Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwivi haji ila achinje, aue na kuangamiza. Hawa manabii wa uongo kina mwamposa na wenzake ni watendaji kazi wa ibilisi, na walio wengi ma hospitalini ni kazi za ibilisi so yeye hudeal na fresh clients, kuwaibia nyota zao na kuwapakaza magonjwa yasiyomithilika. Endeleeni kula keki za upako, chumvi, maji ya maiti na hayo mafuta.Hili ndio swali ninalojiuliza kama kweli huyu ni mchungaji wa ukweli.
Kwa mfano, kwanini tusimuone Mwamposa akiwa Ocean Road hospitali anaombea wagonjwa wa kansa na tukaona wananyanyuka vitandani au madaktari wakathibitisha kupona kwa hao wagonjwa?
Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Shetani naye hutenda miujiza. Baby Christians lazima wakong'otwe na hawa waabudu mashetani.Si comment chochote kwa sababu nipo dilemma kwasabu nmefika na nmejionea mwenyew
Ok, basi ni sawa kama hospitalini hakuna mambo ya giza.Mwamposa anadili na mambo ya Giza,
Sasa unaumwa malaria wakati si mambo ya giza.mahospitali kunamda unaumwa madaktari wanakwambia jiongeze,nenda kienyeji
Mwamposa anadili na mambo ya Giza,sio magonjwa ya kawaida
Muulize aliyeutaja boss, maana mm nimemjibu tu kuwa huwezi sema kuna mwanga bila kuwepo giza.Uchawi upo?
Aaah okayMuulize aliyeutaja boss, maana mm nimemjibu tu kuwa huwezi sema kuna mwanga bila kuwepo giza.
1. So unakubali Kuna miungu tofauti na yote inaweza kuponya? Sasa unajuaje tofauti ya mtu kupona kiasilia na kuponywa kimiujizaWe unasali/swali wapi? Na je Mungu wenu haponyi magonjwa, kama anaponya kwanini kiongozi wako wa kiroho humwambii aende hospital kuwaombea wagonjwa. (Simtetei mwamposa ila swali lako la kitoto Bwana
Hutoona kamwe, utabaki kusikia story za watu walioponywa lakini wako mbali na huwezi kuthibitishaSiku nikiona Hawa manabii wanamponya Kiwete yaani ambaye hana miguu kabisa nikashuhudia Kwa macho yangu akinyanyuka na kutembea, ndipo nitawaamini, au nikiona mtu ninaye mfahamu kuwa ni kipofu au Kiwete na ameponywa hapo nitajiunga nao
Mkuu umepiga Ikulu?Ukitaka kujua vizuri hao watoa ushuhuda jiulize kuna mkazi wa hapo hapo kawe aliyepona? Ina maana kawe hakuna wagonjwa au wote hawana imani
Yaaani mwapomposa Ana nguvu ko wote wanao shudia waongo haya mambo watu tuache kuhukumu .mimi binafsi na ushuda tena kwa njia TV sio Kawe .ko kila mtu abaki na imani yake mambo imani wanapona wanashudia ko wote wanapangwaWe unasali/swali wapi? Na je Mungu wenu haponyi magonjwa, kama anaponya kwanini kiongozi wako wa kiroho humwambii aende hospital kuwaombea wagonjwa. (Simtetei mwamposa ila swali lako la kitoto Bwana
Kwani magic shows au kwa jina lingine mazingaombwe, si unajua yamepangwa na bado unashuhudia, au unadhani ni wachawi kweli waleYaaani mwapomposa Ana nguvu ko wote wanao shudia waongo haya mambo watu tuache kuhukumu .mimi binafsi na ushuda tena kwa njia TV sio Kawe .ko kila mtu abaki na imani yake mambo imani wanapona wanashudia ko wote wanapangwa
Unajua maana ya mgonjwa?Kwann hao wagonjwa wasiende kwa mwamposa kuponywa hadi wafatwe hospitalini.