Kwanini Mwenyezi Mungu hupenda sana Kuwazawadia Wakristo Mvua Siku za Pasaka na Krismas huku wengine akiwakaanga na Jua Kali tu?

Hatimaye Moto umeshaanza Kuwaka sasa.
 
👇hizi hints za mtoa mada zimeshindwa kureason jibu rahis kama lako...😄
Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person.
 
Kwa pasaka ya 2020 aisee ilianza mvua siku ya j5 mpaka jpili saa tisa alaasiri yaaani mafuriko sasa kipindi hicho mi nipo Mji mwema kigamboni nna fanya kazi zangu ispokuwa hukuu mashenzini chumba nilichofikia ni balaa maji ya shingo.
 
Kama mwenyezi Mungu angekua na roho kama yako basi wengi watenda maovu wanaomdhihaki wangeshapotea,
Tambua hili jambo ni la ki geografia zaidi, wakati ubazungumza hivyo, ameneo mengi ya dunia hakuna mvua, na pia kama utakumbuka kipindi miaka minne iliopita hakukunyesha mvua hadi watu wakasema Magufuli anagundu. Kwa bahati mbaya udini unakusumbua,
Au unadhani ni wote wanaoitwa wakristo wanaotambua pasaka ya kesho kutwa?
 
Empty suit.
 
Huku wengine akiwakaanga na jua Kali tu [emoji23][emoji119][emoji23][emoji119]


Pep
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…