Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Huyo anatakiwa apelekwe mahakamani. Amedharirisha sana wanawake.Leo nakuunga mkono mwalimu.
Kama mwanamke ana vigezo vyote unavyohitaji, na huo umri wa 30, kwanini sasa asiolewe?
Utajali miaka au experiences unazopata ukiwa nae?
Eti 'wametumika sana' kwani kile kiungo kina makombo?
Jamii yetu inajisahau sana.
Ungesema pesa na mapenzi kwa mwanamke hamna uhusiano ningekuelewa.Pesa na ndoa kwa mwanamke hamna uhusiano
Japokuwa ni kweli kuolewa sio lazima
Mkuu hata tyre mpya ikitembea km mingi inapoteza ubora.Inategemea na uyo wa 30yr yupoje kuna wanawake 24 lakini ukikutana nae unasema 45 kachoka sana at uch hauvutii tena
Hana analo juaView attachment 3215776
Sio maneno yangu ni maneno ya mwanasaikolojia. Anasema mwanamke 30yrs hana jipya. Ametumika na wanaume wengi anatafuta pensheni na sio ndoa
KabidaMkuu hata tyre mpya ikitembea km mingi inapoteza ubora.
Mimi nafikiri hao walio fika zaidi ya 30 wanatakiwa wawe nyumba ndogo za waume ambao wake zao wamechako wakati wao bado wanamdu mazoezi.View attachment 3215776
Sio maneno yangu ni maneno ya mwanasaikolojia. Anasema mwanamke 30yrs hana jipya. Ametumika na wanaume wengi anatafuta pensheni na sio ndoa
Kwa hakika mkuu halafu mwanaume kuwa domo kulonga haipendezi.Nachukia sana watu wenye lugha mbaya dhidi ya wadada wetu
Failure yoyote ya maanamke sababu kuu ni mwanaume katika muktadha wa kiume.
Umeanza vizuri baadae unawatupia vijembe π€£π€£ acha unafkiEbo! Yaani mwanamke kasema kuwa 30+sio wakuoa. Ama kweli kawasagia kunguni wanawake wenzie.
Ila ameongea ukweli. Mwanamke kama una miaka 27 hujaolewa aloohh wee nenda kawe sista tuu usituaumbue na "mwanaume tafuta hela" π€£π€£π€£π€£
Enzi za vibamia na nguvu za kiume mlikua wap kutetea wanaume π€ leo ni zamu yenu mmefikiwaIfike muda serikali ikemee hawa wajinga, kutwa tunahangaika na wagonjwa wa afya ya akili sababu ya watu kama hawa, neno lako moja linaweza kumuharibia mwingine maisha yake,
Shame!
Umeoa au unakula tu?Me nimebahatisha plate no A yangu (age 33) ila ilikua imepark, nmekuta engine safi kabisa
Bado sijaoa kaka, naendelea kutest engine kama itaendelea hivi hivi namalizia vibali nachukua mazimaUmeoa au unakula tu?
na sindano tayariUzi tyr
mhpichani ni wewe binti yangu
Huyu Jamaa amewashambulia sana utadhani amekataliwa,smell like mental illnessView attachment 3215776
Sio maneno yangu ni maneno ya mwanasaikolojia. Anasema mwanamke 30yrs hana jipya. Ametumika na wanaume wengi anatafuta pensheni na sio ndoa
ukishamaliza vibali ndo engine inafeli sasahivi inatembelea choki..πBado sijaoa kaka, naendelea kutest engine kama itaendelea hivi hivi namalizia vibali nachukua mazima
poleππ»ββοΈπ