Kwanini mwanamke mwenye miaka 30+ asiolewe?

Kwanini mwanamke mwenye miaka 30+ asiolewe?

Leo nakuunga mkono mwalimu.

Kama mwanamke ana vigezo vyote unavyohitaji, na huo umri wa 30, kwanini sasa asiolewe?

Utajali miaka au experiences unazopata ukiwa nae?

Eti 'wametumika sana' kwani kile kiungo kina makombo?

Jamii yetu inajisahau sana.
Huyo anatakiwa apelekwe mahakamani. Amedharirisha sana wanawake.
 
Ebo! Yaani mwanamke kasema kuwa 30+sio wakuoa. Ama kweli kawasagia kunguni wanawake wenzie.
Ila ameongea ukweli. Mwanamke kama una miaka 27 hujaolewa aloohh wee nenda kawe sista tuu usituaumbue na "mwanaume tafuta hela" 🤣🤣🤣🤣
Umeanza vizuri baadae unawatupia vijembe 🤣🤣 acha unafki
 
Bado sijaoa kaka, naendelea kutest engine kama itaendelea hivi hivi namalizia vibali nachukua mazima
ukishamaliza vibali ndo engine inafeli sasahivi inatembelea choki..😂
 
Back
Top Bottom