Kwanini mwanaume unatakiwa kuwa katili kwenye soko la mahusiano?

Kwanini mwanaume unatakiwa kuwa katili kwenye soko la mahusiano?

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Utakapokua umejipata wanawake watajisogeza kwenye maisha yako, sasa hiki ndicho kipindi ambacho hautakiwi kuwa na huruma kabisa kwa mwanamke.

Kumbuka walijiweka mbali na wewe kipindi unajitafuta, hivyo basi na wewe utakapojipata jiweke mbali na wanawake masikini.

Kumbuka hakuna mwanamke alievunja sheria zake kwa ajiri yako kipindi unajitafuta, na hii iwe sababu ya wewe pia kutotakiwa kushusha standards zako kwa ajiri ya mwanamke.

Kumbuka girlfriend wako alikua anawaachia nafasi ya uhuru wanaume wengine na kutafuta attention yao akifikiri kwamba alikua anafanya favour kudate na wewe ukiwa broke, hivyo basi na wewe unapaswa kuonja radha tofauti tofauti kama mwamba Baltasar. Husiruhusu kufanywa mateka na mwanamke wakati hela ni zako.

Kumbuka hakuna mwanamke anaweza kudate na wewe kama hauongezi thamani yoyote kwenye maisha yake, na iyo ndio sababu hautakiwi kutulia na mwanamke ambae haiongezi thamani kwenye maisha yako.

Akija na msambwanda wake tu wakati kichwani hana kitu. Wewe bonyeza ilo limsambwanda, lipige makofi, lichakate kisaswa sawa. Ukishamalizana nalo litupe mtaani uko mabaharia waendeleze ulipoishia.

Uwanja wa mahusiano ni kama kama maisha ya msituni. Leo unaweza kuwa mwindaji kesho wewe ukawa mwindwaji. Hakuna atakaekuonea huruma kwa udhaifu wako, ni survival of the fittest.

Unajua nini, hakuna shida yoyote mwanamke kuweka vigezo vya juu pale anapotaka mwanaume. Mrefu, ana hela, msomi, ana cheo, anatokea familia yenye ukwasi n.k hakuna ubaya wowote mwanamke kuweka ivyo vigezo.

Lakini mwanamke uyo nae anatakiwa kuwa na standards zinazoendana na mwanaume anaemtaka. Sura au makalio sio vigezo toshelezi.

Anatakiwa awe ametokea kwenye familia nzuri, bikira, past safi, msomi, under 25, rsepectful, submisive na awe tayari kuongeza thamani kwenye maono yako

Usiruhudu jamii ikudanganye na upuuzi wa past doesn't matter au ujinga wa accept her as she is. Kama haingii kwenye standards zako mpige chini kwa sababu endapo wewe usingekua na standards anazozitaka angekuona kama takataka tu.

Hata siku moja usifanye ujinga wa kushusha standards zako ili mwanamke awe comfortable. Wanawake wana tabia yao wakishajijua hawana vigezo wanajifanya victim. Simamia misingi yako usikubali wakulaghai

Set your standards high, stand your ground and make sure she is worthy of your time, energy and effort. Real man don't settle for less.
 
Mi wakwangu yuko vizur upstairs, familia yake ni royal class and well-off financially, she is humble and submissive ila sio bikra.

Vipi hapo kungwi, nimpe huruma au niwe cold as ice?
Changamoto ni: ataanza ku compare show zako na watu wa past aliopita nao kama katembea sana. Ndo ishu za jamaa alizishi zimzpo ibukaga. Kama una muelewa ishi nae
 
Wanawake wote haijalishi ni asiye bikira, malaya, single maza, asiye na kazi au aliyetokea familia masikini wameweka standards za wanaume wa kuolewa nao na wako ruthless hawacheki na mwanaume asiye na kipato cha maana

Cha ajabu wanaume kama masenge kmmmk kila siku wanashusha standards za wanawake na kuwatetea eti her past doesnt matter mara ooh kuoa bikira sio kuwa atakuwa mke bora

Uliwahi kusikia wapi mwanamke anakwambia mwanaume hata akiwa masikini it doesnt matter nitaolewa naye tu, he'll make a good husband

Utasikia wanawake wanakwambia broke man does not deserve pussy, ila hautamsikia mwanaume akisema non-virgins dont deserve commitment, wengine wanaoa hadi single maza WTF

Hata humu jf kuna misimps kibao kmmmk kazi kuwatetea single maza na malaya waliopoteza bikira

As a man never lower your standards for any woman

Never settle for less just because you don't want to hurt a woman's feelings
 
Wanawake wote haijalishi ni non-virgin, malaya, single maza, asiye na kazi au aliyetokea familia masikini wameweka standards za wanaume wa kuolewa nao na wako ruthless hawacheki na mwanaume asiye na kipato cha maana
Hii ni kweli kabisa, unakuta mwanamke anafahamika kwa umalaya jiji zima ila anaujasiri wa kujitangaza kwenye media mahari yake ni milioni 100+ wakati kiuhalisia kitendo cha kukosa bikira tu tayari kidini na kitamaduni hana uhalali wa kutolewa mahari
 
Hii ni kweli kabisa, unakuta mwanamke anafahamika kwa umalaya jiji zima ila anaujasiri wa kujitangaza kwenye media mahari yake ni milioni 100+ wakati kiuhalisia kitendo cha kukosa bikira tu tayari kidini na kitamaduni hana uhalali wa kutolewa mahari
Na bado kuna wanaume washusha standards watamtetea na kuna simp atafanya naye maisha

Umeona jinsi wanawake wanawazidi wanaume wapumbavu akili kwa mbali

Wanawake wanaamini kuna mwanaume tu atapatikana na atanasa hata kama yeye ni malaya

Ila waambie wanaume waoe bikira utasikia utampata wapi bikira
 
Nakusoma sana bwana Natafuta Ajira, bahati mbaya mimi huwa sipendi kuweka wazi mahusiano yangu ila nimewahi kuwa well off na familia ilikua na furaha badae mambo yakagoma nikarudi ziroo wife kuvumilia badae kanitema ikabidi nicool dawn kujitafuta upya Mungu ni mkubwa sa hv njia zinafunguka and im sure hadi mwezi wa sita mwaka kesho kipato kitakua kizuri sana then from there nitaenda kuchukua watoto na nitaajiri dada wa kuwatunza then i will rise my standards and there will be no time to compromise
 
Back
Top Bottom