu.
Wakina Mama sawa, nashangaa kweli mwanaume na Makende yale mawili anashabikia ule ujinga pale, ajabu ajabu sana
Atawapanga saa ngapi? Hivi kweli manaamini yanayoendelea pale? Pale kuna wanaopangwa, wenye hisia, na wanaopona kwa kudra za mwenye Mungu.
Watu wote wasiotembea pale wana magongo, nataka waonyeshe mmoja kaja na wheel chair, akainuka na kutembea.
Wa Africa ni watu wa hovyo sana, sio kwamba Mungu haponyi, anaponya, ila hawa manabii ni waganga wa kienyeji watupu.
Wakina Mama sawa, nashangaa kweli mwanaume na Makende yale mawili anashabikia ule ujinga pale, ajabu ajabu sana
Mwamposa hawezi kwenda hospitalini kuponya wagonjwa maana huko kuna wagonjwa wa kweli.Hili ndio swali ninalojiuliza kama kweli huyu ni mchungaji wa ukweli.
Kwa mfano, kwanini tusimuone Mwamposa akiwa Ocean Road hospitali anaombea wagonjwa wa kansa na tukaona wananyanyuka vitandani au madaktari wakathibitisha kupona kwa hao wagonjwa?
Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Hili ndio swali ninalojiuliza kama kweli huyu ni mchungaji wa ukweli.
Kwa mfano, kwanini tusimuone Mwamposa akiwa Ocean Road hospitali anaombea wagonjwa wa kansa na tukaona wananyanyuka vitandani au madaktari wakathibitisha kupona kwa hao wagonjwa?
Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Mungu hayupo ? Hii ni fact au oppinion? Na kama ni fact how did you conclude?Kwasababu hawezi.
Iko hivi, hakuna mtu anaweza kutibu ugonjwa wowote kimiujiza, kwasababu Mungu hayupo. Wanachofanya hawa watumishi uchwara wanachagua wagonjwa mepesi ambayo dalili zake zinaweza kupoa kutokana na imani ya mtu. Pia wanachakachua vipimo, wanafanya utapeli, utaskia mtu anashuhudia kapona ukimwi ushahidi ni kwamba kapima kabla na baada ya huduma.
Ubongo wako unaweza kufanya afya yako kuimarika kwa muda mfupi, ikiwa utapata sababu ya kuamini hivyo. Hii inaitwa the 'placebo effect'. Wale majamaa wanategemea hii, atakuombea, na kwa vile wewe una imani, utaona dalili za kuumwa zitapungua kwa muda.
Ila hii ni kwa matatizo mepesi ambayo hayaonekani moja kwa moja mfano kichwa kuumwa, stroke, pressure, homa, hata wale wanaotupa fimbo na kutembea, maumivu kwenye joints yanaisha kwa muda mfupi.
Wasichoweza kufanya sasa, ni mfano mtu hana mkono, halafu wamuombee mkono utokee tu wenyewe, au mtu ana usonji halafu ajitambue haraka, mtu ana uvimbe, utoweke hapo hapo, mtu ana jeraha la nje lipone hapo hapo. Hawawezi.
Halafu sasa ile placebo effect ikishaisha kwenye ubongo wako huwezi kuwalaumu, watakuambia umekosa imani. Na hii inatengeneza kinyume chake kinaitwa 'nocebo effect' yaani hali yako inadhohofika kwasababu una mashaka.
Na mimi nawaona ni matapeli kwasababu hivi vitu huwezi kuvifanya bila kuwa na ufahamu navyo. Wangekua kweli wanafanya kazi ya Mungu wangejaribu kwenda huko mahospitalini, ila hawaendi. Ina maanisha wanauelewa mchezo.
Kwanini unadharau kada za watu!!!
Embu heshimu waganga wa kienyeji basi.
Kutumia mafuta kama sehemu ya uponyaji ukishirikisha na maombi ni ushirikina. Mafuta na maji ya upako ni biashara kama biashara zingineImani yako itakuponya!!
Ataendaje hosp na watu wanaamini dawa ndio zitawaponya....