Kwanini Mwenyezi Mungu hupenda sana Kuwazawadia Wakristo Mvua Siku za Pasaka na Krismas huku wengine akiwakaanga na Jua Kali tu?

Mkuu why ujiteshe kumfundisha Pompoma elimu yote hii?

Usijipoteze muda wako bure
 
Kule Makao makuu {DOM},baada ya mawiki kadhaa ya ukame na jua pia na majoto ya kufa mtu....Jana siju ya IJUMAA KUU....muda wa jioni kama saa 17:45 hivi...MVUA laini ya rasharasha ilinyesha kwa muda wa dakika chache kiasi cha kutoa vumbi tu ikakatika.
Mtoa mada NAKUUNGA MKONO.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Dah....nadhani hata Mwalimu wako wa jiografia akiuona huu Uzi atakukana.....haujui hata majira yalivyo kulingana na mzunguko wa Dunia kwenye Muhimbili wake......hata hivyo hao walioleta hizi Imani....huko kwao...."siku za mvua" humaananisha "nyakati ngumu".....jifunze🤭
 
KIFUKU (KIMAKONDE) - MASIKA (KISWAHILI)
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mimi mwenyewe nimeshangaa kwakweli,jana mvua imeonyesha kiubalozi kabisa. Walipo wakristo wengi imenyesha. Walipo waislam wengi ikapepea na upepo. Nadhani kuna hoja hapa, ukikuta mtaa ama tarafa imejaa uislamu mvua ni ile ya Nchi nzima.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Achana nae kichaa huyu,anapenda attention sana..nina wasiwasi kule Saut Mwanza alienda kukua..mwalimu wake wa Jiografia anasikitika huko aliko.
 
Wewe jamaa mdini sana. Nia yako tumeiona kwenye badiko lako.
 
Kumbe huyu ni mwanangu mwenyewe Le Popomas, Bogas, Mamas, Kilaza, Pimbi, Kayumba, Mwajuma ndala ndefu MYCINE??
Basi itakuwa anamsumbua sana Mumewe huko alikoolewa.
Kumbe Waingereza wana neno Bogas kama ulivyoandika na siyo lile la Bogus ambalo Wordsmiths wengi tunalijua? Mkiambiwa acheni Kujitutumua Kuandika Kiingereza kama hamkijui hamsikii haya ona sasa Ulivyojichoresha hapa Wewe Hopeless Creature Jamvini.
 
Unaongelea kwa maeneo gani?? Maana Kuna sehemu nyingine duniani kwenye pasaka na krismas mvua hazinyeshi kabisaa

Halafu hapo kwenye kuanzia may 1 mvua inapigaga Sana mkuu
 
Achana nae kichaa huyu,anapenda attention sana..nina wasiwasi kule Saut Mwanza alienda kukua..mwalimu wake wa Jiografia anasikitika huko aliko.
Bahati nzuri sina Elimu ya Chuo Kikuu na nashangaa unavyosema kuwa nimesoma sijui huko SAUT.

Yawezekana Kichaa zaidi ukawa ni Wewe kwani ungekuwa na Akili kama Uzi hujaupenda ungeachana nao tu

Hivi Mtu akitaka attention hapa Jamiiforums kama unavyonihusisha nayo anapewa Tuzo au Pesa?

Kama Dawa yangu Kali ya Antibiotic ya MINOCYCLINE inayotibu pia Ubongo hafifu kama wako imekuingia vyema pole sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…